Kuwekeza hisa na kupata kipato kupitia company

Kisesa2022

Member
Aug 19, 2022
18
11
BF SUMA Company Profile......

Maana ya BFSuma ni
B- Bright ,,=mwangaza
F-Future ,,=ndoto/malengo
S- Superior ,,=ubora
U-Unique,=upekee
M-manufacturer of=uzalishaji kutoka
A -America...=marekani.

Mnamo mwaka 1993- bfsuma walianzia Hongkong {China} {kama kampuni ya kuzalisha madawa} kama kampuni ya kuzalisha madawa ya mifupa na viungo {bones &Joints}..
Code:
```Mnamo mwaka 1995 - kampuni ilipanuka na kujifungua Marekani katika Jiji LA Gharama kuishi Los Angeles na kuweka kiwanda Cha Kuzalisha Virutubisho {food Supplement}...

Mnamo mwaka 2000:- kampuni ilipewa Vibali na Vyeti Vya kutambua Ubora wao kama :- 
G.M.P {Good Manufacturing Practice} na 
FDA {Food and Drugs Adminstration},,
baadae kampuni tena Ikaendelea Pata Vibali kama G.L.P {Good Laboratory Practise } na 
Halal:- kibali cha utambuliz kwa jamii ya kiislamu na imani kuwa halali kwa matumiz..

Code:
2004:- Waliweza kufungua solo lao Africa kupitia nchi iitwayo Benin

2011:- kampuni ilisogea hadi nchi jirani ya Kenya na kutua Afrika Mashariki...ambako imezaa vyema na kustawil Sana hadi sasa

2012:- Waliweza kuingia Tanzania na kusajiliwa kisheria na kufanikiwa kupata kibali cha TFDA,makao makuu ya TANZANIA Yako Dar MIKOCHENI ambapo walinunua jengo LA ghorofa ..
Mnamo mwaka 2013:- waliweza kuingia Uganda,Nigeria ,Zambia na wanaendelea kupanua masoko yao katika nchi zingine za Africa...
Bfsuma Africa ,wako na wanachama au wasambazaji wasio pungua 10,000 na sasa ni zaidi ..........
BFsuma we care ,we share.....

Code:
****TRAINING TIME****.
Makundi Ya Bidhaa Ya BFsuma...

√Bidhaa za Mifupa na Viungo kama:: 
1.Gluzojoint Capsule
2.Zaminocal Capsule
3.Arthroxtra 
4.Dr Cow Calcium Milk Candy.

√ Bidhaa za Kuongeza kinga za Mwili na kutibu kansa.
1. Pure & Broken Ganoderma Spores..
2. Refined Yunhz
3.NMN
4.IMMUNE COFFEE
@4 in 1 Reish Coffee
@4 in 1 Ginseng Coffee
@4 in 1 Cordyceps Coffee

√ Bidhaa za Mmeng'enyo Wa Chakula Tumboni na Kutibu Vidonda Vya Tumbo....
@Constirelax Solution
@antidiarr Pills.
@Novel depile Capsules.

√ Weight Management./ Ant aging 
Bidhaa za Kupunguza unene/Kurudisha ujana

1.Elements
2.YouthEver
3.NMN
4.Ditoxlive
5.Gymease

√ Bidhaa za Kuongeza hamu/ Nguvu za Tendo LA Ndoa na Kutibu matatizo yote ya kizazi na tezi dume....
@Xpower man coffee
@Xpower man Capsules
@Prostatrelax Capsules.

Bidhaa za Kutibu maradhi ya moyo(pressure,kisukari,kupooza,mzunguko Wa damu, kupunguza kolesto, kumbukumbu,macho n.k)..
"Cardiovascular health"
@Micro2 Cycle Tablets
@Cerebrain Tablets
@Gym easy
@Relivin Tea
@Pure and brocken
@NMN

√ Bidhaa za Matumiz Binafsi na Usafi/ Personal Care....
@ Femicare
@ anatic herbal essence soap
@Dr. ts 


```Nb:- bf Suma ndio wanaoongoz kwa Utafit,maabara, kuzalisha na kusambaza Bidhaa asili Zenye viwango vya kimataifa na zilizotengenezwa kwa kutumia tecknolojia bora 5 za kisasa zisizo haribu uhalisia Nazo ni 
1.Amino Acid Chelation Technology (AAC).
2. Combine Cryo-Enzym & Dua - Micronization Technology.
3. Nano- Transderm Technology.
4. Macroporous Absorption Resin Technology.
5. Membrane Tech.. 

******** ******* ******

Namna Ya kuwa mwanachama Wa Bfsuma na maelezo ya kulipwa kwako.....

Code:
1. Kujiunga ni Shs 100,000 /= Tshs.. Utapata kitukinaitwa "Starter kit" ambayo ni 
@kadi ya uanachama
@Kitabu cha Bfsuma maelezo + mfumo Wa malipo+ Bidhaa zake zote.
@Bidhaa moja ya kutumia kama mwanachama ambayo ni kahawa moja inaitwa Reish au Cordycepys Coffee au Ginseng unapata Sachet 10 ndani..
@Cd/DVD
@beji ya Kampuni ambayo unaivaa kwa juu ya nguo ni kipini kidogo..

