William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Tuseme tu ukweli. Mgunda alipewa timu Airport. Akaenda akawatwanga Nyasa big Bulet kwao. Baadae Akapata ushindi thidi ya Prison Ugenini baada ya Muda mrefu mno simba kufanya hivyo.
Viongozi waache maslahi yao binafsi chini. Waache kuwaza upigaji.
Cadena hajawahi kuwa kocha. Matola Simba ilishamshinda kitambo.
Hakuna kocha yoyote mwenye akili apewe timu leo kesho mechi muhimu. Hii timu Apewe Mgunda sasa. Ili aanze maandalizi mapema. Au basi apewe MOROCO. tofauti na hapo hakuna kitakachofanyika. Cadena haiwezi simba. Ni kuuuubwa mno kwake
Viongozi waache maslahi yao binafsi chini. Waache kuwaza upigaji.
Cadena hajawahi kuwa kocha. Matola Simba ilishamshinda kitambo.
Hakuna kocha yoyote mwenye akili apewe timu leo kesho mechi muhimu. Hii timu Apewe Mgunda sasa. Ili aanze maandalizi mapema. Au basi apewe MOROCO. tofauti na hapo hakuna kitakachofanyika. Cadena haiwezi simba. Ni kuuuubwa mno kwake