Members walioadimika

Wengi wamebadili ID zao, lakini kuna kitu ambacho tunatakiwa tukiangalie kwa umakini, hivi wanachama ambao hawaonekani zaidi ya mwaka mmoja bila taarifa hatuwezi kuconclude kuwa wamekufa?

Duh! Katavi hapo kwenye red hapo ha haaaa ha ha aaaaaaa. We ni noma
 
Wengi wamebadili ID zao, lakini kuna kitu ambacho tunatakiwa tukiangalie kwa umakini, hivi wanachama ambao hawaonekani zaidi ya mwaka mmoja bila taarifa hatuwezi kuconclude kuwa wamekufa?

duh! una undugu na undertaker?
 
Mjue wengine wanamajukumu maishani mwao sio lazima kudakua kila wakati, as wengine wanasoma tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu wakichoka kuandika humu
 
Mjue wengine wanamajukumu maishani mwao sio lazima kudakua kila wakati, as wengine wanasoma tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu wakichoka kuandika humu
angalau wewe umetumia vyema akili yako na hukuwa mbayuwayu! Mf BAK sasa anadank huko NBA
 
Duh! Katavi hapo kwenye red hapo ha haaaa ha ha aaaaaaa. We ni noma
Inawezekana mtu alishatutoka muda mrefu lakini tunakuwa hatuna taarifa kwa kuwa humu tunatumia ID za uongo na hatujuani vizuri ni wachache sana wanaofahamiana hapa ndani.
 
Inawezekana mtu alishatutoka muda mrefu lakini tunakuwa hatuna taarifa kwa kuwa humu tunatumia ID za uongo na hatujuani vizuri ni wachache sana wanaofahamiana hapa ndani.

Mimi nimeandika kwenye will, nikifa memebrs mtajulishwa na executor of the will. Vipi wengine au tutachukulia mmebadili ID?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom