Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 42,451
- 50,183
Amesisitiza kuwa rais Kikwete atakumbukwa sana kwa kuwapa watu uhuru wa kutoa maoni yao
Tulishuhudia waliotoa maoni wakinyofolewa kucha bila ganzi, wengine waling'olewa meno na macho na kupata vilema vya kudumu na wala hatukuona wahusika wakichukuliwa hatua pamoja na kutajwa waziwazi sana sana waliowataja walidhibitiwa