DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,652
- 2,642
Membe ni mvivu na kicheko.com,is the fallacy politician
Baada ya Kambi Mbili zenye Nguvu ndani ya CCM kuangushwa Vibaya na CDM katika chaguzi za Ubunge huko Arumeru Mashariki ( Namzungumzia Lowasa) na Udiwani huko Kirumba na Kiwira ( Namzungumzia Sitta)
Je ni wakati Muafaka sasa kwa CCM kuanza kumuandaa Benard Membe Apeperushe bendera 2015? Wana CCM Mnasemaje?
Sijui kwa nini watu wanamuona Membe ni predential material? Foreign affairs imemshinda atawezaje nchi nzima? kwa mdimu?
Unaposema CCM imuandae Membe kwa ajili ya 2015,ina maana lowassa na sitta walikuwa wameandaliwa na Chama?
OTIS
Join Date : 6th April 2012Hii post yako itatusababishia BAN tafadhari ifute!
Sijui kwa nini watu wanamuona Membe ni predential material? Foreign affairs imemshinda atawezaje nchi nzima? kwa mdimu?
Imemshindaje.
Kipi ameshindwa fanya kama sehemu ya majukumu yake.
OTIS
Join Date : 6th April 2012
Location : Mfereji maringo-Zanzibar
Posts : 186
Tume ya Katiba,
Wewe ni mgeni humu jukwaani. So far una siku kama 4 hivi lakini nimegundua you are Pro Magamba. Hii kazi unayofanya ilishawai kufanywa na wenzako. Wengi wao iliwashinda wakakata tamaa na hawaonekani kabisa jukwaani. Baadhi yao bado wanaendelea ingawa kwa kuchechemea kwa sababu hawana hoja. Nakushauri fanya kazi ya ushabiki wako kwa utaratibu. Ukikurupuka utapotea kama Mwita25 na Malaria Sugu. Hawa walikuwa na spidi kali zaidi yako.
Hebu tufafanulie imemshinda kwa misingi ipi? kuwa analytical kwamba kulitakiwa kifanyike hiki, lakini hakikufanyika au hakikukamilika kwa wakati husika. Siyo kuropoka tu eti imemshinda. Elezea kwa mifano nini kimemshinda?Ustaadhi B.Membe urais hauwezi, huoni hata mambo ya nje imemshinda mkulu ameamua kufanya kazi zake?
wewe ndiyo kilaza namba moja kabisaaa. Yaani wewe kigezo ndo umeona jina la mtu?? hebu tutoleeni utumbo humu. Huna akili kabisa weweJana ni shuhudia ukilaza wa Membe pale Taifa Stadium akiwa na Nape Nnauye katika Tamasha la Pasaka......ametamka four times anasema tumuombe R.I.P Vicent Kanumba badala ya Steven Kanumba. Sasa huyu ndo mtu anafaa?kama nchi ipo kwenye majonzi ya kumpoteza kijana wake na ambaye ametangaza taifa letu nchi za nje ambazo Membe ndo Waziri wa mambo ya nchi za nje na Kimataifa hajui hata jina. Je itakuwaje akipewa nchi si ndo hatajua kwa nini achaguliwe kuwa rais?
Hebu elezea hiyo equality uliyoionesha hapo? wanafanana nini? sura au? kuwa great thinker wewe acha kuandika kizembezembe ebooo! mnaboa sana humu watoto wa mayai ninyiBenard Membe=Jakaya Kikwete, So shida zitaendelea kwa ari zaid, nguvu zaidi na kasi zaidi.
Benard Membe=Jakaya Kikwete, So shida zitaendelea kwa ari zaid, nguvu zaidi na kasi zaidi.