Clkey
JF-Expert Member
- May 29, 2014
- 5,720
- 15,352
nyie ndo huwa mnaharibu..Kudo naweza kuipatakwa kiasi gani? mambo ya kusubiri alosto imezidi.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kazi ni nzuri sana kka.....RIWAYA; MDUNGUAJI WA GOMA.
NA; BAHATI K MWAMBA.
SEHEMU YA KUMI NA MBILI.
Baada ya kumfahamu Papaa Deo kwa kifupi, alizitafuta picha za wapendwa wake ambao ni binti yake na kimada wake. Alipozipata alibaki akizitizama bila kupepesa.
Wote walikuwa ni warembo haswaa, ambao walionekana kuwa na asili ya kabila Wahutu.
Wakati alipokuwa akiwatizama, wazo moja lilikuwa kichwani mwake ya kuwa; wale ndiyo udhaifu wa Brigedia jenerali Deo. Aliamini alitakiwa kuanza na udhaifu ule ili kumpata Deo mwenyewe na kabla ya kumpata, alitaka kuiba kwanza mzigo ulioko kwenye nyumba ya Papaa Deo, nyumba inayolindwa kuliko nyumba zote ndani ya mji wa Goma.
“If a bullet can’t take you, will take some one you love soldier!.” Alisema huku akiufunga ukurasa wenye picha za Papaa Deo na vipenzi vyake.
Mwili ukamcheka, ubongo ukamcheza huku akifikiria namna ya kuiingia familia ile isiyoingilika kirahisi.
Mtihani!!
Alikuna kichwa kwa kufikiria mambo kadhaa, huku akijaribu kuwaza njia bira ya kutumia ili afanikishe mpango wake wa kwanza, ambao aliupa jina la KOMOA BWEGE.
Kila njia aliyoifikiria aliona haifai kutumika na, aliposhindwa kabisa kupata njia sahihi, aliamua kuachana na familia ile na, aliingia kwenye awamu nyingine ya kuwajua wahusika wengine ambao alitakiwa kuwashugulikia.
Jina la pili aliliandika kwenye kompyuta yake, kisha alisubiri kwa sekunde kadhaa na kuletewa majibu aliyoyataka.
Fredi Mutesa alikuwa ni mwanajeshi pia, ambae alikuwa na cheo cha Brigedia na alifanya kazi kwenye kambi ndogo, kwenye mpaka wa Rwanda na Goma. Wasifu wake haukuwa mrefu sana na kila alipojaribu kutafuta taarifa zaidi, alijikuta akiishia nusu ya vile alivyotaka.
Swai Makambo lilikuwa ni jina la tatu kulifanyia kazi ambapo, alikutana na wasifu uliomfanya atulie kwa umakini na kusoma taratibu sana.
Swai Makambo alikuwa ni mganga mkuu kwenye hospitali ya Dei Hospital. Hospitali kubwa kuliko zote kwenye mkoa wa Kivu ya kaskazini. Lakini kabla hajawa kwenye hiyo hospital, alikuwa ni mmoja wa matabibu wa jeshi, ambao walikuwa mstari wa mbele kuwatibu majeruhi wa vita. Lakini pia, alikuwa anaimiliki hiyo hospital kwa asilimia themanini, huku asilimia zilizosalia zikiwa zinamilikiwa na watu wengine.
Dokta Swai alikuwa na mke na mtoto mmoja ambae alikuwa ni mgonjwa wa mtindio wa ubongo na, mtoto yule alikuwa akipatiwa matibabu nyumbani, chini ya matabibu wenye uzoefu huku akiwalipa pesa nyingi ili, kumsaidia mwanae.
Jina la nne lilikuwa ni la Tatu Banenga. Huyu alikuwa ni mwanamke ambae alifanya kazi ofisi ya waziri mkuu, akiwa kama mkurugenzi wa usalama. Alipozidi kumfuatilia kwenye picha mbalimbali, aligundua ni mlinzi pia wa waziri mkuu japo alionekana mara chache kuwa nyuma yake.
