Membe sio mmiliki wa Naf Beach Hotel

Membe sio mmiliki wa Naf Beach Hotel

Ur such a disgrace to your disgraceful family
hunijui na wala huijui familia yangu, so don't waste your time kwa kitu usichokijua. wewe endelea na huo udini wako. kama hutaki kuishi na watanzania wenzako kisa wewe ni mtumishi wa bwana yesu nenda kaishi vatican. tuachie nchi yetu sisi tunaoweza kuishi na watanzania wenzetu bila kujali imani zao. ---- wewe.
 
Hujui ethics za kumsafisha mtu bwana mdogo we uguza ukimwi wako huo
Naweza nikawa namfahamu huyo shebbymix zaidi yako wewe
Kwa nini unataka kupindisha ukweli
We unalifahamu hili jukwaa kweli au mgeni hapa
Sina haja ya kuweka ushahidi hapa coz atazidi kuchafuka bwana mdogo
We piga kimya
Haya makitu unayoendelea kuweka mjadala hapa yatakukosti aisee

Sasa ile dhana ya Where we dare to speak openly haipo tena kwako mdau? Weka nondo hapa ili ukweli ujulikane!
 
Hichi kipindi cha uchaguzi ni kipindi cha kukana kumiliki mali,acheni kucheza na akili za watu
 
Unachoongea mkuu Kiluvia ni kweli kabisa kwa kuwa hakuna jina la Membe kwenye documents za umiliki wa hoteli, lakini BEHIND THE SCENES mauzo ya hiyo hotel ndio yanatarajiwa kumuweka mtu magogoni hapo October pamoja na chenji iliyobaki katika mabilioni ya Ghadafi na yale magari kaahidiwa na Quaboos.

Hivi Membe na Lowassa hawaamini kuwa unaweza kupata uraisi kwa kuchangiwa na sisi watanzania maskini?
lowasa kitu anachokifanya sasa hivi mali zake zote alizo zipata isivyo halali hanazirudisha kwa masikini kupitia makundi mbali mbali
 
Watanzania siwaelewi inamaana amtaki mtu smiliki kitu au raha yenu akina bareksa manji ndio muwasifie mtu akiona kitu mara riziwan ni mwizi mara lowasa tufikirieee sanaaa
sio kwamba ananyimwa kumiliki swali linakuja kwanini hawaweki wazi utajiri waoooo......???????
 
Back
Top Bottom