Ila kwa mbaaaali kama uko sahihi vile!! Achunguzwe mali zake (assets and monies).Aisee Yaani mruma alikuwa shushushu wa rasilimali zetu enzi za kikwete????
Hii mbona kama inaleta ukakasi hivi??
hii imeniacha hoi kuwa aliulizwa kuwa kwanini ulisaini ati alisaini bila kusoma na akaingiza nchi kwenye hasara kubwa halafu anapewa hongera daahAisee Yaani mruma alikuwa shushushu wa rasilimali zetu enzi za kikwete????
Hii mbona kama inaleta ukakasi hivi??
ha ha ha ha haHilo lina mbinu nyingi,halafu ni mtemi wa wasukuma,hivyo JPM akija usukumani anakuwa chini ya utemi(utawala)wa chenge
Ajabu kabisa.....na huyu Mruma asingesaini kabla MKATABA haujapitiwa na kuandaliwa na mkurugenzi wa sheria bwana kalemani ambaye sasa ni naibu waziri nishati na madinihii imeniacha hoi kuwa aliulizwa kuwa kwanini ulisaini ati alisaini bila kusoma na akaingiza nchi kwenye hasara kubwa halafu anapewa hongera daah
Spy huyo,hii imeniacha hoi kuwa aliulizwa kuwa kwanini ulisaini ati alisaini bila kusoma na akaingiza nchi kwenye hasara kubwa halafu anapewa hongera daah
daktari bingwa hutumbua hata jipu la kwenye firigisiHili jipu liko usoni mkuu
Mwana MFALME.
NCHI YA WANAFKI
Mkuu uwe unaandika kulingana na kamati ilivyotoa majibu yake ,kuweka habar ambayo haikuwa kwenye taarifa juwa kuwa ni mchochezi,Najiuliza hili swali...
Huyu mtu ni kama "anarukwarukwa" katika tuhuma hizi za Wizara ya nishati na Madini
Mkurugenzi wa sheria ndiye "mpishi wa mikataba na mshauri mkuu wa waziri na katibu mkuu" katika masuala ya sheria
Akichemka Waziri au Katibu mkuu katika masuala ya sheria, maana yake mkurugenzi wa sheria wa wizara haponi na moja kwa moja anaonyesha hafai kwa kuwa anawapotosha wakuu wake
Namshauri Kalemani ajiondoe mwenyewe katika nafasi yake, mambo yanayosumbua taifa (mikataba ya Madini) ilipita na kuandikwa mezani kwake!
Kubaki kwake Wizarani kwa hali yoyote anaweza kuingilia uchunguzi ili ajilinde, kumbuka huyu ni NAIBU WAZIRI NISHATI NA MADINI
Unatetea ufisadiHuku ni kumuonea tuu, kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe, na kila mtu na bahati yake ya home boy wake.
P.