Membe kuwania urais 2015...

Membe kuwania urais 2015...

jf bana.....haya ngoja magwiji wa siasa za bongo waje tuwasikie.
 
Hahahhahah! kukilacho kinguoni mwako! Yeye hakujua kama wakati mwingine rafiki ndiyo adui namba moja.
 
Bora Ustadh Membe ameligundua mapema, otherwiz ingekula kwake!
 
Joka la Mdimu hana ubavu wa kuwa rais wa nchi hii, kama alikuwa na mawazo hayo heri aachane na hiyo ndoto ingekula kwake. Kwanza atakuwa msafiri kama jamaa yake JK hatutaki miaka 5 mingine ya kuwa na rais miaka miwili ofisini mitatu nje ya nchi
 
Yeye ni ustaadh na 2015 hatutaki mwislam ikulu! Ale tende kwake!
 
Hivi mitanzania tumerogwa na nani nyoka tuliyenaye ametushinda kumuua

tunataka kuingiza mwingine wa type ile ile dah! Mungu waongoze waja wako wasirudie kosa tena.
 
No one like Lowassa 2015. Others they are just like wasindikizaj
 
amenambia mtoto wa mdogo wake ni baada ya kuona usalama wake unakuwa matatani halafu wajanja wanamla pesa tu

ajitoe tu maana hatuhitaji tena rais wa kucheka ovyo eti handsome,matokeo tunayaona kwa malaika
 
wewe unaishi vietnam nin?
ID maalum hizi, zinaitwa Saidia Lowasa Ashinde hata ikibidi kutoa tigo.

user-online.png
Kiboko Yenu

Today 14:47
#6
Member Array


Join Date : 12th February 2012
Posts : 44
Rep Power : 311



[h=2][/h]
 
Back
Top Bottom