Membe ameanza kutupa karata zake!!!

Membe ameanza kutupa karata zake!!!

Naam,katika pitapita zangu nimesikia mahali kuwa Ndugu Bernard Membe ameanza kuzichanga karata zake,na haya yanayoendelea ni moja ya plan zake kuelekea 2020!!
Lengo likiwa kutikisa kiberiti ili watu waone ni namna gani JPM haungwi mkono na vigogo wa CCM japo wapo kimya tu!!!!
Tetesi zilizopo ni kuwa bado kuna clip nyingine 3 za vigogo ambazo ziko pending kusubiri wakati sahihi kuziachia!!!!
Yajayo yanafurahisha!!!!!!
Alishindwa kuwa rais wakati wa kakake JK wakati urais hauna mtu ataweza kuupata wakati tayaru nwenye urais wake amejaa tele😁
 
Sina imani kama membe anakubalika ndani ya ccm kama ambavyo Lowassa alikua anakubalika kabla ya uchaguzi wa 2015.Lakini kilichotokea kila mtu ni shahidi hivyo bax membe ni kama anafurahisha genge tu na ikitokea ccm wamempitisha watashinda lakini kwa nguvu nyingi ya dola
 
Naam,katika pitapita zangu nimesikia mahali kuwa Ndugu Bernard Membe ameanza kuzichanga karata zake,na haya yanayoendelea ni moja ya plan zake kuelekea 2020!!
Lengo likiwa kutikisa kiberiti ili watu waone ni namna gani JPM haungwi mkono na vigogo wa CCM japo wapo kimya tu!!!!
Tetesi zilizopo ni kuwa bado kuna clip nyingine 3 za vigogo ambazo ziko pending kusubiri wakati sahihi kuziachia!!!!
Yajayo yanafurahisha!!!!!!
Naamini huu utakuwa mpango wa the Almighty God, sio yule tunayesikia wanamtaja upande pili wengine wakiwa wanalia makanisani!
 
Sina imani kama membe anakubalika ndani ya ccm kama ambavyo Lowassa alikua anakubalika kabla ya uchaguzi wa 2015.Lakini kilichotokea kila mtu ni shahidi hivyo bax membe ni kama anafurahisha genge tu na ikitokea ccm wamempitisha watashinda lakini kwa nguvu nyingi ya dola
LOWASA NI DEAD reality.

ALIYESHINDA KWA NGUVU NI JIWE.

2020 KWENYE BOX HATOBOI,KUKINUSURU CHAMA MEMBE TU ANTOSHA.

2020 MWAKA WA KUMWAGA POMBE,NA POMBE SIO CHAI.😊😁😂😂😂
 
Membe hawezi kuwa Rais.
Hata yeye ana fahamu.
Membe na kikwete ni watu ambao walituuza sana watanzania (Spirtual)

Majuzi,Membe na Kikwete walijaribu kutumia madawa na mbinu zao za ki Roho lakini zili Fail.

Kwa maana rahisi,Rohoni wamegoma/kushindwa na hata mwilini wameshindwa pia.

Ki,uhalisia
Magufuli ni Mtu ambaye amewekwa for mission na hata CCM ITAMFIA MIKONONI MWAKE!!!!
History is going to be written.ONE TERM PRESDENT in history of Tanganyika at large and Tanzania in particular
 
Membe hawezi kuwa Rais.
Hata yeye ana fahamu.
Membe na kikwete ni watu ambao walituuza sana watanzania (Spirtual)

Majuzi,Membe na Kikwete walijaribu kutumia madawa na mbinu zao za ki Roho lakini zili Fail.

Kwa maana rahisi,Rohoni wamegoma/kushindwa na hata mwilini wameshindwa pia.

Ki,uhalisia
Magufuli ni Mtu ambaye amewekwa for mission na hata CCM ITAMFIA MIKONONI MWAKE!!!!
nothing written mr.

polepole mbivu mbichi zitajulikana.

USIHANGAIKE.
 
Sina imani kama membe anakubalika ndani ya ccm kama ambavyo Lowassa alikua anakubalika kabla ya uchaguzi wa 2015.Lakini kilichotokea kila mtu ni shahidi hivyo bax membe ni kama anafurahisha genge tu na ikitokea ccm wamempitisha watashinda lakini kwa nguvu nyingi ya dola
Kwani JPM alikuwa anakubalika 2015?Si aliokota dodo baada ya wanaCCM kuwa na hasira baada ya Lowassa kukatwa!!!Wakaamua kupiga kura za hasira kwa kuwaengua wale ambao walionekana ni mpango wa JK,hivyo katika process JPM akabahatika kuonekana ana unafuu katika top 3!
 
Alishindwa 2015 chances zote zikiwa favorable kwake,ndo ataweza 2020?Again hafiki popote.
Si kweli,waNEC walishtukia mchezo hivyo 2015 walipiga kura kumkomoa JK kwa kuondoa wale ambao alienda na majina yao mfukoni!!!Kura za hasira ndio zilimpa JPM ushindi!Sasa hao hao member wa NEC wamechukizwa na mtu huyu,tutegemee kuiona hasira yao kwenye kura ya maoni!
 
Si kweli,waNEC walishtukia mchezo hivyo 2015 walipiga kura kumkomoa JK kwa kuondoa wale ambao alienda na majina yao mfukoni!!!Kura za hasira ndio zilimpa JPM ushindi!Sasa hao hao member wa NEC wamechukizwa na mtu huyu,tutegemee kuiona hasira yao kwenye kura ya maoni!
Asubiri 2025 atifuane na kina January,Nappe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom