William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Jamaa anavyeti na mzuri wa mazoezi lakini bingwa wa Figisu na hana uwezo kabisa wa kufundisha ata makipa.
Toka aje Simba kama alivyokuwa Azam makipa ndio wanakuwa wabovu zaidi badala ya kuimarika.
Anamkuta Ally Salum wa moto anampa mazoezi kama kakulia academy za Man United. Anawachosha na wanashindwa kufikia malengo kabisa.
Ally Salum kawa mbovu sana kupitia huyu bwana aisee. Azam ilisajili makipa bora sana lakini cadena aliwaaribu kabisa.
Kufundisha kipa sio kuruka tu, kuna footwork, position, right time,
Kama Atasimamia mechi ya Asec Simba itapotea. Na hakuna kocha wa kuja kuandaa timu asiyoijua kwa wiki moja. Mgunda apewe iyo gemu moja tu. Ni mechi muhimu sana Jamani.
Toka aje Simba kama alivyokuwa Azam makipa ndio wanakuwa wabovu zaidi badala ya kuimarika.
Anamkuta Ally Salum wa moto anampa mazoezi kama kakulia academy za Man United. Anawachosha na wanashindwa kufikia malengo kabisa.
Ally Salum kawa mbovu sana kupitia huyu bwana aisee. Azam ilisajili makipa bora sana lakini cadena aliwaaribu kabisa.
Kufundisha kipa sio kuruka tu, kuna footwork, position, right time,
Kama Atasimamia mechi ya Asec Simba itapotea. Na hakuna kocha wa kuja kuandaa timu asiyoijua kwa wiki moja. Mgunda apewe iyo gemu moja tu. Ni mechi muhimu sana Jamani.