Rais mrejeshe Kalemani wizara ya nishati Uchumi ukue

Filosofia ya Rorya

JF-Expert Member
Sep 20, 2021
3,214
3,587
Nadhani ifike mahali tukubali kama taifa kuwa tulijikwaa pakubwa (tulikosea sana) kumuondoa Mhe. Dkt. Medard Kalemani MB toka kwenye Baraza la Mawaziri na Wizara ya Nishati.

Hali tuliyo nayo ya nishati ya umeme Tz ni wazi kuwa hatuwezi kuvutia uwekezaji mkubwa zaidi tu ya uwekezaji mdogo mdogo wa wanyonge.

Ukitathmini tija ya Mhe. Dkt. Kalemani, ya Mhe. January Makamba na ya Mhe. Dkt. Dotto Biteko NWM unaweza kujuwa uamue nini kwa maslahi ya taifa.

Ni wazi utagundua kwamba rekodi ya Mhe. Dkt. Kalemani MB inamsemea bila kuhitaji msaada.

Mhe. David Cameron waziri mkuu mstaafu amerudi kwenye Baraza la Mawaziri la Mhe. Rishi Sunak (PM) akiwa kama Waziri wa Mambo ya Nje.

Mhe. Vladmir Putin aliwahi kuwa waziri, rais, waziri mkuu, rais tena.

Mhe. Dkt. Medard Kalemani MB ni nani kulinganisha na Putin na Cameron hadi tupate shida kumrejesha nishati!?

Tutakapogundua kwamba kumbe tunahitaji zaidi umeme kwa maendeleo ya taifa badala ya kuhitaji mbwembwe za teuzi zisizo makini tutakuwa tumesalimisha taifa.
 
Nadhani ifike mahali tukubali kama taifa kuwa tulijikwaa pakubwa (tulikosea sana) kumuondoa Mhe. Dkt. Medard Kalemani MB toka kwenye Baraza la Mawaziri na Wizara ya Nishati.

Hali tuliyo nayo ya nishati ya umeme Tz ni wazi kuwa hatuwezi kuvutia uwekezaji mkubwa zaidi tu ya uwekezaji mdogo mdogo wa wanyonge.

Ukitathmini tija ya Mhe. Dkt. Kalemani, ya Mhe. January Makamba na ya Mhe. Dkt. Dotto Biteko NWM unaweza kujuwa uamue nini kwa maslahi ya taifa.

Ni wazi utagundua kwamba rekodi ya Mhe. Dkt. Kalemani MB inamsemea bila kuhitaji msaada.

Mhe. David Cameron waziri mkuu mstaafu amerudi kwenye Baraza la Mawaziri la Mhe. Rishi Sunak (PM) akiwa kama Waziri wa Mambo ya Nje.

Mhe. Vladmir Putin aliwahi kuwa waziri, rais, waziri mkuu, rais tena.

Mhe. Dkt. Medard Kalemani MB ni nani kulinganisha na Putin na Cameron hadi tupate shida kumrejesha nishati!?

Tutakapogundua kwamba kumbe tunahitaji zaidi umeme kwa maendeleo ya taifa badala ya kuhitaji mbwembwe za teuzi zisizo makini tutakuwa tumesalimisha taifa.
Kwa nini unarudia rudia MB??
 
Tatizo ni uzalilishaji mdogo wa Umeme , kwanza hata wafanyakazi wa wizara ya nishati na taasisi zake hawamtaki huyo msu ****
 
Nadhani ifike mahali tukubali kama taifa kuwa tulijikwaa pakubwa (tulikosea sana) kumuondoa Mhe. Dkt. Medard Kalemani MB toka kwenye Baraza la Mawaziri na Wizara ya Nishati.

Hali tuliyo nayo ya nishati ya umeme Tz ni wazi kuwa hatuwezi kuvutia uwekezaji mkubwa zaidi tu ya uwekezaji mdogo mdogo wa wanyonge.

Ukitathmini tija ya Mhe. Dkt. Kalemani, ya Mhe. January Makamba na ya Mhe. Dkt. Dotto Biteko NWM unaweza kujuwa uamue nini kwa maslahi ya taifa.

