Membe kuwania urais 2015...

Membe kuwania urais 2015...

Kwani Membe naye alikuwa anautaka "URAHISI"?. Ina maana watu wenye uwezo wa kuwa RAISI wamekwisha? Makosa ya 2005 na 2010 marufuku 2015.
 
Hahahhahah! kukilacho kinguoni mwako! Yeye hakujua kama wakati mwingine rafiki ndiyo adui namba moja.

ama kwa hakika tutayasikia mengi baada ya maamuzi ya kihistoria ya kikao cha NEC cha wiki iliyopita ambacho kwa kauli moja kilipitisha maamuzi ya kuwataka wabunge wapime na kuchagua kati ya U-NEC ama Ubunge,wengi hii hawakuitegemea maana wanataka wawe kote na chama kimesema hapana unatakiwa kuchagua moja,huyu ndio jakaya bwana...na bado wengine wengi watajitoa kabla ya kuingia kwenye kinyang'nyiro cha urais akiwemo mtaka urais mashuhuri anaetanga tanga makanisani kutafuta urais.
 
Kim, kwa hiyo wewe unaamini hayo mabadiliko yatambana EL?
 
Searching...100%
Loading...0%
Network failed !

Kumbe hata Jf kuna wambea !? Duh
 
Baada ya Kambi Mbili zenye Nguvu ndani ya CCM kuangushwa Vibaya na CDM katika chaguzi za Ubunge huko Arumeru Mashariki ( Namzungumzia Lowasa) na Udiwani huko Kirumba na Kiwira ( Namzungumzia Sitta)

Je ni wakati Muafaka sasa kwa CCM kuanza kumuandaa Benard Membe Apeperushe bendera 2015? Wana CCM Mnasemaje?
 
Joka la mdimu haliwezi kuongoza nchi hii. Tumetaabika sana na huyu legelege wa sasa hatutaki mchovu mwingine
 
1. Membe for the party's presidency
2. Sitta for the party's presidency
3. Nchimbi for the party's presidency
4. Magufuli for the party's presidency

5. DR. SLAA WILL BECOME THE HEAD OF THE COUNTRY FROM CHADEMA, THE RULING PARTY
 
Katiba mpya ndio itaamua rais awe nani!
Wajumbe 15 wa zanzibar ndio wenye sauti ya mwisho! muungano ukipona tu rais anatoka ZANZIBAR.
 
Membe huyu huyu anayepigania Tanzania kujiunga OIC?
For God sake this will not happen
Baada ya Kambi Mbili zenye Nguvu ndani ya CCM kuangushwa Vibaya na CDM katika chaguzi za Ubunge huko Arumeru Mashariki ( Namzungumzia Lowasa) na Udiwani huko Kirumba na Kiwira ( Namzungumzia Sitta)

Je ni wakati Muafaka sasa kwa CCM kuanza kumuandaa Benard Membe Apeperushe bendera 2015? Wana CCM Mnasemaje?
 
Sijui kwa nini watu wanamuona Membe ni predential material? Foreign affairs imemshinda atawezaje nchi nzima? kwa mdimu?
 
Baada ya Kambi Mbili zenye Nguvu ndani ya CCM kuangushwa Vibaya na CDM katika chaguzi za Ubunge huko Arumeru Mashariki ( Namzungumzia Lowasa) na Udiwani huko Kirumba na Kiwira ( Namzungumzia Sitta)

Je ni wakati Muafaka sasa kwa CCM kuanza kumuandaa Benard Membe Apeperushe bendera 2015? Wana CCM Mnasemaje?

wanaCDM hatusemi kitu
 
Alhaj Membe hafai hata kidogo, ni MDINI SANA. Pia ni lazy.
 
Back
Top Bottom