OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 437
Alale mbele na WAMA, urais hasahau kabisa.......
makafiri utayajua tu kwa matendo yao na maneno yao.
Peleka ujinga wako hapa nani unamfanya mtoto asiyejua uhusiano wa membe na huyo shebby wakati iko wazi biashara zote za membe shebby mix ndo msimazi au unataka tuweke na orodha ya biashara zake hapa, umechelewa kujisafisha bora ungepiga kimya.
Tunajua shebby mix ni mfanya biashara lakini hana uwezo wa kukopa mabilion ya kuwekeza katika biashara kubwa kama zile
Au ni lile duka la simu pale stand kuu ?
Au ni mazao na mbao?
Au nyara za serikali?
JIPANGE.
Kwa elimu gani aliyonayo Shebby Mix?
makafiri utayajua tu kwa matendo yao na maneno yao.
We mwenyewe elimu yako ndogo kuliko hata ya hiyo Shebby
Watanzania siwaelewi inamaana amtaki mtu smiliki kitu au raha yenu akina bareksa manji ndio muwasifie mtu akiona kitu mara riziwan ni mwizi mara lowasa tufikirieee sanaaa
Punguza jazba mkuu kisha tupige ishu bila ushabiki. Tupe kwanza ushahidi kwamba Membe ni mmiliki wa hotel. Utatusaidia sana kumhukumu Membe maana jamaa anakaribia kuoteshwa. Taasisi zote muhimu zimeshindwa kupata ushahidi hivyo wewe kuwa mzalendo lisaidie taifa lako na liokoe kabla ujachelewa maana vyombo na Taasisi za dola vinamwona msafi.
Ukisema tu kwamba Sheby hana ela ya kujenga sio ushahidi kwamba Membe ndio kujenga. Pia ni tusi kubwa kwa Shebby kwamba hana ela. Lakini sio hivyo tu labda utuambie kwamba wewe ni nani kwa Sheby kiasi cha kujua utajiri wa Sheby. Wewe ni mke wa Shebby? Kumradhi kwa hili swali ila nikatika kusaka ushahidi kwamba Shebby hana ela!
Nadhani umwombe radhi Bwana Shaibu Juma kwa kudhani kwamba yeye ni hayawani na masikini hasiye na uwezo wa kumiliki hotels.
Habari watanzania wenzangu wapenda amani na maendeleo.Napenda kuchukua nafasi hii kutolea ufafanuzi suala la nani ni mmiliki wa Naf Beach Hotel iliyopo mkoani Mtwara.Kumekuwa na habari zikisambaa kwa muda mrefu sasa juu ya kuhusishwa kwa Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa katika umiliki wa hoteli hii ya nyota tano.
Ukweli ni kwamba Membe hajawahi kumiliki au kuwa sehemu ya umiliki wa hoteli hii.Membe hajawahi kufanya biashara.Kumhusisha Membe na umiliki wa Naf Beach Hotel ni kuchuma dhambi kwa muumba wa vyote duniani.Tusitumie siasa chafu kuchafua hata wasiohusika na mambo yanayozushwa mitaani.Hoteli ya Naf Beach ni mali ya Shabaan maarufu kama Shebby Mix aliyoijenga kwa mkopo kutoka Crdb.
Hakuna uhusiano wowote kati ya Membe na Shabaan iwe kiundugu,kiurafiki au kibiashara na ndio maana inakuwa sio afya kuleta mijadala inayosema uongo kuhusu hoteli hii isiyokuwa na jina lenye nasaba yoyote na Membe katika umiliki wake.Nasisitiza tujadili kweli na kuikataa uongo kwasababu itatuweka huru kifikra na kimaamuzi.Nawasilisha!
Habari watanzania wenzangu wapenda amani na maendeleo.Napenda kuchukua nafasi hii kutolea ufafanuzi suala la nani ni mmiliki wa Naf Beach Hotel iliyopo mkoani Mtwara.Kumekuwa na habari zikisambaa kwa muda mrefu sasa juu ya kuhusishwa kwa Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa katika umiliki wa hoteli hii ya nyota tano.
Ukweli ni kwamba Membe hajawahi kumiliki au kuwa sehemu ya umiliki wa hoteli hii.Membe hajawahi kufanya biashara.Kumhusisha Membe na umiliki wa Naf Beach Hotel ni kuchuma dhambi kwa muumba wa vyote duniani.Tusitumie siasa chafu kuchafua hata wasiohusika na mambo yanayozushwa mitaani.Hoteli ya Naf Beach ni mali ya Shabaan maarufu kama Shebby Mix aliyoijenga kwa mkopo kutoka Crdb.
Hakuna uhusiano wowote kati ya Membe na Shabaan iwe kiundugu,kiurafiki au kibiashara na ndio maana inakuwa sio afya kuleta mijadala inayosema uongo kuhusu hoteli hii isiyokuwa na jina lenye nasaba yoyote na Membe katika umiliki wake.Nasisitiza tujadili kweli na kuikataa uongo kwasababu itatuweka huru kifikra na kimaamuzi.Nawasilisha!
Mnanishangaza sana.Taarifa tulizonazo ni kwamba Shebby alijenga hoteli kwa mkopo wa Crdb na pato lake la udalali wa zao la korosho.
Shebby kama aliyasema hayo unayoandika basi ni punguhani namba 1..
Wewe umeupasua ukweli kwa data ambazo hazipingiki kabisa.
we haufai kuwa mpambe!!! badala ya kukanusha. unakuja kumtangaza Membe kuwa anamiliki hiyo hotel.......
.................Membe usimlipe huyu posho!!
Kwa elimu gani aliyonayo Shebby Mix?
Ubaguzi mkubwa sana wa dini. Dont be too low chief
Mkuu kafiri ni nani kwa dini yenu