Membe na vijana wake kuhamia CHADEMA 2019

Membe na vijana wake kuhamia CHADEMA 2019

Abaki huko hukoo...Wazidi kuvurugana! Akija huku bao la mkono watatupigaa tuu
 
Safari ya kuelekea kwenya ukombozi/mabadiliko ni ngumu mtapitia ktk hatua tata nyingi, kikubwa kiwango cha uvumilivu kina hitajika,kutoka kwa maccm kwenda upinzani kunachangamoto nyingi hawa jamaa wamewekeza na wana masilahi yao ndani ya ccm.ujio wa mhe Lowassa na kundi lake walikua na asilimia kubwa ya nchi kuchukuliwa na wapinzani,hivi sasa tunawaona sehemu ya kundi hili kujikomba kwa viongozi wa kuu wa ccm.
 
Hutaki kajinyonge
😕😕😕
FB_IMG_1543828528329.jpeg
 
Umesema kweli kabisa ndugu yetu
Safari ya kuelekea kwenya ukombozi/mabadiliko ni ngumu mtapitia ktk hatua tata nyingi, kikubwa kiwango cha uvumilivu kina hitajika,kutoka kwa maccm kwenda upinzani kunachangamoto nyingi hawa jamaa wamewekeza na wana masilahi yao ndani ya ccm.ujio wa mhe Lowassa na kundi lake walikua na asilimia kubwa ya nchi kuchukuliwa na wapinzani,hivi sasa tunawaona sehemu ya kundi hili kujikomba kwa viongozi wa kuu wa ccm.
 
Chadema wako bize kumpotosha Membe kama walivyompotosha Lowasa.

Mahaba ya Chadema kwa Membe yanasitajaabisha , badala ya kumlilia Mbowe yupo gerezani wako bize kumlilia mwana ccm Membe!!!!
Mbowe kuwa jela wala siyo habari, ni sawa na Dar kuwa na joto December!
 
MEMBE FOR PRESDENTIAL 2020 VIA CCM.MUNGU IBARIKI🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

Membe si mtu wa aina hiyo, anaamini ni suala la muda tu atapata madaraka akiwa CCM
 
Back
Top Bottom