Lakini hata Mimi sikuzugumzia social science am talking about doctor or engineer as thread statements. Nakubaliana na wewe lakini....!unaposema ivo unafeli kijana......definition ya creative person inasema hivi ''a person who grows or makes or invents things''......definition hii inabezi kwenye science tu ndo maana tunapata mtu anayeitwa creator...lakn kwenye social science hatunaga macreator ila tuna watu kama illustrators ambao kazi yao ipo kisanaa zaidi yaan illustrator is an artist who makes illustrations (for books or magazines or advertisements etc.)
Who is an artist and who is an engineer?Is God an artist, Doctor or an engineer?
Kosa moja la engineer linaweza kugarim maisha ya watu wengi engineer akikosea kudesign hao wagonjwa wanaweza kupukutika wengi sana
Akikosea kujenga barabara si itaua watu weng ndio ijulikane kakoseasio kweli....engineer akikosea anaweza kufanya correction mfano akikosea kujenga barabara anafumua anajenga upya....doctor akikosea mgonjwa anakufa na hawez kufufuka
Akikosea kujenga barabara si itaua watu weng ndio ijulikane kakosea
Au hujui ata kama vifaa vyote anavyotumia daktar kugundua ugonjwa vinatengenezwa na engineeraaaah wapi.......barabara inafumuliwa na Magufuli au umesahau kuwa zinafumuliwa....na sio barabara tu hata vitu vingne engineer akikosea mfano akikosea kutengeneza simu anaweza kurudia before haijaingia sokoni
Au hujui ata kama vifaa vyote anavyotumia daktar kugundua ugonjwa vinatengenezwa na engineer
Au hujui ata kama vifaa vyote anavyotumia daktar kugundua ugonjwa vinatengenezwa na engineer
Mkuu, soma wikipedia kuhusu kosa la Engineer wa umeme janga la kulipuka kinu cha Nuclear kule Urusi miaka ile ya themanini,halafu urudi tena jukwaan hapasio kweli....engineer akikosea anaweza kufanya correction mfano akikosea kujenga barabara anafumua anajenga upya....doctor akikosea mgonjwa anakufa na hawez kufufuka