Sauti ya Rondo
Senior Member
- Aug 1, 2009
- 127
- 226
- Thread starter
- #21
General8 usipende kupayuka bila ushahidi.Tatizo lenu mnakuwa kama Woofer!
Acha uongo kila Mtanzania anampenda low asa mmjaribu kumchafua mmeshindwa
Sawa Mh. Bernad Kamilius Membe tumekusikia, msalimie Shebby Mix.
Membe sio mfanyabiashara.
Shebby Matelefone ametangulizwa tu kama boya. Watu tunajua hadi Membe alikotoa hela ila tunaogopa kusema kwa kuwa Membe anao maadui 11 na wa kwanza Absalom Kibanda tunajua alichokipata, wapili afisa ubalozi wa Libya "alijinyinga", Tusijekuwa wa 12.
RIP Muamar Ghadaffi
Hata Prof. Anna Tibaijuka alikana kwamba ile 1.6bl ilikua ni ya shule.
Habari watanzania wenzangu wapenda amani na maendeleo.Napenda kuchukua nafasi hii kutolea ufafanuzi suala la nani ni mmiliki wa Naf Beach Hotel iliyopo mkoani Mtwara.Kumekuwa na habari zikisambaa kwa muda mrefu sasa juu ya kuhusishwa kwa Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa katika umiliki wa hoteli hii ya nyota tano.
Ukweli ni kwamba Membe hajawahi kumiliki au kuwa sehemu ya umiliki wa hoteli hii.Membe hajawahi kufanya biashara.Kumhusisha Membe na umiliki wa Naf Beach Hotel ni kuchuma dhambi kwa muumba wa vyote duniani.Tusitumie siasa chafu kuchafua hata wasiohusika na mambo yanayozushwa mitaani.Hoteli ya Naf Beach ni mali ya Shabaan maarufu kama Shebby Mix aliyoijenga kwa mkopo kutoka Crdb.
Hakuna uhusiano wowote kati ya Membe na Shabaan iwe kiundugu,kiurafiki au kibiashara na ndio maana inakuwa sio afya kuleta mijadala inayosema uongo kuhusu hoteli hii isiyokuwa na jina lenye nasaba yoyote na Membe katika umiliki wake.Nasisitiza tujadili kweli na kuikataa uongo kwasababu itatuweka huru kifikra na kimaamuzi.Nawasilisha!
Habari watanzania wenzangu wapenda amani na maendeleo.Napenda kuchukua nafasi hii kutolea ufafanuzi suala la nani ni mmiliki wa Naf Beach Hotel iliyopo mkoani Mtwara.Kumekuwa na habari zikisambaa kwa muda mrefu sasa juu ya kuhusishwa kwa Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa katika umiliki wa hoteli hii ya nyota tano.
Ukweli ni kwamba Membe hajawahi kumiliki au kuwa sehemu ya umiliki wa hoteli hii.Membe hajawahi kufanya biashara.Kumhusisha Membe na umiliki wa Naf Beach Hotel ni kuchuma dhambi kwa muumba wa vyote duniani.Tusitumie siasa chafu kuchafua hata wasiohusika na mambo yanayozushwa mitaani.Hoteli ya Naf Beach ni mali ya Shabaan maarufu kama Shebby Mix aliyoijenga kwa mkopo kutoka Crdb.
Hakuna uhusiano wowote kati ya Membe na Shabaan iwe kiundugu,kiurafiki au kibiashara na ndio maana inakuwa sio afya kuleta mijadala inayosema uongo kuhusu hoteli hii isiyokuwa na jina lenye nasaba yoyote na Membe katika umiliki wake.Nasisitiza tujadili kweli na kuikataa uongo kwasababu itatuweka huru kifikra na kimaamuzi.Nawasilisha!
Mmeona la Naf Beach Hotel hamna ushahidi nalo sasa mnazusha la Kenya..guys argue with factsHow you know. Mpambe nuksi biashara ni yake na ana hotel nyingine kubwa tu kenya.
swissme
Membe sio mfanyabiashara.
Umekariri kila anayepingana na uongo pia ufisadi analipwa na Membe..we haufai kuwa mpambe!!! badala ya kukanusha. unakuja kumtangaza Membe kuwa anamiliki hiyo hotel.......
.................Membe usimlipe huyu posho!!
Usirukeruke..baki katika ajenda kuu.Membe sio mmiliki wa Naf Beach Hotel
Habari watanzania wenzangu wapenda amani na maendeleo.Napenda kuchukua nafasi hii kutolea ufafanuzi suala la nani ni mmiliki wa Naf Beach Hotel iliyopo mkoani Mtwara.Kumekuwa na habari zikisambaa kwa muda mrefu sasa juu ya kuhusishwa kwa Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa katika umiliki wa hoteli hii ya nyota tano.
Ukweli ni kwamba Membe hajawahi kumiliki au kuwa sehemu ya umiliki wa hoteli hii.Membe hajawahi kufanya biashara.Kumhusisha Membe na umiliki wa Naf Beach Hotel ni kuchuma dhambi kwa muumba wa vyote duniani.Tusitumie siasa chafu kuchafua hata wasiohusika na mambo yanayozushwa mitaani.Hoteli ya Naf Beach ni mali ya Shabaan maarufu kama Shebby Mix aliyoijenga kwa mkopo kutoka Crdb.
Hakuna uhusiano wowote kati ya Membe na Shabaan iwe kiundugu,kiurafiki au kibiashara na ndio maana inakuwa sio afya kuleta mijadala inayosema uongo kuhusu hoteli hii isiyokuwa na jina lenye nasaba yoyote na Membe katika umiliki wake.Nasisitiza tujadili kweli na kuikataa uongo kwasababu itatuweka huru kifikra na kimaamuzi.Nawasilisha!
Acha uongo , Shelby Hana Hata nusu Ya robo kujenga hiyo naf, achana na ile Ya karibu na stand, naf zote n za membe na aseme pesa alipata wapi.
Shida ya watanzania hatujiamini wenyewe na hatuamini mwafrika mwenzetu akimiliki biashara kubwa. Tunapoona mswahili mwenzetu ana biashara yenye mafanikio, conclusion yetu ni kwamba hawezi kuwa mmiliki wake ...kwasbabau mtu mweusi hawezi kumiliki biashara. Ile hoteli ingekuwa inamilikiwa na Somji, hapo ndio tungeridhika ni ya kwake. Hii ndio mentality ya General....
Na hata kama for the sake of argument hiyo hoteli ingekuwa ni ya Membe, basi nampongeza maana walau yeye amewekeza nchini....hoteli ile inatoa ajira kwa watanzania, inatoa fursa za wauza maziwa, vinywaji na vyakula kupata soko na inalipa kodi nchini. Bora hivyo, kuliko akina Chenge na mafisadi wengine wanaoweka pesa zao Jersey, Dubai na kwingineko ambako wananchi haaambulii kitu...
That said, Nijuavyo mimi mmiliki wa hoteli ile ni mfanyabiashara mtanzania Bwana Shabani ambaye pamoja na hoteli hiyo anamiliki kampuni kubwa ya ujenzi kanda ya kusini. Bwana huyo pia ni Exporter wa Ufuta na korosho nchini Japan na kwingineko. Bwana Shabani biashara hakuanza leo, amemekuwa akifanya biashara kwa mafanikio makubwa kabla hata Membe hajawa Waziri mwaka 2001.