Sasa ndio inadhihirika kwamba Membe angekuwa raisi, yaliyofanywa na Kikwete yangeendelea miaka mingine mitano.Aliyekuwa waziri wa mashauri ya nje,Ndg.Membe amewajibu wanaotaka akae kimya kuwa hawezi kunyamaza na anatumia haki yake kikatiba bila kuvunja sheria.
Membe amewataka wajibu kwa hoja badala ya kumziba mdogo.
Membe ameongeza kuwa baadhi ya wana CCM wamekuwa wanafiki wa kutupwa na hawataki Magufuli akosolewe.
Atakuwa mstari wa mbele kutoa maoni huru kwa mambo yanayoendelea bila kuvunja sheria.
Amesisitiza kuwa rais Kikwete atakumbukwa sana kwa kuwapa watu uhuru wa kutoa maoni yao
Rais mstaafu Kikwete na yeye kama binAdam alikuwa anakosea, je Membe na yeye alikuwa akimkosoa hadharani kama afanyavyo sasa?Aliyekuwa waziri wa mashauri ya nje,Ndg.Membe amewajibu wanaotaka akae kimya kuwa hawezi kunyamaza na anatumia haki yake kikatiba bila kuvunja sheria.
Membe amewataka wajibu kwa hoja badala ya kumziba mdogo.
Membe ameongeza kuwa baadhi ya wana CCM wamekuwa wanafiki wa kutupwa na hawataki Magufuli akosolewe.
Atakuwa mstari wa mbele kutoa maoni huru kwa mambo yanayoendelea bila kuvunja sheria.
Amesisitiza kuwa rais Kikwete atakumbukwa sana kwa kuwapa watu uhuru wa kutoa maoni yao
Hapana, asingeweza kufanya hivyo kama ambavyo JPM naye hakuthubutu kufanya hivyo pamoja na sasa kudhihirisha kuwa kuna mambo yalikuwa hayamfurahishi. Kwa nini hawakufanya hivyo? Ni suala la uwajibikaji wa pamoja nyote mkiwa katika baraza la mawaziri. Sasa hivi Mh Maembe ni raia huru na hivyo ana luxury ya kutoa maoni yake kama raia mwingine ye yote.Rais mstaafu Kikwete na yeye kama binAdam alikuwa anakosea, je Membe na yeye alikuwa akimkosoa hadharani kama afanyavyo sasa?
Amesisitiza kuwa rais Kikwete atakumbukwa sana kwa kuwapa watu uhuru wa kutoa maoni yao
KucheleeeeCcm kuchele.....!!!
uhuru gani aliyetupa?Aliyekuwa waziri wa mashauri ya nje,Ndg.Membe amewajibu wanaotaka akae kimya kuwa hawezi kunyamaza na anatumia haki yake kikatiba bila kuvunja sheria.
Membe amewataka wajibu kwa hoja badala ya kumziba mdogo.
Membe ameongeza kuwa baadhi ya wana CCM wamekuwa wanafiki wa kutupwa na hawataki Magufuli akosolewe.
Atakuwa mstari wa mbele kutoa maoni huru kwa mambo yanayoendelea bila kuvunja sheria.
Amesisitiza kuwa rais Kikwete atakumbukwa sana kwa kuwapa watu uhuru wa kutoa maoni yao
Aliyekuwa waziri wa mashauri ya nje,Ndg.Membe amewajibu wanaotaka akae kimya kuwa hawezi kunyamaza na anatumia haki yake kikatiba bila kuvunja sheria.
Membe amewataka wajibu kwa hoja badala ya kumziba mdogo.
Membe ameongeza kuwa baadhi ya wana CCM wamekuwa wanafiki wa kutupwa na hawataki Magufuli akosolewe.
Atakuwa mstari wa mbele kutoa maoni huru kwa mambo yanayoendelea bila kuvunja sheria.
Amesisitiza kuwa rais Kikwete atakumbukwa sana kwa kuwapa watu uhuru wa kutoa maoni yao
serikali ya watu serious ni ile inayosafisha mafisadi?
hivi kuna mtu mwenye kariba ya maguful ndani ya ukawa kama sio kuwepo madalali wa siasa?[/QUOTE
Namba zinasomeka...Aliyekuwa waziri wa mashauri ya nje,Ndg.Membe amewajibu wanaotaka akae kimya kuwa hawezi kunyamaza na anatumia haki yake kikatiba bila kuvunja sheria.
Membe amewataka wajibu kwa hoja badala ya kumziba mdogo.
Membe ameongeza kuwa baadhi ya wana CCM wamekuwa wanafiki wa kutupwa na hawataki Magufuli akosolewe.
Atakuwa mstari wa mbele kutoa maoni huru kwa mambo yanayoendelea bila kuvunja sheria.
Amesisitiza kuwa rais Kikwete atakumbukwa sana kwa kuwapa watu uhuru wa kutoa maoni yao
Hayo ni makosa kwa wamiliki wa nissan patrol.Wee jamaa mleta uzi ni mbea, mnafiki na mchonganishi mwenye female traits!
Nafikiri una testosterone nyingi zaidi maana threads zako ni za kike, UONGO NA UCHONGANISHI.
Hayo maneno kayasema wapi?