Jina la tano lilikuwa ni la Jimmy Kasoki. Huyu alikuwa ni kanali mstaafu ambae amegeukia biashara za madini. Jimmy ni miongoni mwa wafanyabiashara wakubwa ndani ya mji wa Goma, akiwa anamiliki migodi kadhaa ya dhahabu na almasi. Pia alikuwa anamiliki maduka makubwa ya nguo na majumba kadhaa ya kifahari. Alikuwa na ulinzi wake binafsi huku akiwa na gari kadhaa, ambao haziingizi risasi.
Leti Kamirimana lilikuwa ni jina la mwisho kwenye orodha. Huyu alikuwa ni mwanasiasa, japo nae aliwahi kuwa mwanajeshi mwenye cheo cha kanali.
Miguu ya kuku alifunga ukurasa wa Leti Kamarimana, kisha aliegemea kwenye sofa na kuzama mawazoni. Aliwaza namna ya kufanya kazi akiwa ugenini na namna ambavyo angeliweza kuondoka, bila kuingia kwenye vyombo vya dola.
Mji wa Goma haukuwa mgeni kwake, alifahamu maeneo mengi na alifahamu vituo vingi vya polisi na kambi za jeshi. Licha ya kufahamu yote hayo, lakini hakuwa akijua vichochoro vya msaada endapo mambo yangelikuwa magumu kwake.
Aliirudia tena kompyuta yake na kuanza kuitafuta ramani ya mji wa Goma. Mji ambao unawakazi chini ya laki tatu, ukiwa ni mji ambao unatambelewa na mvua kuanzia mwezi wa nne, hadi mwezi wa sita.
Alitabasamu baada ya kujua machache kuhusu mji huo wa kibiashara. Alitabasamu kwa kuwa alipata kazi mwezi wa nne, kuelekea mwezi wa tano. Ikiwa na maana kwamba, kilikuwa ni kipindi cha mvua kwenye wilaya ya Goma. Kwake mvua ilikuwa ni sehemu sahihi kufanyia kazi, aliamini hekaheka katikati ya mvua ni nusu ya ushindi.
Alichukua karatasi na kalamu na kuyaandika majina ya watu wote, aliotakiwa kuwashugulikia. Alipomaliza kuyaandika, alianza kupitia wasifu wa kila mmoja na kwa umakini mkubwa bila kuacha, kitu chochote ambacho kilikuwa na umuhimu kwake.
Kila alipopitia wasifu wao, alikuwa anaandika pembeni namna ya kuanza kushugulika na kila mmoja wao. Lakini licha ya kuandika baadhi ya mbinu, alishindwa kujua ataanza na yupi na kumaliza na yupi.
Aliamua kurudia tena kuwasoma mmoja mmoja na maeneo ya makazi yake, hadi anamaliza tayari alikuwa amepata wa kuanza nae na hapo alijipongeza kwa kuanzia safari yake, nchini Rwanda.
Mtu wa kwanza aliyemwekea alama alikuwa ni Bregedia Fredi Mutesa, ambae alikuwa anaongoza kikosi cha jeshi kilichokuwa mpakani mwa Rwanda na Goma, sehemu iliyoitwa Gisenyi.
Alimchagua wa kwanza kwa sababu, alikuwa mpakani na wengine wote walikuwa katikati ya mji. Aliona ni vema kuanzia mpakani, ili endapo akimaliza kazi yake katikati ya mji, iwe rahisi kuondoka, kuliko angelianzia mjini pengine asingeliweza kupata nafasi ya kupitia mpakani na kumalizia kazi. Chaguo la kwanza kwake lilikuwa ni sahihi.
Alifunga kompyuta yake na kuelekea chumbani kwake. Huko alichukua begi lake dogo la mgongoni na kulifuta vumbi, kisha alichukua nguo chache na kuziweka kwenye begi. Nguo alizochukua ni zile ambazo aliamini ni sahihi kwake kuzitumia wakati wowote. Hakuchukua silaha yoyote, hakutaka kuweka mashaka kwa mtu yeyote huko aendako.
Alichagua viatu aina ya buti, zenye ufanano na buti za jeshi. Alipomaliza kuandaa kila kitu, alifunga begi lake na kuingia kulala, huku akitarajia kuamka alfajiri ili kuwahi uwanja wa ndege, kwa ajili ya safari kuelekea Kampala, kisha ataunganisha kuelekea Kigali Rwanda.
****
Kigali, Rwanda..
