chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 11,983
- 20,634
Najiuliza hili swali...
Huyu mtu ni kama "anarukwarukwa" katika tuhuma hizi za Wizara ya nishati na Madini
Mkurugenzi wa sheria ndiye "mpishi wa mikataba na mshauri mkuu wa waziri na katibu mkuu" katika masuala ya sheria
Akichemka Waziri au Katibu mkuu katika masuala ya sheria, maana yake mkurugenzi wa sheria wa wizara haponi na moja kwa moja anaonyesha hafai kwa kuwa anawapotosha wakuu wake
Namshauri Kalemani ajiondoe mwenyewe katika nafasi yake, mambo yanayosumbua taifa (mikataba ya Madini) ilipita na kuandikwa mezani kwake!
Kubaki kwake Wizarani kwa hali yoyote anaweza kuingilia uchunguzi ili ajilinde, kumbuka huyu ni NAIBU WAZIRI NISHATI NA MADINI
Huyu mtu ni kama "anarukwarukwa" katika tuhuma hizi za Wizara ya nishati na Madini
Mkurugenzi wa sheria ndiye "mpishi wa mikataba na mshauri mkuu wa waziri na katibu mkuu" katika masuala ya sheria
Akichemka Waziri au Katibu mkuu katika masuala ya sheria, maana yake mkurugenzi wa sheria wa wizara haponi na moja kwa moja anaonyesha hafai kwa kuwa anawapotosha wakuu wake
Namshauri Kalemani ajiondoe mwenyewe katika nafasi yake, mambo yanayosumbua taifa (mikataba ya Madini) ilipita na kuandikwa mezani kwake!
Kubaki kwake Wizarani kwa hali yoyote anaweza kuingilia uchunguzi ili ajilinde, kumbuka huyu ni NAIBU WAZIRI NISHATI NA MADINI