Mmwaminifu
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 1,129
- 302
kwenye hili nageuka tomaso!
nakuunga mkono mkuu
kwenye hili nageuka tomaso!
Akili ya kuambiwa, changanya na ya kwako.
Hahahahahaaaa!!!!duh, ilipigiwa kisomo?
kwenye hili nageuka tomaso!
Hahaha labda kama ni principle ya kimwanaasha ndo itaibuka!
maeneo ilikoibukia?
Hapo kuna mkono wa mtu,lol!
Kwa mujibu wa taarifa aliyoitoa kaimu mkurugenz wa bandar bw.abdallah kombo habar hii si kwel
Tetesi nyingine ni kutumia akili, hivi meli izame halafu ije iibuke!!!'' Bado haiingii akilini.