duuuh kukatwa kunaumaAliyekuwa waziri wa mashauri ya nje,Ndg.Membe amewajibu wanaotaka akae kimya kuwa hawezi kunyamaza na anatumia haki yake kikatiba bila kuvunja sheria.
Membe amewataka wajibu kwa hoja badala ya kumziba mdogo.
Membe ameongeza kuwa baadhi ya wana CCM wamekuwa wanafiki wa kutupwa na hawataki Magufuli akosolewe.
Atakuwa mstari wa mbele kutoa maoni huru kwa mambo yanayoendelea bila kuvunja sheria.
Amesisitiza kuwa rais Kikwete atakumbukwa sana kwa kuwapa watu uhuru wa kutoa maoni yao
duuuh kukatwa kunaumaAliyekuwa waziri wa mashauri ya nje,Ndg.Membe amewajibu wanaotaka akae kimya kuwa hawezi kunyamaza na anatumia haki yake kikatiba bila kuvunja sheria.
Membe amewataka wajibu kwa hoja badala ya kumziba mdogo.
Membe ameongeza kuwa baadhi ya wana CCM wamekuwa wanafiki wa kutupwa na hawataki Magufuli akosolewe.
Atakuwa mstari wa mbele kutoa maoni huru kwa mambo yanayoendelea bila kuvunja sheria.
Amesisitiza kuwa rais Kikwete atakumbukwa sana kwa kuwapa watu uhuru wa kutoa maoni yao
Kula ndimu mkuuNdio maana huwa anajisikia kichefu chefu akiona baadhi ya wanaume
Ni wakati wa yeye kukakaa kimya na kuwa mtazamaji kwani si rahisi kila kitu kuwa kama awamu iliyopita kwanza kumbuka ile ilikuwa awamu ya nne hii ni ya tanoAliyekuwa waziri wa mashauri ya nje,Ndg.Membe amewajibu wanaotaka akae kimya kuwa hawezi kunyamaza na anatumia haki yake kikatiba bila kuvunja sheria.
Membe amewataka wajibu kwa hoja badala ya kumziba mdogo.
Membe ameongeza kuwa baadhi ya wana CCM wamekuwa wanafiki wa kutupwa na hawataki Magufuli akosolewe.
Atakuwa mstari wa mbele kutoa maoni huru kwa mambo yanayoendelea bila kuvunja sheria.
Amesisitiza kuwa rais Kikwete atakumbukwa sana kwa kuwapa watu uhuru wa kutoa maoni yao
Ndugu kujichubua kwake kunahusiana nini na HOJA zake....wee ungemuuliza kwanini aseme sasa hivi sio zamaniKwanza mimi sijawahi kumwelewa membe tangu ameanza kuongea miaka yote huongea ubwabwa tu,ukiona mwanaume anajichubua basi ujue anashida kubwa sana kichwani mwake.
Magu atapata upinzani mkali sana ndani ya ccm kwa sababu anaziba kula za watu.Membe kaanza ila wako wengi tu watamuunga mkono siku si nyingi.Tunasahau Magu hakua chaguo la wengi ili alipita kwa "zali tu la mentali"
Aliyekuwa waziri wa mashauri ya nje,Ndg.Membe amewajibu wanaotaka akae kimya kuwa hawezi kunyamaza na anatumia haki yake kikatiba bila kuvunja sheria. Membe amewataka wajibu kwa hoja badala ya kumziba mdogo. Membe ameongeza kuwa baadhi ya wana CCM wamekuwa wanafiki wa kutupwa na hawataki Magufuli akosolewe. Atakuwa mstari wa mbele kutoa maoni huru kwa mambo yanayoendelea bila kuvunja sheria. Amesisitiza kuwa rais Kikwete atakumbukwa sana kwa kuwapa watu uhuru wa kutoa maoni yao
Naona bado umegandana nae tu.Huyu Mmwera naona anataka kuichezesha SEBENE serikali
Unadhani kuna haja ya kutumia media kumfikia Membe? Tumia akili wewe. CCM hatufanyi mambo kwa mtindo huo. Membe atafikiwa humu humu ndani ya chama.Wapi Msemaji wa CCM?
Mh Tindu Lissu, alipotumia haki yake ya msingi Kikatiba, CCM waliwahi kumjibu fasta....
Je huyo mwanaCCM, msemaji wa CCM mbona yupo kimya!!
Wanatumika wasiohusika kumjibu.
Naina kauli za Membe zimewashika kwenye makalio ndo maana mnahaha kwa namna hiyo.....lazima mzinduke sasa!!!Kwanza mimi sijawahi kumwelewa membe tangu ameanza kuongea miaka yote huongea ubwabwa tu,ukiona mwanaume anajichubua basi ujue anashida kubwa sana kichwani mwake.
Kwanza mimi sijawahi kumwelewa membe tangu ameanza kuongea miaka yote huongea ubwabwa tu,ukiona mwanaume anajichubua basi ujue anashida kubwa sana kichwani mwake.