marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 1,091
- 1,915
Sijawahi kuwaona CNN ,DW wala BBC wakiwa karibu na nchi yetu kiasi hiki
Tume kuwa tukifanya mazuri mengi hata mabaya vyombo hivi havijawahi kuonekana kujikita na taarifa za nchi yetu
ila wakati huu wamekuwa mstari wa mbele sana kurepoti vya kweli na visivyo vya kweli kwa ukaribu na userious usio wa kawaida
wasiwasi wangu ni kwamba media hizi kuwa zina tumika vibaya na mabepali kuhakikisha nchi hai tulii na wao kunufaika na machaguko kama ilivyo kwa nchi nyingi sina ulazima wa kuitaja ..
CNN leo wakutoa repoti mpaka setelite mbona hawatoi hizo ripoti Gaza ,Ukraine ,Somalia sehem kibao kuna hali mbaaya zaidi ila wame tolea macho Tanzania kujaza sumu raia waichukie serikali yako tiifu.
tuwakatae kwa NENO moja hatupo tayari kuvunja amabi tuli ijenga kwa zaidi ya miaka 60 kwasbabu yao.
Tume kuwa tukifanya mazuri mengi hata mabaya vyombo hivi havijawahi kuonekana kujikita na taarifa za nchi yetu
ila wakati huu wamekuwa mstari wa mbele sana kurepoti vya kweli na visivyo vya kweli kwa ukaribu na userious usio wa kawaida
wasiwasi wangu ni kwamba media hizi kuwa zina tumika vibaya na mabepali kuhakikisha nchi hai tulii na wao kunufaika na machaguko kama ilivyo kwa nchi nyingi sina ulazima wa kuitaja ..
CNN leo wakutoa repoti mpaka setelite mbona hawatoi hizo ripoti Gaza ,Ukraine ,Somalia sehem kibao kuna hali mbaaya zaidi ila wame tolea macho Tanzania kujaza sumu raia waichukie serikali yako tiifu.
tuwakatae kwa NENO moja hatupo tayari kuvunja amabi tuli ijenga kwa zaidi ya miaka 60 kwasbabu yao.