vp madai ya vigogo yako sahihiNaam,katika pitapita zangu nimesikia mahali kuwa Ndugu Bernard Membe ameanza kuzichanga karata zake,na haya yanayoendelea ni moja ya plan zake kuelekea 2020!!
Lengo likiwa kutikisa kiberiti ili watu waone ni namna gani JPM haungwi mkono na vigogo wa CCM japo wapo kimya tu!!!!
Tetesi zilizopo ni kuwa bado kuna clip nyingine 3 za vigogo ambazo ziko pending kusubiri wakati sahihi kuziachia!!!!
Yajayo yanafurahisha!!!!!!
Kuna sehemu hakupo sawa mzee mwenzanguwatu wote wanajua kwamba magufuli na ccm haziivi,tangu wakati wa campaign.
kwahiyo yeye hana haja ya kupima pima maji,aingie tu si anayo pumzi na kuogelea anaweza!
wala sina shaka kwenye hili,maadam mtifuano huu haupo kwa maslahi ya taifa bali ya watu binafsi,nami nasema wacha watifuane kwakuwa nina uhakika atakayeibuka mshindi ni magu.Kuna sehemu hakupo sawa mzee mwenzangu
Membe hafiki popote. Bora Magufuli mara elfu kuliko Membe.
UNAFIKI HUONaam,katika pitapita zangu nimesikia mahali kuwa Ndugu Bernard Membe ameanza kuzichanga karata zake,na haya yanayoendelea ni moja ya plan zake kuelekea 2020!!
Lengo likiwa kutikisa kiberiti ili watu waone ni namna gani JPM haungwi mkono na vigogo wa CCM japo wapo kimya tu!!!!
Tetesi zilizopo ni kuwa bado kuna clip nyingine 3 za vigogo ambazo ziko pending kusubiri wakati sahihi kuziachia!!!!
Yajayo yanafurahisha!!!!!!
yesu ni mwana wa Mungu alikuja kuponya wagonjwa na wenye shida mbalimbali .lakini alibezwa .itakua binaadam , chapa kazi magufuli, ccm miaka ni kumi , wasikutoe kwenye reli , vinginevyo mtaonekana hamjiamini na mnachokiamua , kamati nzito sana ilioamua magufuli kugombea uraisi .Kwaiyo unamaanisha yesu ni kama nani?
Nimegundua kuwa TISS ni chombo dhaifu mno kama wanakubali kutumika Kwa kuingilia mazungumzo ya watu ilimradi musiba apate ushindi hili ni Jambo la kijinga kabisa..
Hizi clips ni aibu Kwa Mkurugenzi wa TISS aneyetumiwa na CCM Kwa manufaaa ya kisiasa