Ndege ilitua kwenye uwanja wa ndege wa Kigali, ikiwa ni saa sita kasoro dakika kumi, mchana. Abiria walishuka mmoja mmoja na kufuata taratibu za kawaida, kisha waliruhusiwa kuondoka kila mmoja kuelekea aendako.
Miongoni mwa abiria hao, alikuwa ni Zuki Gadu p.a.k Miguu ya Kuku. Alifuata taratibu za ukaguzi, kisha alitoka nje ya uwanja baada ya kukamilisha taratibu zote bila kikwazo. Alipofika nje ya uwanja, alikutana na madereva taxi wengi, ambao walimlaki kwa uchangamfu, huku kila mmoja akinadi huduma yenye ubora kwa mteja wake.
Macho yake yaliokuwa yakitembea kama ya kinyonga, yalivutiwa na kijana mmoja mtanashati ambae alikuwa akijitahidi, kumuita kwa ishara bila kutoa sauti.
Alivutiwa na tabia za vijana wengi kuwa wachangamfu na si wachoyo wa taarifa, tofauti na wale wa umri mkubwa ambao mara nyingi huongozwa na hekima na usiri, kwa kuwa kwenye kazi ya usafirishaji, wamekutana na mengi ambayo huwapa funzo.
Alimfuata yule kijana na kuingia kwenye gari yake. Punde baada ya kuingia, kijana yule nae aliingia huku akitabasamu kwa amani.
“Wapi boss wangu!” Aliuliza kijana yule.
“Naelekea Gisenyi.” Miguu ya kuku alijibu.
“Gisenyi!!” Alishangaa kijana yule huku akigeuka kumtazama.
“Ndiyo Gisenyi, kwani kuna shida kuelekea huko?”
“Hapana, lakini wewe ni Mtanzania”
“Umejuaje mimi ni Mtanzania?”
“Lafudhi yako kaka.”
“Kwa nini unahofia utanzania wangu huko mpakani?”
“Huko kwa siku za hivi karubuni, kumekuwa na taarifa mbaya kuhusu vijana wa kitanzania. Nasikia wamekuwa wakipotea kwenye mazingira tata na kukutwa wakiwa wamefariki, hivyo imekuwa ni hatari kwa watanzania kupitia pale kuingia Goma”
“Kwa nini sasa inatokea hivyo?”
“Hakuna mwenye taarifa sahihi, lakini nasikia kuna mtu pale mpakani anaitwa Zibuabanda. Huyo jamaa ni kamanda wa kikosi kazi kutoka Congo, ambae anahusika kwenye ulinzi wa mpaka huo na, alitolewa kwenye jeshi la waasi wa M23, baada ya kuwa amejisalimisha kisha wakamwajiri jeshini. Sasa Zibuabanda analipiza kisasi kwa kuwa husema, jeshi la Tanzania ndilo lilowafurumusha waasi wenzake.”
“Duh! Hii ni hatari sasa…. Kwa nini viongozi hawakemei hili jambo?”
“Kwa kweli hakuna anaejua, pengine hakuna mtu ambae ameshatoa taarifa”
“Kwa hiyo huwa mnawashauri nini hao vijana?”
“Huwa tunawaomba watumie usafiri wa anga kuliko usafiri wa gari.”
“Duh!”
“Eeh, kwa hiyo ndugu yangu ni bora urudi uwanjani, utumie usafiri wa ndege hadi Goma. Ni dakika kumi au kumi na tano utakuwa umefika Goma”
“Ningeliweza kufuata ushauri wako lakini, inanilazimu kutumia mpaka wa Gisenyi, kwa kuwa kuna biashara fulani inabidi niifanye huko.”
“Duh! Haya bwana. Itabidi ulipe dola ishirini na tano”
“Hapana, naomba unipeleke kwa dola ishirini”
“Sawa” Dereva aliwasha gari na safari ya kuelekea Gisenyi ilianza,huku Miguu ya kuku akijilaza na kupitiwa na usingizi.
“Braza nikuache mpakani, au utataka twende hadi Goma?” Kijana alimstua kwa swali.
“Wewe si umesema huwa kunaogopesha huko? Mbona wataka kunisindikiza kabisa?”
