Jamani, nilikua huko, kimefanyika kituko, Ikulu wamegawa makundi mya watu wanne wanne, sisi tumerudishiwa getini tumepangiwa muda mwingine (sitaji muda watanijua)... kwa hiyo hiyo ndio hali halisi, kwamba leo kutwa nzima Rais atakua na kazi ya kuzungumza na waandishi wa habari
Hii iende kwenye udaku haraka sana.