Chechetuka
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 549
- 44
Kadushik, hebu tufafanulie vizuri kuhusika kwa Membe ktk suala la OIC.
Kanda2 Mimi sina jazba, nafurahi kujua kuwa wewe ni mtu wa karibu wa GT kiasi hicho, maana unajua kuwa yupo safarini sasa hivi na atawasili baada ya muda fulani. Jitahidi kumsihi, akifika ajibu maswali yangu ya msingi ili tuweke rekodi sahihi ktk umma wa JF na wasomaji wengine. Usitie hofu, maana hata wewe siku utakayoshutumiwa bila ushahidi wa msingi, na kama nitakuwa najua ukweli wake, NITAKUTETEA mpaka dakika ya mwisho.
please JK replace this woman ASAP
she is not up to the job
GT, ktk thread hii nitakufa nawe. Nasema hivi kwa sababu najua mengi sana, bahati mbaya yale niyajuayo ndio umeyaleta hapa. Wewe sio mkweli wa kuaminiwa. Naenda kudunda mzigo, lakini nakuhitaji ujitokeze, or else nitakuumbua sana, na heshima uliyojijengea ktk JF itapungua kama sio kufa kabisa. Naomba kukuita FISADI mtoto kwa sasa wakati naondoka.
Ni vizuri kujua hulka ya watu unaotaka kuwahutubia au kuongea nao; sasa wewe Semilong mkuu unamshauri muungwana amtoe huyo mama London as our High commissioner!! Unafahamu muungwana na huyu mama wametokea wapi katika ukaribu wao? You are suggesting an impossibility; liwe na liwalo huyu mama atakaa pale for strategic personal reasons mpaka muungwana amalize ngwe yake. Kama huamini God willing utakujakumbuka haya niliyoandika muda wake utakapofika!!
Wewe jamaa muongo kama Membe.Huyu Mama hana njaa ana kampuni kubwa sana ya uwakili.www.rexattorney.co.tz kukubali nafasi ya kuwa ballozi ni kujipunguzia mapato yake ni Corporate Lawyer huyu mama sio Majura Magafu mtu wa mens reus, mama amejikita mikataba ya makampuni makubwa tizama clients wake ni kampuni gani. what is Balozi kwake? usilolijua ni usiku wa kisa. unajua maana ya Corporate Lawyer?
Kanda2,
Kama corporate lawyer kuna tija kuliko ubalozi mbona huyo mama London mpaka sasa?
There must be something in it. Na hii tabia ya kuwaita watu usiokubaliana nao kuwa waongo si tabia nzuri, ndugu yangu. Bulesi katoa point zake na wewe mwaga zako na sisi kadamnasi tuamue.
Kanda2,
Kama corporate lawyer kuna tija kuliko ubalozi mbona huyo mama London mpaka sasa?
There must be something in it. Na hii tabia ya kuwaita watu usiokubaliana nao kuwa waongo si tabia nzuri, ndugu yangu. Bulesi katoa point zake na wewe mwaga zako na sisi kadamnasi tuamue.
Rais ana kauli ya mwisho. Waziri anaweza kupendekeza na kushauri.Hivi Waziri ndio mwenye dhamana ya kuchagua balozi?