Ni wazi utagundua kwamba rekodi ya Mhe. Dkt. Kalemani MB inamsemea bila kuhitaji msaada.

Mhe. David Cameron waziri mkuu mstaafu amerudi kwenye Baraza la Mawaziri la Mhe. Rishi Sunak (PM) akiwa kama Waziri wa Mambo ya Nje.

Mhe. Vladmir Putin aliwahi kuwa waziri, rais, waziri mkuu, rais tena.

Mhe. Dkt. Medard Kalemani MB ni nani kulinganisha na Putin na Cameron hadi tupate shida kumrejesha nishati!?

Tutakapogundua kwamba kumbe tunahitaji zaidi umeme kwa maendeleo ya taifa badala ya kuhitaji mbwembwe za teuzi zisizo makini tutakuwa tumesalimisha taifa.
Prof Sospeter ndio mwarubaini wa hili tatizo.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Ulichokitoa kwa hila huwa ngumu kukirudisha. Hata mke ukimuacha kwa hila huwa shida sana kumrudisha, utam face vipi humo ndani? Kila mtu anajua rekodi ya Dr. Kalemani..ajisemeacho Makonda kuwa watu walimfuata mama kizimkazi alipoapishwa tu na kumuambia fulani mtoe sio mtu mzuri, muweke fulani pale.

Mama kashtukia ila kuna baadhi anashindwa kuwarudisha sababu ya aibu. Hizi stress za sasa wala zisingekuwepo..aliwatoa kina Kabudi, kina Lukuvi kule ardhi, kina Kalemani sababu alihisi watakuwa maarufu kuliko yeye.

Hawa watu japo wamepotezwa ila ni maarufu mno. Mfano mdogo ni makonda tu. Alivyorudi mmeona umaarufu wake. Hawa watu walisaidia kukiweka chama mahali pazuri.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Ulichokitoa kwa hila huwa ngumu kukirudisha. Hata mke ukimuacha kwa hila huwa shida sana kumrudisha, utam face vipi humo ndani? Kila mtu anajua rekodi ya Dr. Kalemani..ajisemeacho Makonda kuwa watu walimfuata mama kizimkazi alipoapishwa tu na kumuambia fulani mtoe sio mtu mzuri, muweke fulani pale.

Mama kashtukia ila kuna baadhi anashindwa kuwarudisha sababu ya aibu. Hizi stress za sasa wala zisingekuwepo..aliwatoa kina Kabudi, kina Lukuvi kule ardhi, kina Kalemani sababu alihisi watakuwa maarufu kuliko yeye.

Hawa watu japo wamepotezwa ila ni maarufu mno. Mfano mdogo ni makonda tu. Alivyorudi mmeona umaarufu wake. Hawa watu walisaidia kukiweka chama mahali pazuri.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Umenena.
 
Nadhani ifike mahali tukubali kama taifa kuwa tulijikwaa pakubwa (tulikosea sana) kumuondoa Mhe. Dkt. Medard Kalemani MB toka kwenye Baraza la Mawaziri na Wizara ya Nishati.

Hali tuliyo nayo ya nishati ya umeme Tz ni wazi kuwa hatuwezi kuvutia uwekezaji mkubwa zaidi tu ya uwekezaji mdogo mdogo wa wanyonge.

Ukitathmini tija ya Mhe. Dkt. Kalemani, ya Mhe. January Makamba na ya Mhe. Dkt. Dotto Biteko NWM unaweza kujuwa uamue nini kwa maslahi ya taifa.

Ni wazi utagundua kwamba rekodi ya Mhe. Dkt. Kalemani MB inamsemea bila kuhitaji msaada.

Mhe. David Cameron waziri mkuu mstaafu amerudi kwenye Baraza la Mawaziri la Mhe. Rishi Sunak (PM) akiwa kama Waziri wa Mambo ya Nje.

Mhe. Vladmir Putin aliwahi kuwa waziri, rais, waziri mkuu, rais tena.

Mhe. Dkt. Medard Kalemani MB ni nani kulinganisha na Putin na Cameron hadi tupate shida kumrejesha nishati!?

