Membe: Sitanyamaza, ni haki yangu

Membe: Sitanyamaza, ni haki yangu

CHADEMA wanafurahii..lakini ingekua ndani ya CHADEMA viongozi wa CHADEMA wasingevumilia ili..wangekua wameshatoka barazani..

ila uongozi wa CCM imeliona ili la kawaida ,ndio mana imelipotezea..wanaojadili na kumkosoa Membe ni WATANZANIA sio wanachama wa CCM
wanachama wa CCM sio watanzania?
 
UKIONA MTU MZIMA ANALIA JUA ....MAJI YA SHINGO...magufuli kagusa maslahi ya watu kabma mirija yote ya asali, watu wanapumulia mashine walishazoea vya kunyonga hao sasa WANAISOMA NAMBA. magufuli songa soongaaaa babaaa tupo nyuma yako tunakulinda wewe ndie chaguo la mungu, endelea kuwakamua kama mua.
Tatizo lenu wana ccm hamtaki kuambiwa ukwel, hapo sasa shida iko wap membe kuongea anachokiona?
 
Kikwete ng

Kikwete ndio rais bora kuliko wote waliopita hivi sasa kiongozi wa umma huna uhakika kesho kama utarudi kazini ni presha tu




Kwahiyo unataka watu wakae maofisini na kusoma maagazeti tu....aiseee bongo noma sana
 
Aliyekuwa waziri wa mashauri ya nje,Ndg.Membe amewajibu wanaotaka akae kimya kuwa hawezi kunyamaza na anatumia haki yake kikatiba bila kuvunja sheria.

Membe amewataka wajibu kwa hoja badala ya kumziba mdogo.

Membe ameongeza kuwa baadhi ya wana CCM wamekuwa wanafiki wa kutupwa na hawataki Magufuli akosolewe.

Atakuwa mstari wa mbele kutoa maoni huru kwa mambo yanayoendelea bila kuvunja sheria.

Amesisitiza kuwa rais Kikwete atakumbukwa sana kwa kuwapa watu uhuru wa kutoa maoni yao
Haya huyo ndio Bashe hajui kuwa kila Mwananchi anayo haki ya kutoa maoni yake alimradi asivunje sheria. Aaah kumbe hata yeye Bashe katoa maoni yake na wengine pia wataendelea kutoa maoni yao. Kumbuka bwana mdogo Bashe kuwa hata Magufuli mwenyewe aliomba kuwa mumsaidie mumweleze pale mtaona anakwenda ndivyo sivyo mumkosoe na ndicho alichofanya Membe na wengine. Labda tu kwa sababu yeye hakwenda kumweleza kisirisiri pale Magogoni kama walivyofanya wastaafu wengine
 
Membe ni kama mtu mwingine yo yote tu. Unatamani kitu ukikosa unaponda. Alitamani urais akakosa, kwadia tu kuwa inside opposer. Tatizo hawezi kuwa opposition na pengine wala hatumtaki huku kwa wapambanaji, maana sii mpambanaji hata kidogo.
 
Aliyekuwa waziri wa mashauri ya nje,Ndg.Membe amewajibu wanaotaka akae kimya kuwa hawezi kunyamaza na anatumia haki yake kikatiba bila kuvunja sheria.

Membe amewataka wajibu kwa hoja badala ya kumziba mdogo.

Membe ameongeza kuwa baadhi ya wana CCM wamekuwa wanafiki wa kutupwa na hawataki Magufuli akosolewe.

Atakuwa mstari wa mbele kutoa maoni huru kwa mambo yanayoendelea bila kuvunja sheria.

Amesisitiza kuwa rais Kikwete atakumbukwa sana kwa kuwapa watu uhuru wa kutoa maoni yao


Member kuna MTU amemtuma...Unganisheni dots..
 
tusiwe wepesi sana kudandia mambo ya ccm, hawa jamaa niwajanja sana wanakorogana hivi ili ndio iwe mwisho wetu kujadili madudu yao kitakacho fata hapa soon tuhuma za Magu zitawekwa nje au za washkaji zake ccm wanajua kuneutralize sana pressure ya watanzania..!! solution nikuing'oa ccm madarakani tutengeneze serikali ya watu serious
 
Membe analimia meno sahivi ndo kuweweseka usiku na mchana sasa
 
Aliyekuwa waziri wa Mambo ya nje,Ndg.Membe amewajibu wanaotaka akae kimya kuwa hawezi kunyamaza na anatumia haki yake kikatiba bila kuvunja sheria. Membe amewataka wajibu kwa hoja badala ya kumziba mdogo. Membe ameongeza kuwa baadhi ya wana CCM wamekuwa wanafiki wa kutupwa na hawataki Magufuli akosolewe. Atakuwa mstari wa mbele kutoa maoni huru kwa mambo yanayoendelea bila kuvunja sheria. Amesisitiza kuwa rais Kikwete atakumbukwa sana kwa kuwapa watu uhuru wa kutoa maoni yao
SOURCE: www.darwaya.com
 
Kikwete ng

Kikwete ndio rais bora kuliko wote waliopita hivi sasa kiongozi wa umma huna uhakika kesho kama utarudi kazini ni presha tu
Haaaaa watu hawataki rais anayesimamia sheria

Ila pole subiri kutumbuliwa tu kama una madudu yako huko kazini
 
Kuna njia sahihi za kukosoa serikali...afanye hivyo kupitia proper channel na sio vyombo vya habari..
Nahisi Membe yuko kwenye 'denial'...hajakubaliana na ukweli kuwa yeye sio Head Of State, kama alivyoahidiwa
 
AHAHAHAHA KUMBE HUYU MDINGI NAYE ANAONGEAA EEE HAYA WWACHA WAUMANE BASHE NAYE KAMKOMALIA
 
asizunguke ahamie ukawa 2020 sio mbali anaweza kutimiza lengo lake
 
  • Thanks
Reactions: nao
Kwanza mimi sijawahi kumwelewa membe tangu ameanza kuongea miaka yote huongea ubwabwa tu,ukiona mwanaume anajichubua basi ujue anashida kubwa sana kichwani mwake.
Alafu kama ni kushauri kwanini asitumie nafasi yake kwenye chama akatoa maoni yake huko na kukisaidia chama badala ya kuanzisha majibizano nje ya vikao ..ajaribu kutumia vikao vya ndani
 
Hata Kolimba alisema chama kimepoteza dira. RIP
 
Back
Top Bottom