Meditation in your daily routine

Meditation in your daily routine

Mkuu hili zoezi la kusimamia jambo 1 kwa siku kwa wakati uleule mimi nimelifanya miaka mingi sana. Naomba njia nyingine niweze maditation kiongozi
 
Mkuu hili zoezi la kusimamia jambo 1 kwa siku kwa wakati uleule mimi nimelifanya miaka mingi sana. Naomba njia nyingine niweze maditation kiongozi
Fuata next step
 
mimi nimefanya ni muda mrefu sasa hakuna kitu tofauti nimeona hata ile nuru sijaona zaidi nilitoka vipele usoni na haviishi labda niendelee kufanya tuu au nakosea.?
Zinatokea sana hizo wengine huumwa, kuharisha ama kutoka vipele... Endelea Usiache
 
Mimi kila nki jaribu ku meditate naisi kama.kuna mwanga mweupe una toka kati kati ya macho afu una potea yani ni kama una waka na kuzima shida nini....
 
Vipi ya mchana kuangalia kwenye jua ukiwa umefumba macho? uliwahi kuijaribu?
 
Ina maana hiyo haina faida yoyote? Kuna mtu anasema eti hiyo inaleta matokeo ya haraka zaidi.
Mungu wangu labda jua la ulaya, jua la bongo hili dakika tano tu ukifungua macho utaona nyotanyota nyekundu na nyeusi
 
Mungu wangu labda jua la ulaya, jua la bongo hili dakika tano tu ukifungua macho utaona nyotanyota nyekundu na nyeusi
Maelezo ya mtu huyo ni kwamba kinachotakiwa ni kuingiza energy kwenye paji la uso ambamo ndo kuna ile central processing ya akili ya mwanadamu.
 
Maelezo ya mtu huyo ni kwamba kinachotakiwa ni kuingiza energy kwenye paji la uso ambamo ndo kuna ile central processing ya akili ya mwanadamu.
Lile ni joto energy haiingizwi vile.. Energy ipo hata kizani
 
Back
Top Bottom