“Aah.. Naweza kuwa msaada kwako nikikupitisha, kwa sababu mimi Mtutsi hivyo ubaya wowote kwangu, utaamsha vuguvugu mpakani. Kwa hiyo wanaogopa kutudhuru pia ni Watutsi wenzengu.”
“Hapana! Siku huwa hazifanani na sitaki kukuingiza matatizoni”
“Mh! Sawa bwana mkubwa” Kijana alijibu huku akiendelea kuongeza kasi ya gari lake.
****
Saa tatu baadae, walikuwa wanaingia wilayani Gisenyi karibu na mpaka wa Rwanda na Congo.
“Tumefika kaka mkubwa” Kijana alimuamsha Miguu ya kuku.
Miguu ya kuku aliamka na kuangaza huku na huko, kisha akaingiza mkono wake mfukoni na kutoa dola ishirini na, kumpa yule kijana. Kisha alipiga hatua na kuelekea sehemu ya ukaguzi huku akipokea kheri ya safari, kutoka kwa dereva aliyemfikisha pale.
Alivuta hatua zake kama mlevi, huku akijaribu kuangaza huku na huko. Kwa harakaharaka aliweza kuwaona wanajeshi wa Rwanda wakiwa na silaha zao, wakidumisha usalama upande wao. Kulikuwa na maofisa kadhaa wa uhamiaji na wale wa polisi, ambao nao walikuwa pembeni ya ofisi za ukaguzi.
Alipiga hatua na kuelekea upande wa wapita kwa miguu, huko alipanga foleni na kusubiri zamu yake ifike akaguliwe. Alijiamini kwa kuwa alikuwa anafuata taratibu bila kukwepa.
Zamu yake ilifika na alikaguliwa na kuulizwa maswali machache, kisha Hati zake za kusafiria zilipigwa mhuri na aliruhusiwa kuingia upande wa pili, ambao ni Goma, Congo.
--- 2----
Goma, Congo…
Miguu ya kuku aliweka vema begi lake mgongoni, kisha alianza kupiga hatua kuelekea upande ambao kulikuwa na daladala, ambazo zilikuwa zinafanya safari zake kutoka Goma hadi Gisenyi, lakini hazikuruhusiwa kuingia Rwanda.
Alipiga hatua zake kivivu huku akishuhudia baadhi ya gari zikiondoka kuelekea Goma. Aliifikia gari ambayo ilikuwa inajiandaa kuondoka, alipanda na safari ilianza. Abiria wenzake walikuwa ni watu wenye kuongea lugha moja, na yeye pekee ndiye hakuelewa kilichokuwa kinazungumzwa.
Alikaa kimya na kuanza kuhesabu miti iliyokuwa inarudi nyuma kwa kasi.
Baada ya dakika kumi za safari yao, gari ilianza kupunguza mwendo na alipojaribu kutizama mbele, aliona kizuizi na wanajeshi wakiwa na silaha za moto.
“Jamani abiria wageni wekeni karatasi zenu karibu.” Dereva alipaza sauti kuwambia abiria wake.
Taarifa ile iliyotolewa, ilifanya watu wote wamtazame Miguu ya kuku, nae bila kujiuliza, alijua yeye ndiye mgeni na wenzake ni wenyeji. Lakini ni kwa vile aliamua kujipa jibu la kwa nini anatizamwa, lakini kama angeliwauliza, wangelimpa jibu tofauti na alilokuwa akiwaza.
Wao walimtizama kwa kuwa walijua pale ni mwisho wa safari yake, walijua kwa sababu walishajua anatokea nchi gani na walijua mbele yao, kulikuwa na vijana wa Zibuabanda.
Yes, Zibuabanda asiyewapenda watanzania
.
.
.
.
.
ENDELEA KUWA NAMI
RIWAYA; MDUNGUAJI WA GOMA.
NA; BAHATI K MWAMBA.
SEHEMU YA KUMI NA MBILI.
Baada ya kumfahamu Papaa Deo kwa kifupi, alizitafuta picha za wapendwa wake ambao ni binti yake na kimada wake. Alipozipata alibaki akizitizama bila kupepesa.
Wote walikuwa ni warembo haswaa, ambao walionekana kuwa na asili ya kabila Wahutu.
