wewe ustadhijuma si unasoma basic certificate in clinical medicine pale city college tandika?wewe hunijui Mimi acha kujifanya unanifahamu!! Mimi na wewe tumefahamiana hapa jf nashangaa hayo majigambo yako yakujifanya wanijua tangu nasoma yanatoka wapi? Mi sipendi siasa zako uchwara bhana jirekebishe
Humu jf kuna watu waongo sana,mtu bila chembe ya aibu anakwambia amesomea udaktari pamoja na engineeringteh teh...uongo mwingne hatari
Engineer tukikosea katika design ni hatari mno kuliko hata dokta anaepoteza uhai wa mtu wa mmoja , Gari ikikosewa itaua zaidi ya mtu mmoja,Ghorofa likidondoka hizo nuclear power station ndo usiseme zikileta figisu habaki mtuaaaah wapi.......barabara inafumuliwa na Magufuli au umesahau kuwa zinafumuliwa....na sio barabara tu hata vitu vingne engineer akikosea mfano akikosea kutengeneza simu anaweza kurudia before haijaingia sokoni
umesahau before hamjakabidhi hayo maghorofa ,barabara na nyukilia uwa zinakaguliwa kwnza...zikileta figisu zinafumuliwa.....je mtu akifa anafufuliwa???Engineer tukikosea katika design ni hatari mno kuliko hata dokta anaepoteza uhai wa mtu wa mmoja , Gari ikikosewa itaua zaidi ya mtu mmoja,Ghorofa likidondoka hizo nuclear power station ndo usiseme zikileta figisu habaki mtu
lakini usishangae sana si unaona kuna watu wana zaidi ya tano hapa nchiniHumu jf kuna watu waongo sana,mtu bila chembe ya aibu anakwambia amesomea udaktari pamoja na engineering
lakini usishangae sana si unaona kuna watu wana degree zaidi ya tano hapa nchini
teh teh we acha tu ustadhijumalakini usishangae sana si unaona kuna watu wana zaidi ya tano hapa nchini
Bwana mdogo acha kutumia kichwa kufugia nywele tu ebu jifikirishe kidogo nimepitia huu uzi unaongea utoto utoto grow upumesahau before hamjakabidhi hayo maghorofa ,barabara na nyukilia uwa zinakaguliwa kwnza...zikileta figisu zinafumuliwa.....je mtu akifa anafufuliwa???
Humu jf kuna watu waongo sana,mtu bila chembe ya aibu anakwambia amesomea udaktari pamoja na engineering
Hahaahahhahaa watu mna maneno makari sanaBwana mdogo acha kutumia kichwa kufugia nywele tu ebu jifikirishe kidogo nimepitia huu uzi unaongea utoto utoto grow up
mkuu katk mechanical engineerng kuna basic electronics kama moja ya somo pia iko automation na mechatronics hvyo tengua kauliKwa ufahamu wako mpaka sasa fault zote kwenye gari ni mechanical kwa kuzingatia magari mengi siku hizi yana lots of electrical na electronic components au systems ambazo zimekuwa integrated na mechanical systems. Halafu toa mfano ambao ni specific ili ueleweke unataka kusema nini.
Je, madaktari ndio hawakosei kufanya diagnosis ya magonjwa? Pale MOI mgonjwa wa kichwa kupasuliwa goti na wa goti kupasuliwa kichwa, je hii unaitazama vipi?
mkuu katk mechanical engineerng kuna basic electronics kama moja ya somo pia iko automation na mechatronics hvyo tengua kauli
.eti ni kweli medical students are not creative than engineering students ........
lakin napata mashaka kwani kuna maengineer wengine waliosoma miaka minne tena elimu ya chuo kikuu mechanical engineering lakin hawawezi kutrace tatizo dogo tu kwenye gari,,,yaaan namanisha
"There are some people who spent4 years in the university studying Mechanical engineering yet they won't be able to detect even the least fault in a car"
ebu twende kwenye conceptual analysis kwa mtazamo wangu mie naona maengieer wako vizuri na huko mbeleni kutatokea programme za ki IT zitakazowareplace madoctor japo ni baadae sana....
N.B huu ni mtazamamo tu mawazo masela msijenge chuki na mimi..haya ni mawazo tu,,,,,mengine yanakaribishwa jukwaani...
wale waliosoma masomo ya sanaa nawaomba nyie muwe mashabiki tu...huu uzi unawahusu kidogo mnaweza kutoa mchango wenu...
Kwa mtazamo wangu tu aliyeanziaha mada inaonyesha bado ana ufahamu mdogo na masuala ya taalamu za watu sana sana kama amesoma mwisho kidato cha nne.Cha ajabu unaweza kuta wanao argue katika mada hii,hakuna hata mmoja aliye mhandisi au daktari.
Dogo sijakuelewa lengo lako ni nini kufanya comparison ya watu ambao wako fani tofauti.Kila fani ni nzuri awe mwalimu,doctor,Mhasibu au Engineer inategemea wewe unapendelea nini.Huwa tunasema tu mara nyingi Doctor Fulani ni mzuri kuliko Doctor Fulani labda kwa upande wa kinamama.watoto n.k. Pia huwa tunasema Engineer Fulani ni mzuri sana kwenye mambo ya Automation au Design nk kuliko Engineer Fulani, Au tunasema Fulani ni mzuri kwenye mambo ya IT SECURITY kuliko fulani. Huwezi kumlinganisha Engineer na Fundi wa VETA. Fundi atabaki kuwa fundi na Engineer atabaki kuwa Engineer.eti ni kweli medical students are not creative than engineering students ........
lakin napata mashaka kwani kuna maengineer wengine waliosoma miaka minne tena elimu ya chuo kikuu mechanical engineering lakin hawawezi kutrace tatizo dogo tu kwenye gari,,,yaaan namanisha
"There are some people who spent4 years in the university studying Mechanical engineering yet they won't be able to detect even the least fault in a car"
ebu twende kwenye conceptual analysis kwa mtazamo wangu mie naona maengieer wako vizuri na huko mbeleni kutatokea programme za ki IT zitakazowareplace madoctor japo ni baadae sana....
N.B huu ni mtazamamo tu mawazo masela msijenge chuki na mimi..haya ni mawazo tu,,,,,mengine yanakaribishwa jukwaani...
wale waliosoma masomo ya sanaa nawaomba nyie muwe mashabiki tu...huu uzi unawahusu kidogo mnaweza kutoa mchango wenu...