Membe na vijana wake kuhamia CHADEMA 2019

Membe na vijana wake kuhamia CHADEMA 2019

Umeonaeeeee?akiendelea tutamuunbua
Kwani hujuwi kuwa uliahidiwa sema bahati mbaya mzee sita hayupo ungekuwa unakaa kwake akufundishe miiko ya Chana!
Sijuwi kwa sasa nani anakufundisha ila tutamjuwa!
Anajidai hakumbuki hakuna Siri chini ya jua!
 
Hapa kwenye uzi wake kuna sehemu nimemjibu kuwa akiendelea kuisha nitamtoa nishai maana namfahamu vizuri sana
Acha mkuu nimemuona yule mtangazaji wa mapesa akisoma Tarifa ya habari siku hizi hanaga amani kabisa mkuu!
Muache tu mkuu inauma Sana!
 
Hapa kwenye uzi wake kuna sehemu nimemjibu kuwa akiendelea kuisha nitamtoa nishai maana namfahamu vizuri sana
Zawadi kubwa Sana kumtunzia Siri!
Sidhani kama atarudi tena kwa ubaya!
Watu wanajuwa Mambo ya Mtangazaji mapesa mda Ila waliyaweka vifuani sasa huyu naye tuya weke kifuani!
 
TWENDE NA MEMBE 2020
😀😀😀😀😀😀😀😀 haya mkuu.
FB_IMG_1543835313677.jpeg
 
Rafiki yangu aliniambia, Rafiki yangu akaniambia, rafiki yangu akaniambia......kisaikolojia ni hizi ni dalili za mtunga hadithi na hadithi tena za uongo.
 
Safari ya kuelekea kwenya ukombozi/mabadiliko ni ngumu mtapitia ktk hatua tata nyingi, kikubwa kiwango cha uvumilivu kina hitajika,kutoka kwa maccm kwenda upinzani kunachangamoto nyingi hawa jamaa wamewekeza na wana masilahi yao ndani ya ccm.ujio wa mhe Lowassa na kundi lake walikua na asilimia kubwa ya nchi kuchukuliwa na wapinzani,hivi sasa tunawaona sehemu ya kundi hili kujikomba kwa viongozi wa kuu wa ccm.
 
Mbona Kama Ni marudio ya 2015?
Marudio imekuwa movie we mzee zinakutosha kweli una juwa maana ya marudio!
Ata kama ni marudio we yana kuhusu nini!?
Yana madhara gani Kwako!?
Unazeeka vibaya!
Unataka kumfundisha Nani kuwa kurudia Darasa ni makosa au ukiteleza Mara moja basi Mara zote utateleza!!
Apa una shauri au ulitaka kusema nini!!!
 
Mbona Ccm mnachukua wa chadema na kuwapa uwaziri? Nyie hakuna succession plan??? Nyani hani kundule!!!
 
Hahahaha
Bavicha magoti fukara wa milele
 
Back
Top Bottom