Wakati alipokuwa akiwatizama, wazo moja lilikuwa kichwani mwake ya kuwa; wale ndiyo udhaifu wa Brigedia jenerali Deo. Aliamini alitakiwa kuanza na udhaifu ule ili kumpata Deo mwenyewe na kabla ya kumpata, alitaka kuiba kwanza mzigo ulioko kwenye nyumba ya Papaa Deo, nyumba inayolindwa kuliko nyumba zote ndani ya mji wa Goma.
“If a bullet can’t take you, will take some one you love soldier!.” Alisema huku akiufunga ukurasa wenye picha za Papaa Deo na vipenzi vyake.
Mwili ukamcheka, ubongo ukamcheza huku akifikiria namna ya kuiingia familia ile isiyoingilika kirahisi.
Mtihani!!
Alikuna kichwa kwa kufikiria mambo kadhaa, huku akijaribu kuwaza njia bira ya kutumia ili afanikishe mpango wake wa kwanza, ambao aliupa jina la KOMOA BWEGE.
Kila njia aliyoifikiria aliona haifai kutumika na, aliposhindwa kabisa kupata njia sahihi, aliamua kuachana na familia ile na, aliingia kwenye awamu nyingine ya kuwajua wahusika wengine ambao alitakiwa kuwashugulikia.
Jina la pili aliliandika kwenye kompyuta yake, kisha alisubiri kwa sekunde kadhaa na kuletewa majibu aliyoyataka.
Fredi Mutesa alikuwa ni mwanajeshi pia, ambae alikuwa na cheo cha Brigedia na alifanya kazi kwenye kambi ndogo, kwenye mpaka wa Rwanda na Goma. Wasifu wake haukuwa mrefu sana na kila alipojaribu kutafuta taarifa zaidi, alijikuta akiishia nusu ya vile alivyotaka.
Swai Makambo lilikuwa ni jina la tatu kulifanyia kazi ambapo, alikutana na wasifu uliomfanya atulie kwa umakini na kusoma taratibu sana.
Swai Makambo alikuwa ni mganga mkuu kwenye hospitali ya Dei Hospital. Hospitali kubwa kuliko zote kwenye mkoa wa Kivu ya kaskazini. Lakini kabla hajawa kwenye hiyo hospital, alikuwa ni mmoja wa matabibu wa jeshi, ambao walikuwa mstari wa mbele kuwatibu majeruhi wa vita. Lakini pia, alikuwa anaimiliki hiyo hospital kwa asilimia themanini, huku asilimia zilizosalia zikiwa zinamilikiwa na watu wengine.
Dokta Swai alikuwa na mke na mtoto mmoja ambae alikuwa ni mgonjwa wa mtindio wa ubongo na, mtoto yule alikuwa akipatiwa matibabu nyumbani, chini ya matabibu wenye uzoefu huku akiwalipa pesa nyingi ili, kumsaidia mwanae.
Jina la nne lilikuwa ni la Tatu Banenga. Huyu alikuwa ni mwanamke ambae alifanya kazi ofisi ya waziri mkuu, akiwa kama mkurugenzi wa usalama. Alipozidi kumfuatilia kwenye picha mbalimbali, aligundua ni mlinzi pia wa waziri mkuu japo alionekana mara chache kuwa nyuma yake.
Jina la tano lilikuwa ni la Jimmy Kasoki. Huyu alikuwa ni kanali mstaafu ambae amegeukia biashara za madini. Jimmy ni miongoni mwa wafanyabiashara wakubwa ndani ya mji wa Goma, akiwa anamiliki migodi kadhaa ya dhahabu na almasi. Pia alikuwa anamiliki maduka makubwa ya nguo na majumba kadhaa ya kifahari. Alikuwa na ulinzi wake binafsi huku akiwa na gari kadhaa, ambao haziingizi risasi.
Leti Kamirimana lilikuwa ni jina la mwisho kwenye orodha. Huyu alikuwa ni mwanasiasa, japo nae aliwahi kuwa mwanajeshi mwenye cheo cha kanali.
Miguu ya kuku alifunga ukurasa wa Leti Kamarimana, kisha aliegemea kwenye sofa na kuzama mawazoni. Aliwaza namna ya kufanya kazi akiwa ugenini na namna ambavyo angeliweza kuondoka, bila kuingia kwenye vyombo vya dola.