Tutakapogundua kwamba kumbe tunahitaji zaidi umeme kwa maendeleo ya taifa badala ya kuhitaji mbwembwe za teuzi zisizo makini tutakuwa tumesalimisha taifa.
Acheni sisa za kitoto ....suala la kiufundi wewe unaleta siasa.....Kalemani atajaza mabwawa maji kuongeza production ? Sukuma Gsng acha atulie roho mbaya yake....
 
Tatizo ni uzalilishaji mdogo wa Umeme , kwanza hata wafanyakazi wa wizara ya nishati na taasisi zake hawamtaki huyo msu ****
Sasa hawa wafanyakazi wa TANESCO kata umeme unashangaa eti hawamtaki Kalemani? Lazima wasimtake!
Wao wana mbinu za kukata, yeye Kalemani ana mbinu za kuwasha.
Huoni utofauti hapo?
 
Nadhani ifike mahali tukubali kama taifa kuwa tulijikwaa pakubwa (tulikosea sana) kumuondoa Mhe. Dkt. Medard Kalemani MB toka kwenye Baraza la Mawaziri na Wizara ya Nishati.

Hali tuliyo nayo ya nishati ya umeme Tz ni wazi kuwa hatuwezi kuvutia uwekezaji mkubwa zaidi tu ya uwekezaji mdogo mdogo wa wanyonge.

Ukitathmini tija ya Mhe. Dkt. Kalemani, ya Mhe. January Makamba na ya Mhe. Dkt. Dotto Biteko NWM unaweza kujuwa uamue nini kwa maslahi ya taifa.

Ni wazi utagundua kwamba rekodi ya Mhe. Dkt. Kalemani MB inamsemea bila kuhitaji msaada.

Mhe. David Cameron waziri mkuu mstaafu amerudi kwenye Baraza la Mawaziri la Mhe. Rishi Sunak (PM) akiwa kama Waziri wa Mambo ya Nje.

Mhe. Vladmir Putin aliwahi kuwa waziri, rais, waziri mkuu, rais tena.

Mhe. Dkt. Medard Kalemani MB ni nani kulinganisha na Putin na Cameron hadi tupate shida kumrejesha nishati!?

Tutakapogundua kwamba kumbe tunahitaji zaidi umeme kwa maendeleo ya taifa badala ya kuhitaji mbwembwe za teuzi zisizo makini tutakuwa tumesalimisha taifa.
Kule Namibia tayari!
 
Hakuna muarubaini wala suluhisho hapo,tatizo ni maagizo toka kwenye mfumo ili biashara binafsi ambazo ni substitutes(mafuta,sola na majenereta) kwa H.E.P zishike soko.
 
Nadhani ifike mahali tukubali kama taifa kuwa tulijikwaa pakubwa (tulikosea sana) kumuondoa Mhe. Dkt. Medard Kalemani MB toka kwenye Baraza la Mawaziri na Wizara ya Nishati.

Hali tuliyo nayo ya nishati ya umeme Tz ni wazi kuwa hatuwezi kuvutia uwekezaji mkubwa zaidi tu ya uwekezaji mdogo mdogo wa wanyonge.

Ukitathmini tija ya Mhe. Dkt. Kalemani, ya Mhe. January Makamba na ya Mhe. Dkt. Dotto Biteko NWM unaweza kujuwa uamue nini kwa maslahi ya taifa.

Ni wazi utagundua kwamba rekodi ya Mhe. Dkt. Kalemani MB inamsemea bila kuhitaji msaada.

Mhe. David Cameron waziri mkuu mstaafu amerudi kwenye Baraza la Mawaziri la Mhe. Rishi Sunak (PM) akiwa kama Waziri wa Mambo ya Nje.

Mhe. Vladmir Putin aliwahi kuwa waziri, rais, waziri mkuu, rais tena.

Mhe. Dkt. Medard Kalemani MB ni nani kulinganisha na Putin na Cameron hadi tupate shida kumrejesha nishati!?

Tutakapogundua kwamba kumbe tunahitaji zaidi umeme kwa maendeleo ya taifa badala ya kuhitaji mbwembwe za teuzi zisizo makini tutakuwa tumesalimisha taifa.

Hata akija hawezi fanya la maana mfumo umeshaharibika,wahuni wamekamata njia za uchumi.
 
Back
Top Bottom