Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,170
- 23,865
Siasa ni mchezo mmoja wa ajabu. Siasa haitaki hasira wala kuilazimisha. Taabu anayopata Mh Magufuli kujinadi sasa hivi haikutegemewa, pamoja na mazuri mengi aliyofanya.
Ndugu yetu Membe kaingia siasa kwa mdundiko wa wengi.
Wapiga mdundiko walipotuliza ngoma sasa ndo tunaona mambo dhahiri.
Membe soma alama za nyakati, na nyakati zimebadilika sana kuliko ilivyokuwa miezi miwili tu iliyopita. Kwa sasa kisiasa hatuwezi kusema Membe ni prime mover, hana mtaji huo.
Membe soma alama za nyakati.
UPDATE
Membe kwa kweli amesoma mambo vilivyo, kimya kinaongea
Ndugu yetu Membe kaingia siasa kwa mdundiko wa wengi.
Wapiga mdundiko walipotuliza ngoma sasa ndo tunaona mambo dhahiri.
Membe soma alama za nyakati, na nyakati zimebadilika sana kuliko ilivyokuwa miezi miwili tu iliyopita. Kwa sasa kisiasa hatuwezi kusema Membe ni prime mover, hana mtaji huo.
Membe soma alama za nyakati.
UPDATE
Membe kwa kweli amesoma mambo vilivyo, kimya kinaongea