Membe na vijana wake kuhamia CHADEMA 2019

Membe na vijana wake kuhamia CHADEMA 2019

Membe haendi popote. The guy is smart enough kuona kwa mazingira ya uchaguzi ya sasa, hana namna ya kupenya kuisogelea Ikulu akitokea CHADEMA. Yeye atatulia tu mpaka 2025
 
Membe haendi popote. The guy is smart enough kuona kwa mazingira ya uchaguzi ya sasa, hana namna ya kupenya kuisogelea Ikulu akitokea CHADEMA. Yeye atatulia tu mpaka 2025
2025 membe atakua na umri gani mkuu?
 
Yaani Mramba kujipendekeza kote mpaka Leo hata kacheo kadogo hawakakupa.Too unfair
 
Chadema kama watapokea tena mwanachama toka Ccm na kumpa post ya kugombea urais watakuwa ni chama kisichokuwa na mipango ya muda mrefu kwakuandaa wanachama wao wenye kujua vema misingi ya chama chao na viongozi wao nitawaona Mazuzu....kama hawajajifunza kilichowakuta rudieni tena japo Siasa ni upepo but mtairahishia Ccm kampeni na mtaonekana ni chama kisichokuwa na maandalizi
Ndg wajiandaeje? Bungeni wananyanyuliwa juu juu ka mzoga, nje ndio hivyo tena, M/kiti ananyea ndoo Segerea. Unasema ati wajiandae. Kivipi?
Nadhani uponyaji pekee ni shujaa kutoka ccm ndiye aingie upinzani na kuchukua hiyo nafasi wazi kabla hamjamthibiti naye ajizolee kura zote na upinzani na za ccm maruhani.
Nadhani Membe amekuja kuwa distract mkiwa mnamdhibiti, ndipo huyo shujaa apite kiulainiiii mmukute kulee. Strategic plan
 
Habari hizi nilizikia tangu 2016 nikiwa pale Makao Makuu ya CHADEMA. Ilisemekana kuwa Nape, Membe na wengineo wanapanga kuhamia CHADEMA.

Mwaka huo huo nikakutana na ndugu mmoja aliyekuwa makao makuu ya CCM lakini alikosa uteuzi wa wakuu wa wilaya na alikuwa kwenye mtandao wa Membe nikamjulisha habari za Membe kuhamia CHADEMA alishtuka kwa furaha. Akaniambia Membe ana dola nyingi ameficha ambazo alizipata kwa Gadafi.

Mwaka 2017 rafiki yangu mmoja mbunge kijana wa CHADEMA aliniambia kabla ya 2020 kutakuwa na uhamaji wa Wabunge kutoka pande zote. Aliniambia siasa za 2020 zitakuwa kama za Kenya. Siasa za muungano wa watu maarufu sio Umaarufu wa Vyama tena.Mwezi uliopita kuna rafiki yangu mwingine wa CHADEMA aliniambia umehama ila 2020 hamuwezi kushinda maana mtakimbiwa na wana CCM wengi.

Aidha Miaka mitatu sasa baadae nikifuatilia yanayoendelea ndani ya CCM na hatua mbali mbali za serikali kudhibiti fedha haramu kwenye maduka ya kubadilishia fedha na benki zetu naamini pasi na shaka kuwa huenda kweli zipo dola zimefichwa mahali zinataka kuingia kwenye mzunguko.

Taarifa za uhakika kutoka vyanzo vya ndani vya CHADEMA ni kuwa Membe anahamia CHADEMA. UKAWA unakufa kunakuja kitu ambacho Zitto amekuwa akikitangaza kinachoitwa ADF (Alliance for Democratic Front).

Vyovyote itakavyokuwa Magufuli ameshamaliza harakati hizi kwa mambo aliyoyafanya mpaka sasa. Kumshinda ni ndoto za mchana. Atabeba kura **** anakusanya senene au kumbikumbi.
Bado hujapewa hata utendaji wa kijiji,nenda moshi kalime ndizi at least
 
Habari hizi nilizikia tangu 2016 nikiwa pale Makao Makuu ya CHADEMA. Ilisemekana kuwa Nape, Membe na wengineo wanapanga kuhamia CHADEMA.

Mwaka huo huo nikakutana na ndugu mmoja aliyekuwa makao makuu ya CCM lakini alikosa uteuzi wa wakuu wa wilaya na alikuwa kwenye mtandao wa Membe nikamjulisha habari za Membe kuhamia CHADEMA alishtuka kwa furaha. Akaniambia Membe ana dola nyingi ameficha ambazo alizipata kwa Gadafi.

Mwaka 2017 rafiki yangu mmoja mbunge kijana wa CHADEMA aliniambia kabla ya 2020 kutakuwa na uhamaji wa Wabunge kutoka pande zote. Aliniambia siasa za 2020 zitakuwa kama za Kenya. Siasa za muungano wa watu maarufu sio Umaarufu wa Vyama tena.Mwezi uliopita kuna rafiki yangu mwingine wa CHADEMA aliniambia umehama ila 2020 hamuwezi kushinda maana mtakimbiwa na wana CCM wengi.

Aidha Miaka mitatu sasa baadae nikifuatilia yanayoendelea ndani ya CCM na hatua mbali mbali za serikali kudhibiti fedha haramu kwenye maduka ya kubadilishia fedha na benki zetu naamini pasi na shaka kuwa huenda kweli zipo dola zimefichwa mahali zinataka kuingia kwenye mzunguko.

Taarifa za uhakika kutoka vyanzo vya ndani vya CHADEMA ni kuwa Membe anahamia CHADEMA. UKAWA unakufa kunakuja kitu ambacho Zitto amekuwa akikitangaza kinachoitwa ADF (Alliance for Democratic Front).

Vyovyote itakavyokuwa Magufuli ameshamaliza harakati hizi kwa mambo aliyoyafanya mpaka sasa. Kumshinda ni ndoto za mchana. Atabeba kura **** anakusanya senene au kumbikumbi.
We ulihama CDM baada ya CCM kufika bei, yanayoendelea huko CDM yanakuwashia nini?
 
Chadema wako bize kumpotosha Membe kama walivyompotosha Lowasa.

Mahaba ya Chadema kwa Membe yanasitajaabisha , badala ya kumlilia Mbowe yupo gerezani wako bize kumlilia mwana ccm Membe!!!!


Usimfananishe Membe Na Lowassa

Lowassa Ni Mwanasiasa Mahiri lakin Membe Mwanakitengo Mahiri

Membe hawezi kurubuniwa kizembe Kama alivyorubuniwa Lowassa
 
Mimi CCM ila magufuri hapendwi kama unavyodhani ushauri hapa ni kujipanga kwa matumizi ya dola hamna ujanja mwingine. CCM tuna virusi/maadui wengi kuliko watiifu hutaki sumbua akili utaelewa tu.
Angalau umeongea cha maana kuliko huyo mchumia chini.
 
TWENDE NA MEMBE 2020 wewe siyo msemaji wa Membe kaa pembeni
Membe haendi popote. The guy is smart enough kuona kwa mazingira ya uchaguzi ya sasa, hana namna ya kupenya kuisogelea Ikulu akitokea CHADEMA. Yeye atatulia tu mpaka 2025
 
TWENDE NA MEMBE 2020
Hata kama ana 75 yrs, hivi katiba yetu imeweka ukomo wa umri kwenye kugombea Urais? Aside umri wake, huyu jamaa urais ataishia kuuota tu.
FB_IMG_1543828528329.jpeg
 
Back
Top Bottom