Meditation in your daily routine

 
Ndugu ubarikiwe sana nimeingia humo nimejifunza mengi!
 
Meditation kwa kiswahili ni tahajudi, tahajudi maana yake ni mazoezi ya kiufahamu ya kufanya jambo moja kwa wakati mmoja kimawazo kifikra na kimatendo bila kuchanganya na jambo Lingine lolote kwa kuwaza kwa kunena na kwa kutenda
Ooooho asanteee kwa elimu ngoja niende playstore nikadownload meditation musics
 
Asante kwa hii
 
Mshana muda wa kukaa unaambiwa ukae mwili usiwe na maumivu sasa mbona style ya kukaa huku miguu imekunjwa ni lazma itauma na kupata ganzi, Hapo inakuaje?
Mwanzoni lazima upate maumivu ila kila ukipata maumivu pumzika
Pia punguza sana kula nyama
 
Mwanzoni lazima upate maumivu ila kila ukipata maumivu pumzika
Pia punguza sana kula nyama
Halafu kwenye meditation naona zinaandikwa faida tu, Je hasara zake ni zipi?
Kuna thread ya rakims nmesoma ukihisi kuchemka gonga kidole uache, ukihisi nini sijui gonga kidole uache, kidole unagongaje?Je ukisitisha tu ghafla nini kinatokea?
Na ukipata mshituko katikati ya kumeditate haiwezi kukuathiri? Kudisturb mind?
 
Binafsi sijawahi kuona hasara za meditation, kwenye kugonga kidole Kwakweli sijui vizuri
Mengine yote hakuna shida kwakuwa meditation ni tendo la hiari
 
Asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…