nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
kwa sasa mpambano ni team jk na magu. ccm vipandevipande.....
Kajitundikemembe kila saa, 2mishachoka inshu zake
Ni kweli kabisa kwamba JK atakumbukwa kwa kuwapa watu uhuru wa kutoa maoni yao, lakini hata Rais aliyeko madarakani sijaona aliyenyimwa uhuru huo na ndio sababu hata mheshimiwa hapo juu pamoja na yote aliyosema bada Mr Presd yupo calm, na wanaomkosoa Bwana Membe kwa hayo anayosema pia wanatumia uhuru wao wa wa kutoa maoni kama anavyotumia yeye.Aliyekuwa waziri wa mashauri ya nje,Ndg.Membe amewajibu wanaotaka akae kimya kuwa hawezi kunyamaza na anatumia haki yake kikatiba bila kuvunja sheria.
Membe amewataka wajibu kwa hoja badala ya kumziba mdogo.
Membe ameongeza kuwa baadhi ya wana CCM wamekuwa wanafiki wa kutupwa na hawataki Magufuli akosolewe.
Atakuwa mstari wa mbele kutoa maoni huru kwa mambo yanayoendelea bila kuvunja sheria.
Amesisitiza kuwa rais Kikwete atakumbukwa sana kwa kuwapa watu uhuru wa kutoa maoni yao
Zile nyakati za zidumu fikra za mwenyekiti na watu wakashangiria zimeshapitwa na wakati .Aliyekuwa waziri wa mashauri ya nje,Ndg.Membe amewajibu wanaotaka akae kimya kuwa hawezi kunyamaza na anatumia haki yake kikatiba bila kuvunja sheria.
Membe amewataka wajibu kwa hoja badala ya kumziba mdogo.
Membe ameongeza kuwa baadhi ya wana CCM wamekuwa wanafiki wa kutupwa na hawataki Magufuli akosolewe.
Atakuwa mstari wa mbele kutoa maoni huru kwa mambo yanayoendelea bila kuvunja sheria.
Amesisitiza kuwa rais Kikwete atakumbukwa sana kwa kuwapa watu uhuru wa kutoa maoni yao
Ninaunga mkono jitihada za Mh Maembe za kupaza sauti. Acha na yeye atusaidie, tumepiga kelele sana kuhusu haya magamba. Hayo tuyaweke kando, jamani Nifah unaweza kuwa na habari za Hajat Faiza Fox? Sijamsikia siku nyingi.Kwani kuna kipi cha ajabu hapa,Membe hakuongelea suala la uchaguzi Zanzibar?
Sasa kama aliweza kuongelea suala zito kama lile hili atashindwa vipi?
Hata sina habari zake mkuu,namuona kwa nadra sana humu ndani.Ninaunga mkono jitihada za Mh Maembe za kupaza sauti. Acha na yeye atusaidie, tumepiga kelele sana kuhusu haya magamba. Hayo tuyaweke kando, jamani Nifah unaweza kuwa na habari za Hajat Faiza Fox? Sijamsikia siku nyingi.
Membe ni debe tupu,huo ushauri aupeleke nec ya CCM.Wenzake walipokuwa wanashughulikiwa hakujua kwamba na zake zitafika.Membe funguka Baba...
Hihihihihihi!!
nafikiri nia ya membe kukosoa ni kumjenga zaidi mr. president, hakuna mtu aliye mkamilifu,ukikosolewa ndio unapata njia iliyo bora zaidi ya kujiimarisha.Umeambiwa ujibu kwa hoja kama hujamwelewa kaa kimya wajibu tu waliomwelewa Membe, Tatizo ndani ya ccm imeshakuwa kama utamaduni akitoea mtu yeyote akikosoa uongozi awe mwana chama wa ccm asiwe mwana chama basi ni adui this is non sense katika ulimwengu wa sasa hivi hakuna mambo yanakuwa mazuri zaidi mtu anapokubali kukosolewa mfano mdogo tu whatsap, facebook na applications zingine kila mara wana update applications zao na kuwa nzuri kwa kutumia comments za wanaowakosoa. Mazuri mengi anayofanya Magufuli sasa hivi ni kutokana na comments za wapinzani na wana ccm wazalendo thidi ya serikali iliyopita lakini hawezi kuwa perfect 100% kwa sababu yeye tayari ni binadamu nasi tu dhaifu ndo mana atazidi kukosolewa ndiko kutazaliwa kufanya vizuri zaidi
membe bado hajamaliza aliyonayo moyoni.......subirini mbona mna haraka?
Hata sina habari zake mkuu,namuona kwa nadra sana humu ndani.
Hebu nimuite aone salaam zake hizi.
FaizaFoxy
hayo mapenzi mema kayaona sasa,hivi milion 700 zile zingenunua madawati mangapi,hawa wakwere hamnazo na milele hamtapewa nchi tena,Huwezi kumuelewa kwa sababu unapokuwa unamsikiliza au kusoma alichokisema akili yako na roho yako vina kuwa havina ushirikiano,
Kwamba Roho yako inakuwa inamchukia kwa chuki binafsi na akili yako inataka kumsikiliza au kusoma.
Ila kwa hili la juzi ameeleweka sana na kila mwenye mapenzi mema na nchi hii wamekubaliana nae na wana muunga mkono Membe
huo uhuru wa maoni wa jk mbona ulitoa mwanya kwa majungu na nafasi kwa ufisadi kushamiri.Aliyekuwa waziri wa mashauri ya nje,Ndg.Membe amewajibu wanaotaka akae kimya kuwa hawezi kunyamaza na anatumia haki yake kikatiba bila kuvunja sheria.
Membe amewataka wajibu kwa hoja badala ya kumziba mdogo.
Membe ameongeza kuwa baadhi ya wana CCM wamekuwa wanafiki wa kutupwa na hawataki Magufuli akosolewe.
Atakuwa mstari wa mbele kutoa maoni huru kwa mambo yanayoendelea bila kuvunja sheria.
Amesisitiza kuwa rais Kikwete atakumbukwa sana kwa kuwapa watu uhuru wa kutoa maoni yao