***** ******** *********

```Baada ya kujiunga hivi vinafuatazo ni...
Faidida 8 Utakazopata (kulipwa)....74%.

1. Faida ya Reja reja 20% ,, pale unapomshirikisha jamaa+ ndugu+ rafiki+ kaka dada weka faida kama hivi Bidhaa inauzwa 10,000 weka 10,000 jumla ni 20,000 ile 10,000 inayoongezeka ni faida yako kaa nayo mfukoni kampuni haiusiki hapo ....

2..(O.P.B) haya ni malipo yatokanayo na manunuz yako binafsi na manunuz ya kila MTU kwenye mtandao wako na ni asilimia 5% hadi 28% ukiwa unapanda madaraja...

3.(L.D.B) haya ni malipo ya ziada utakayolipwa kwa kukutambua kama Kiongoz Wa Mtandao wako 25%..

4..(L.S.B) pia haya ni malipo mengine ya ziada kwa juhud zako za kuwaunganisha watu wengi chini ya wale watu wako watatu uliowaunganisha kilammoja utafaidika asilimia 6.5%.

5.Specia Cash Support:-haya pia ni malipo mengine ya ziada kutokana na Mauzo ya timu yako yote pamoja hapa unaongezewa dola 50 kwa kufanya point 1500 wewe na Team yako na hii ni maalum kwa watu Wa star 4 tu hapa unalipwa Mara 3 yani miezi 3 tu ,ukipanda daraja hii haikuhusu...

Pia kwa Star 7 leader kampuni inakuongezea malipo ya 3% ya ziada kwa kufanya point 1500 na hii pia unalipwa Mara

3...unachotakiwa ni kukidhi Vigezo na masharti....

6..(L.G.B) Malipo Mengine ya Ziada kutoka kwa faida za Bfsuma wanapata kilamwezi duniani nzima Nazo ni 3% utapewa kila mwezi..

7..{L.T.F} kila atakaye fanya Point 40,000 na team yake ndani ya mwaka 1,kampuni kwa ajili ya kukupeleka Safari ya kimataifa ambayo ni holiday ya wiki moja kila mwaka kWa gharama zote za kampuni zaid ya million 4 au Mil 8 ,milango iko wazi kwa yeyote aliyejiunga hata wewe unaweza kwenda ,,hii imeshatokea kwa wanachama kwenda Hongkong ,Amerika los Angels ,Visima Vya Hawaii , Dubai yani unaenda huko kula bata na kufurahia maisha ....

8..(L.C.F} kampuni inatoa Tuzo ya Gari kila mwaka (magari ya aina mbili) Gari ya Griup A ni Dolla 12000USD ni zaidi ya Million 28 Za Kitanzania. na Gari ya Group B ni Dolla 50,000USD ni zaidi ya Million 115 za Kitanzania) Magari haya hutolewa kila mwaka kwa wanaokizi vigezo kwa kufanya point 120,000 kwa mwaka yeye na team yake...kama una ndoto ya kuendesha Magari ya Nguvu Mapya hii no fursa yako

```Nb: Hizi faida 8 una fursa bora ya kuzipata ndani ya mwaka 1 au 2 au 3 au 4 au hadi 5 kwa jumla Bfsuma wanalipa hadi asilimia 74% ya faida wanayopata kila mwezi...

Kumbuka kupitia Bfsuma unafursa ya nzuri sana ya kutimiza Ndoto zako za maisha kwa muda usiozd miaka 5 , upate magari + na Safari za dunia kando na bonus ya Uhuru wa Fedha au (salary) kila mwezi............._ ```col or whaap namba 0782766657
 
Jigezo
1.Kuzaminiwa na mfanyakazi wa company ambaye ni mimi
2. Kama nchi ni Tanzania basi huwe Tanzania
3. Kama ni kenya ni huwe kenya
4.Uwe unakili timamu au ujitambue
5. Endapo utadanganya chochote kile utafungiwa ID yako
6. Usipofanya kazi ndani ya miezi mitatu unafungiwa ID yako
 
Bf suma( bright future superior unique manacturing of America )
Vision
Kuboresha afya ya binadamu na uchumi wa mtu mmojamoja
Mission
Kupunguza vifo visivyo vya lazima kwa kupunguza 90% watu kuishi miaka 90 na zaidi
Kazi
Bf suma inabidhaa kariabia mia moja za afya na urembo
Faida ya kufanya kushiriana na bf suma
1 . itakulipa bonus USA dollars 600 kwa mwezi
2 .pia mauzo rejareja,endapo utauza virutubisho vyao kwa wajeta ni yako
3. kwa mwaka bf suma inakulipa 4000 USA sawa na million 8 ya Tanzania au safari ya kwenda USA,Hongkong,dubai nk
4.inakupatia zawadi bora kwa kuwaamini na kufanya nao kazi ,gari group A na B, Group A,gari la 12000USA dollars sawa na pesa ya Tanzania Million 28
Group B, Inakuzadia gari la 50,0000USA dollars sawa na pesa ya Tanzania Million 115
5. ukirikiana vizuri ndani ya miaka mitano kwa kuwafikia watu wengi zaidi unajengewa nyumba sehemu yeyote TANZANIA
Mbali na faida kuu kuna faida ndogondogo
1.connection
2. kujifunza public skills
3. kujifunza ujasiliamali(Enterprenurship)
Jinsi ya kufanya nao kazi
Bf suma aina mkataba bali wanakuamini wewe kufanya nao kazi sababu ya mfanyakazi wao na kukupatia
1.ID number ya kukutambua wewe ni mfanyakazi mpya
2.Note books ya kuandika ndoto zako,
3. bf suma inavirutubisho vyote
4.kits 10 kama zawadi
jinsi ya kufanya nao kazi
20USD sawa pesa ya Tanzania elfu 50,000 na kazi hiyohiyo ndio inakupa vitu vyote hapo juu,
Njia ya kupokea bonus
1. Kwa njia ya simu ,mitandao yote
2. Bank ,NMB na CRDB
Karibu sana Bf suma


mawasiliano
0782766657
 
Back
Top Bottom