Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,243
Umeonaeeeee?akiendelea tutamuunbua
Kwani hujuwi kuwa uliahidiwa sema bahati mbaya mzee sita hayupo ungekuwa unakaa kwake akufundishe miiko ya Chana!
Sijuwi kwa sasa nani anakufundisha ila tutamjuwa!
Anajidai hakumbuki hakuna Siri chini ya jua!