Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,555
Ohoooooo ngoja nikamsome.Najua. Kuna uzi aliandika kuwa jana alikula kitimoto eti bila kujua. Toka amekula naangalia threads zake anaonekana kama ile nyama ili mlevya
Ohoooooo ngoja nikamsome.Najua. Kuna uzi aliandika kuwa jana alikula kitimoto eti bila kujua. Toka amekula naangalia threads zake anaonekana kama ile nyama ili mlevya
Amejilipua lini na wapi? Acha kuropoka.Mungu wenu wa kujilipua
Acha dharau ndugu yangu haitakusaidia kitu
Hakuna sehemu nimesema alipaa. Narudia tena uwe unasoma maandiko kwa uangalifu. Sisi hatuna udanganyifu kwenye Quran kama wa kwenye biblia. Mtyme alikufa kwa ugonjwa kama utakavyokufa wewe. Na ndio msingi wa Quran kuitwa kitabu kisicho na shaka. Maana yake unaambiwa mambo halisi ya maisha ya mwanadamu na wala si kuambiwa uongo uongo.Hapa mmeshasema alifia madina wewe unakuja sema alipaa mtume alikua mbakaji tu
Hizi primitive mythology; ujinga mtupuMekkah ina heshima lakini inaonekana mlango wa kwenda mbinguni upo Yerushaleym. Kwani mtume wa Allah Bwana Muhamad alipotakiwa na Allah aende mninguni ilimbidi asafiri hadi Yerushaleym ili apande juu mbinguni.
Hili linadhihirisha Yerushaleym nk zaidi ya Makkah
Mtume alienda mbinguni? Hebu fafanuaMekkah ina heshima lakini inaonekana mlango wa kwenda mbinguni upo Yerushaleym. Kwani mtume wa Allah Bwana Muhamad alipotakiwa na Allah aende mninguni ilimbidi asafiri hadi Yerushaleym ili apande juu mbinguni.
Hili linadhihirisha Yerushaleym nk zaidi ya Makkah
Unaelewa maana ya kubaka? Kisheria ukioa/kutembea na mwanamke chini ya miaka 17 ni kubaka sasa Mudy yy alioa mtoto wa miaka 7 na akaanza kumzini akiwa na miaka 9 hili ni kosa kubwa sana alitakiwa afungwe na siyo kuabudiwaMsipende kutukana uislam bila kwanza kujifunza. Kimaabdiko waislam wako juu zaidi. Wanao uwezo mkubwa wa kusoma na kuelewa. Biblia tunaijua nje ndani na si kubabaisha kama mnavyookota maandiko kwenye mitandao. Mfanonaposema Muhammad alibaka wanawake huwa nashangaa maana hakuna andiko linalosema hivyo kwenye Quran ama hadith. Sasa mkibanwa wakristo mna quote sheria za Tanzania! Vichekesho sana jamani.....
Katikati ya dunia? Chukua mpira wa miguu then onyesha kati ni wapi, na useme ni kwanini hapo ni kati na si kwingine..Ni mji pekee unaotembelewa na watu walioamua kuachana na dhambi kwa wakati mmoja zaidi ya mil3.
Ni mji pekee ambao mtume wa mwisho wa mwenyezi Mungu amezikwa.
Ni mji pekee ambao upo katikati ya dunia.
Ni mji pekee ambao kibla kinapatikana.
Na wewe tupe ukweli wa kupaa Yesu. Kama kuahuka hutaki kukubali basi na kupaa itakuwa hivyohivyo.....Mbona ww unamfuata muhamedi mwarabu? Muwe mnajiongeza kidogo eti kitabu kilishuka toka mbinguni kweli hiyo?,
Kwa hiyo warabu wote ni islam?Wayahudi hawatambui imani yako...
Vitu Vingi mnavyofuata ni vya kibinadamu..
We mchaga unamfuata martin Luther eti rutheran kazi kweli
Hivi kuna ubakaji mkubwa duniani kushinda wa kwenye biblia?Unaelewa maana ya kubaka? Kisheria ukioa/kutembea na mwanamke chini ya miaka 17 ni kubaka sasa Mudy yy alioa mtoto wa miaka 7 na akaanza kumzini akiwa na miaka 9 hili ni kosa kubwa sana alitakiwa afungwe na siyo kuabudiwa
Hahahamji usio Na bar ni sawa sawa Na jehanum
Ktk swala ya hija, mahujaji huchanganyika wake Kwawaume na huwa wamenyoa nywele zao na kufunga lubegaFafanua
Hakuna mahala waislam wanamwabudu mtume Muhammad. Huo inaonesha nao ni umbumbumbu wa maandiko. Kwa hiyo wewe uislam huuelewi hata kidogo. Unapelekwapelekwa tu.Unaelewa maana ya kubaka? Kisheria ukioa/kutembea na mwanamke chini ya miaka 17 ni kubaka sasa Mudy yy alioa mtoto wa miaka 7 na akaanza kumzini akiwa na miaka 9 hili ni kosa kubwa sana alitakiwa afungwe na siyo kuabudiwa
mkuu naona unakwepa kwepa tuu hapa huchomoi. Umeulizwa baba yake muddy Abdala alikuwa muislam?Hivi kuna ubakaji mkubwa duniani kushinda wa kwenye biblia?
Hilo swali hujaniuliza mimi. Acha kusema uwongo......mkuu naona unakwepa kwepa tuu hapa huchomoi. Umeulizwa baba yake muddy Abdala alikuwa muislam?
Mbona unaogopa kujibu
Mamdogo huu uongo umeutolea wapi?Na nyie mnavyoaema kua ukitaka kuona pepo aheeti ujue kiarabu
Lazima uvae kanzu. Lazima ufuge ndevu maskini majini yamewaharibu
jibu swali wewee BABA YAKE MUDI ALIKUWA MUISLAM??????Hilo swali hujaniuliza mimi. Acha kusema uwongo......
Au ngoja nilijibu. Na je mama yake ayesu alikuwa mkristo?