Mji wa Goma haukuwa mgeni kwake, alifahamu maeneo mengi na alifahamu vituo vingi vya polisi na kambi za jeshi. Licha ya kufahamu yote hayo, lakini hakuwa akijua vichochoro vya msaada endapo mambo yangelikuwa magumu kwake.
Aliirudia tena kompyuta yake na kuanza kuitafuta ramani ya mji wa Goma. Mji ambao unawakazi chini ya laki tatu, ukiwa ni mji ambao unatambelewa na mvua kuanzia mwezi wa nne, hadi mwezi wa sita.
Alitabasamu baada ya kujua machache kuhusu mji huo wa kibiashara. Alitabasamu kwa kuwa alipata kazi mwezi wa nne, kuelekea mwezi wa tano. Ikiwa na maana kwamba, kilikuwa ni kipindi cha mvua kwenye wilaya ya Goma. Kwake mvua ilikuwa ni sehemu sahihi kufanyia kazi, aliamini hekaheka katikati ya mvua ni nusu ya ushindi.
Alichukua karatasi na kalamu na kuyaandika majina ya watu wote, aliotakiwa kuwashugulikia. Alipomaliza kuyaandika, alianza kupitia wasifu wa kila mmoja na kwa umakini mkubwa bila kuacha, kitu chochote ambacho kilikuwa na umuhimu kwake.
Kila alipopitia wasifu wao, alikuwa anaandika pembeni namna ya kuanza kushugulika na kila mmoja wao. Lakini licha ya kuandika baadhi ya mbinu, alishindwa kujua ataanza na yupi na kumaliza na yupi.
Aliamua kurudia tena kuwasoma mmoja mmoja na maeneo ya makazi yake, hadi anamaliza tayari alikuwa amepata wa kuanza nae na hapo alijipongeza kwa kuanzia safari yake, nchini Rwanda.
Mtu wa kwanza aliyemwekea alama alikuwa ni Bregedia Fredi Mutesa, ambae alikuwa anaongoza kikosi cha jeshi kilichokuwa mpakani mwa Rwanda na Goma, sehemu iliyoitwa Gisenyi.
Alimchagua wa kwanza kwa sababu, alikuwa mpakani na wengine wote walikuwa katikati ya mji. Aliona ni vema kuanzia mpakani, ili endapo akimaliza kazi yake katikati ya mji, iwe rahisi kuondoka, kuliko angelianzia mjini pengine asingeliweza kupata nafasi ya kupitia mpakani na kumalizia kazi. Chaguo la kwanza kwake lilikuwa ni sahihi.
Alifunga kompyuta yake na kuelekea chumbani kwake. Huko alichukua begi lake dogo la mgongoni na kulifuta vumbi, kisha alichukua nguo chache na kuziweka kwenye begi. Nguo alizochukua ni zile ambazo aliamini ni sahihi kwake kuzitumia wakati wowote. Hakuchukua silaha yoyote, hakutaka kuweka mashaka kwa mtu yeyote huko aendako.
Alichagua viatu aina ya buti, zenye ufanano na buti za jeshi. Alipomaliza kuandaa kila kitu, alifunga begi lake na kuingia kulala, huku akitarajia kuamka alfajiri ili kuwahi uwanja wa ndege, kwa ajili ya safari kuelekea Kampala, kisha ataunganisha kuelekea Kigali Rwanda.
****
Kigali, Rwanda..
Ndege ilitua kwenye uwanja wa ndege wa Kigali, ikiwa ni saa sita kasoro dakika kumi, mchana. Abiria walishuka mmoja mmoja na kufuata taratibu za kawaida, kisha waliruhusiwa kuondoka kila mmoja kuelekea aendako.
Miongoni mwa abiria hao, alikuwa ni Zuki Gadu p.a.k Miguu ya Kuku. Alifuata taratibu za ukaguzi, kisha alitoka nje ya uwanja baada ya kukamilisha taratibu zote bila kikwazo. Alipofika nje ya uwanja, alikutana na madereva taxi wengi, ambao walimlaki kwa uchangamfu, huku kila mmoja akinadi huduma yenye ubora kwa mteja wake.
