[/COLOR][/B]
Mkuu mbona uko kimya nimekujibu jana.kuwa ni Mkulo Mustafa,Zitto Kabwe, Kubenea, Shamsa Mwangunga.,
LAKINI LABDA Ufuatilie sana posts za Game Theory hajaacha kushambulia watu hasa hao unaosema kuwa ni waislam.Mfano kamshambulia JK kwenye mada nyingi sana kuliko hizi mbili za Membe,
kamshambulia Mkuu wa Usalama wa Taifa na idara kwa ujumla mkuu wa Usalama ni Muislam tizama vizuri utaona hilo,
Kamshambulia sana Rostam Aziz na kulikuwa na mchango wa kuchangia gazeti la Mwanahalisi hapa JF wakati ule ambapo Rostam Aziz alilipeleka gazeti hilo mahakamani.bila kumsahau Waziri Jumanne magembe, au tizama thread ya Waziri Juma Kapuya na Akudo Impact Band akimsaga waziri Kapuya.
GT kwenye mada nyingi tu kamshambulia Rostam.na Yusuf Manji. kamshambulia Balozi Majaar, Ridhwan Kikwete,Marehemu Amina Chifupa, Juma Pinto,
unaweza kujiridhia kwa kupitia posts zake ambazo ziko humu.kwa hiyo jibu ni ndiyo kashawahi mara nyingi kuwashambulia viongozi waislam lakini hajawahi kumshambulia john Malecela,Anna kilango,John MAGUFURI, Naibu waziri Chami.