Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,604
- 1,704
That's family son.
Of Singularity?
That's family son.
Of Singularity?
Don't even go there, Imma bring quantum pertubartions courtesy of them, in all the possible multiverses til you can't misunderstimate no more.
clue ya yoyo... tafuta avatarYo-yo
Mwafrika wa kike
Wengi wamebadili ID zao, lakini kuna kitu ambacho tunatakiwa tukiangalie kwa umakini, hivi wanachama ambao hawaonekani zaidi ya mwaka mmoja bila taarifa hatuwezi kuconclude kuwa wamekufa?
Wengi wamebadili ID zao, lakini kuna kitu ambacho tunatakiwa tukiangalie kwa umakini, hivi wanachama ambao hawaonekani zaidi ya mwaka mmoja bila taarifa hatuwezi kuconclude kuwa wamekufa?
angalau wewe umetumia vyema akili yako na hukuwa mbayuwayu! Mf BAK sasa anadank huko NBAMjue wengine wanamajukumu maishani mwao sio lazima kudakua kila wakati, as wengine wanasoma tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu wakichoka kuandika humu
Kigogo yuko api Preta?
Inawezekana mtu alishatutoka muda mrefu lakini tunakuwa hatuna taarifa kwa kuwa humu tunatumia ID za uongo na hatujuani vizuri ni wachache sana wanaofahamiana hapa ndani.Duh! Katavi hapo kwenye red hapo ha haaaa ha ha aaaaaaa. We ni noma
Sijawasoma hawa siku nyingi sana:
1.bubu ataka kusema
2.sipo
3.Original Pastor
4.lole gwakisa na wengineo mwaweza ongeza
5.
6.
7.
8.
Mu wapi??? Kimya kimezidi !!!!!!
Huyo namba 2mbona tayari jibu unalo?!
Inawezekana mtu alishatutoka muda mrefu lakini tunakuwa hatuna taarifa kwa kuwa humu tunatumia ID za uongo na hatujuani vizuri ni wachache sana wanaofahamiana hapa ndani.
Sijawasoma hawa siku nyingi sana:
1.bubu ataka kusema
2.sipo
3.Original Pastor
4.lole gwakisa na wengineo mwaweza ongeza
5.
6.
7.
8.
Mu wapi??? Kimya kimezidi !!!!!!
Woman of Substance !!!!!!!!!!! Yuko wapi huyu?Sijawasoma hawa siku nyingi sana:
1.bubu ataka kusema
2.sipo
3.Original Pastor
4.lole gwakisa na wengineo mwaweza ongeza
5.
6.
7.
8.
Mu wapi??? Kimya kimezidi !!!!!!