William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Kama simba ipo siliasi kutaka kocha yupo Pitso Mosimane
Rcord zake hazina mashaka. Kaongoza timu ya taifa S. A 2010-2012.
Akaongoza mamelod 2012-2020.
Viongozi hawana huruma na Ela za Mo dewji.
Dili zao zote hufanikisha kwenye Wazungu. Aliletwa mzungu Foward kwa karibu Billion 1. Hakuingia kikosini na kocha akaondoka zake.
Zolan kadumu Simba miezi 1 tu kasepa. Sifa iliyomleta simba kuwa kocha ni mzungu.
Robertinyo pia kaja Simba sababu ni mzungu. Hakuwa mkubwa kama simba ilivyo.
Juzi kaja kipa mwenye thamani ya € milion 1.3 zaidi ya billion 3 Tanzania shilingi. Ayoub Linkel.
Ila wanajifanya hawana uwezo na kocha mzuri
Kama hawana ela ya kuleta kocha Apewe mzawa mwenye uwezo tu. Kama Sio Mgunda Basi MOROCO. Hawa wameonesha uwezo kimataifa vizuri sana.
Zisiwe takataka.
Ukiacha hao kuna mwamba moja tu mzungu wa Asec ana consistance nzuri sana. Julien Chevalier
Licha asec kuuza wachezaji Potential kabisa lakini bado hakuna kinachoharibika toka Ameingia kikosini mwaka 2019 kama kocha mkuu.
Simba sasa inahitaji kocha ambaye atakuwa bora kama Meneger.
Sasa inapoteza fedha nyingi kwa pigaji za kisajili kwa kuwa na makocha wasiojielewa.
Kama shida ni bajeti basi Wamuachie Mgunda amalizie msimu wajipange na kocha wa uhakika. Naamini thamani ya Mgunda sasa haizidi milion 100
Rcord zake hazina mashaka. Kaongoza timu ya taifa S. A 2010-2012.
Akaongoza mamelod 2012-2020.
Viongozi hawana huruma na Ela za Mo dewji.
Dili zao zote hufanikisha kwenye Wazungu. Aliletwa mzungu Foward kwa karibu Billion 1. Hakuingia kikosini na kocha akaondoka zake.
Zolan kadumu Simba miezi 1 tu kasepa. Sifa iliyomleta simba kuwa kocha ni mzungu.
Robertinyo pia kaja Simba sababu ni mzungu. Hakuwa mkubwa kama simba ilivyo.
Juzi kaja kipa mwenye thamani ya € milion 1.3 zaidi ya billion 3 Tanzania shilingi. Ayoub Linkel.
Ila wanajifanya hawana uwezo na kocha mzuri
Kama hawana ela ya kuleta kocha Apewe mzawa mwenye uwezo tu. Kama Sio Mgunda Basi MOROCO. Hawa wameonesha uwezo kimataifa vizuri sana.
Zisiwe takataka.
Ukiacha hao kuna mwamba moja tu mzungu wa Asec ana consistance nzuri sana. Julien Chevalier
Licha asec kuuza wachezaji Potential kabisa lakini bado hakuna kinachoharibika toka Ameingia kikosini mwaka 2019 kama kocha mkuu.
Simba sasa inahitaji kocha ambaye atakuwa bora kama Meneger.
Sasa inapoteza fedha nyingi kwa pigaji za kisajili kwa kuwa na makocha wasiojielewa.
Kama shida ni bajeti basi Wamuachie Mgunda amalizie msimu wajipange na kocha wa uhakika. Naamini thamani ya Mgunda sasa haizidi milion 100