Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,716
- 29,071
Mzuka wanajamvi,
Baada ya Opec ikiongozwa na kushinikizwa na Russia na Saudi Arabia kupunguza uzalishaji wa mafuta ili bei ipande. Upepo umebadilika. Sasa hivi Marekani wameamua kuachia mafuta yao kuyauza kwa wingi kwenye soko la dunia.
Meli kubwa za mafuta 48 supertankers ziko njiani baharini kuelekea marekani kuchukua mafuta na kusambaza kwenye soko la dunia.
Hii number ni rekodi. Sasa hivi marekani wanazalisha mapipa million 4 kwa siku kutoka laki moja.
Na imewavutia sana makampuni ya meli za mafuta na kuanza kuelekea marekani kwani ni faida kwako.
Uchumi wa Marekani sasa hivi unazidi kukua zaidi na zaidi baada ya inflation ukilinganisha kama tarehe hizi mwaka jana.
Soma zaidi kwa Kiingereza.
Cc Proved zitto junior T14 Armata
Baada ya Opec ikiongozwa na kushinikizwa na Russia na Saudi Arabia kupunguza uzalishaji wa mafuta ili bei ipande. Upepo umebadilika. Sasa hivi Marekani wameamua kuachia mafuta yao kuyauza kwa wingi kwenye soko la dunia.
Meli kubwa za mafuta 48 supertankers ziko njiani baharini kuelekea marekani kuchukua mafuta na kusambaza kwenye soko la dunia.
Hii number ni rekodi. Sasa hivi marekani wanazalisha mapipa million 4 kwa siku kutoka laki moja.
Na imewavutia sana makampuni ya meli za mafuta na kuanza kuelekea marekani kwani ni faida kwako.
Uchumi wa Marekani sasa hivi unazidi kukua zaidi na zaidi baada ya inflation ukilinganisha kama tarehe hizi mwaka jana.
Soma zaidi kwa Kiingereza.
A Record Number of Supertankers Is Headed to Collect US Oil
(Bloomberg) -- A record number of supertankers is steaming toward the US to load oil as shipowners look to capitalize on an increase in the nation’s crude exports. Most Read from BloombergTrump Testimony Called a ‘Broken Record’ by Judge: Trial UpdateIsrael Latest: Netanyahu Sees a Role in Gaza...
finance.yahoo.com
Cc Proved zitto junior T14 Armata