Membe jiandae kisaikolojia

Kama umechukua point za Musiba vile..
 
Naona Mr slim tumbo linamuuma huko alipo nayeye ajiandae kisaikolojia [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hi ya Membe nimeipenda.hakuna kitu kama hicho kwenye katiba ya chama chochote kwamba raisi anatakiwa kutawala kwa miaka kumi mfululizo.so nisawa kukumbushwa kama anachokifanya na baadhi ya akina Membe.Aliyoko madarakani asijihararishie kwamba yukohapo kwa miaka kumi.Ndiyo maana kuna uchaguzi kuanzia ndani ya chama hata katika ngazi ya taifa kila baada ya miaka 5.acheni kuwamilikisha nchi watalawa.

Kama tutaona wanafaa turawachagua tena lakini isiwe given.Lazima tuwa na watu watakao leta challenge za wazi wazi.

Wengi tu ndani ya ccm hawakubaliani na yanayoendelea lakini wamejaa uoga na unafiki.Sasa hivi ukiangalia kwa makini ndani ya chama ni kama kimekuwa cha wachacje na wengine hawana sauti.yaani maamuzi mengi ya chama ni wachache sana.nadhani hawazidi watatu wanne hivi.yaani ile NEC ya zamani ilishavunjwa nguvu kabisa.ile ambayo hata mwenyekiti wa Taifa alikuwa akiiogopa enzi zile.majeruhi ndani ya ccm ni wengi sema wengine wamejeruhiwa mpka akili zao.sasa hivi nadhani wajumbe kabla ya kutoa kichangia hoja wanapima kwanza upepo wa mwenyekiti unaelekea wapi.ndiko nako watakako jielekeza.hakuna anayeweza toa hoja mbadala inayokinzana na mwenyekiti.demokrasia inaonekana kuminywa ndani ya chama hadi nje ya chama.akina Rostam wanabwabwaja kwa minajili ya kulinda maslahi yao binfsi siyo ya nchi.ndiyo maana zile shares za voda zimerudishwa chamani.hata Membe mwenyewe pia ana maslahi binafsi.

Hili la pili la kwamba serikali ya awamu iliyopita serikali iligubikwa na mikataba mibovu na ufisadi.hata baado serikali ya awamu ya tano haijaweza kuthibitisha hili kwa vitendo.kwamba ukimaliza ufisadi maisha yanakuwa bora .maisha bora kwa kila mtanzania ilikuwa ni kauli mbiu iliyotekelezwa enzi zile.

maana sasa hivi maisha tunayoishi utafikiri ndiyo nchi imeshauzwa tayari .maana kila sector haiendi.maisha magumu sana kiasi kwamba tunakumbuka maisha ya utumwani.mpaka nahisi Mzee wa msoga hakufanya hand-over vizuri serikali yake.kuna siri zake za kuongoza nchi alibaki nazo.kuna makabrasha bado anayo hakumuachia mwenzie
Tunajenga miundombinu huku maisha yakizidi kuwa magumu.biashara zinakufa kwa mazingira mabaya.sasa tutamaliza ujenzi wa miundombinu huku tukiwa tayari tumeshaondoa imani ya wakezaji dhidi ya mazingira ya hovyo ya ufantanyaji biashara.

Tuendelee kuwakumbusha walioko madarakani kwamba wapo pale kwa muda tu.wanachofanya sasa lazima kiwe kinalenga kutatua changamoto za wananchi kwa sasa na kwa baadaye.wengine watakuwa wemeshakufa utakapomaliza kujenga reli.hebu tuangalie toka toka dream liner imeingia nchini imeshaingiza sh.ngapi
 
Upuuzi mtupu umeandika
 
Duh..

Membe amewahi kuwa na awamu yake kumbe.??
 

Hakuna aliyemsafi hata waliopo siku system itakapowatuma watalimia meno wataomba poo,matumizi mabaya ya Madaraka, matumizi mabaya ya fedha za umma,uhujumu uchumi, upotevu wa watu,nk.
 
13 Musa akawaambia watu, Msiogope, simameni tu, mkauone wokovu wa Bwana atakaowafanyia leo; kwa maana hao Wamisri mliowaona leo hamtawaona tena milele.

Kutoka 14 :13
14 Bwana atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya.

Kutoka 14 :14
 
Wewe omba tu Mungu pepo la kujiongezea muhula wa tatu limpitie mbali vinginevo hakuna wa kumzuia rais wa nchi hii kufanya anachotaka.
Ndoto hizo yye si MKubwa kuliko Tz watagawana fito usione watu wako kimya ukatafsiri ni wajinga
 
Hajui hata 2015 system ilikuwa haimtaki pamoja na familia ya JK kuwa upande wake asubiri maumivu zaidi very soon
 
Alafu mkiambiwa lichama lenu ni chama la mafisadi mnabisha wakati humu mnalipuana wenyewe na kutudhihirishia mnalindana kwa mashariti gani!!!

Zero kabisa wewe!!!
Stress zitakuuwa wewe! Naona hata Lowassa amekukimbia. Vipi mwaka 2015 si ulisema "Ulipo Tupo" imekuwaje sasa??!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…