MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 18,857
- 38,604
- Thread starter
- #121
simba ni kubwaKila la kheri huko muendako
Azam tv wanataka kuvitoa vilabu vya Tanzania katika utumwa kumbe nyinyi mnapenda utumwa
Dstv wapo miaka mingi kabla ya azam tv mbona hawakutoa pesa kama ambazo sasa azam wanatoa
tupo kapu moja na al ahly
hatuanzii mapambano ya ufunguzi