twahil
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 4,100
- 2,796
serikali ya watu serious ni ile inayosafisha mafisadi?tusiwe wepesi sana kudandia mambo ya ccm, hawa jamaa niwajanja sana wanakorogana hivi ili ndio iwe mwisho wetu kujadili madudu yao kitakacho fata hapa soon tuhuma za Magu zitawekwa nje au za washkaji zake ccm wanajua kuneutralize sana pressure ya watanzania..!! solution nikuing'oa ccm madarakani tutengeneze serikali ya watu serious
hivi kuna mtu mwenye kariba ya maguful ndani ya ukawa kama sio kuwepo madalali wa siasa?