kaz kwelikweli
Imeibukia kwa Gwajima Kawe?
Itakuwa airbags zimefunguka
Kwahiyo kama imeibuka?
watu mnazidi kuonyesha mnavoamini uchawi hadi kwenye vitu vinavyohitaji scieNtific explanations
kama imeibuka ni kuangalia cause, lazima kuna kitu cha kuweza kuexplain msianze na uchawi, sasa mchawi aizamishe afu airudishe ya nini, si angeacha waifuate wenyewe... na wale mnautuambia archimedes principle em acheni kutupiga fix, archimedes principle haifanyi kazi hapa... hiyo upthrust imekaa muda wote huo kuja kufanya kazi leo, ilitakiwa iwe immediate au isingezama kabisa ndio mngetupa principle yenu hiyo..