Macho yake yaliokuwa yakitembea kama ya kinyonga, yalivutiwa na kijana mmoja mtanashati ambae alikuwa akijitahidi, kumuita kwa ishara bila kutoa sauti.
Alivutiwa na tabia za vijana wengi kuwa wachangamfu na si wachoyo wa taarifa, tofauti na wale wa umri mkubwa ambao mara nyingi huongozwa na hekima na usiri, kwa kuwa kwenye kazi ya usafirishaji, wamekutana na mengi ambayo huwapa funzo.
Alimfuata yule kijana na kuingia kwenye gari yake. Punde baada ya kuingia, kijana yule nae aliingia huku akitabasamu kwa amani.
“Wapi boss wangu!” Aliuliza kijana yule.
“Naelekea Gisenyi.” Miguu ya kuku alijibu.
“Gisenyi!!” Alishangaa kijana yule huku akigeuka kumtazama.
“Ndiyo Gisenyi, kwani kuna shida kuelekea huko?”
“Hapana, lakini wewe ni Mtanzania”
“Umejuaje mimi ni Mtanzania?”
“Lafudhi yako kaka.”
“Kwa nini unahofia utanzania wangu huko mpakani?”
“Huko kwa siku za hivi karubuni, kumekuwa na taarifa mbaya kuhusu vijana wa kitanzania. Nasikia wamekuwa wakipotea kwenye mazingira tata na kukutwa wakiwa wamefariki, hivyo imekuwa ni hatari kwa watanzania kupitia pale kuingia Goma”
“Kwa nini sasa inatokea hivyo?”
“Hakuna mwenye taarifa sahihi, lakini nasikia kuna mtu pale mpakani anaitwa Zibuabanda. Huyo jamaa ni kamanda wa kikosi kazi kutoka Congo, ambae anahusika kwenye ulinzi wa mpaka huo na, alitolewa kwenye jeshi la waasi wa M23, baada ya kuwa amejisalimisha kisha wakamwajiri jeshini. Sasa Zibuabanda analipiza kisasi kwa kuwa husema, jeshi la Tanzania ndilo lilowafurumusha waasi wenzake.”
“Duh! Hii ni hatari sasa…. Kwa nini viongozi hawakemei hili jambo?”
“Kwa kweli hakuna anaejua, pengine hakuna mtu ambae ameshatoa taarifa”
“Kwa hiyo huwa mnawashauri nini hao vijana?”
“Huwa tunawaomba watumie usafiri wa anga kuliko usafiri wa gari.”
“Duh!”
“Eeh, kwa hiyo ndugu yangu ni bora urudi uwanjani, utumie usafiri wa ndege hadi Goma. Ni dakika kumi au kumi na tano utakuwa umefika Goma”
“Ningeliweza kufuata ushauri wako lakini, inanilazimu kutumia mpaka wa Gisenyi, kwa kuwa kuna biashara fulani inabidi niifanye huko.”
“Duh! Haya bwana. Itabidi ulipe dola ishirini na tano”
“Hapana, naomba unipeleke kwa dola ishirini”
“Sawa” Dereva aliwasha gari na safari ya kuelekea Gisenyi ilianza,huku Miguu ya kuku akijilaza na kupitiwa na usingizi.
“Braza nikuache mpakani, au utataka twende hadi Goma?” Kijana alimstua kwa swali.
“Wewe si umesema huwa kunaogopesha huko? Mbona wataka kunisindikiza kabisa?”
“Aah.. Naweza kuwa msaada kwako nikikupitisha, kwa sababu mimi Mtutsi hivyo ubaya wowote kwangu, utaamsha vuguvugu mpakani. Kwa hiyo wanaogopa kutudhuru pia ni Watutsi wenzengu.”
“Hapana! Siku huwa hazifanani na sitaki kukuingiza matatizoni”
“Mh! Sawa bwana mkubwa” Kijana alijibu huku akiendelea kuongeza kasi ya gari lake.
****
Saa tatu baadae, walikuwa wanaingia wilayani Gisenyi karibu na mpaka wa Rwanda na Congo.
“Tumefika kaka mkubwa” Kijana alimuamsha Miguu ya kuku.
Miguu ya kuku aliamka na kuangaza huku na huko, kisha akaingiza mkono wake mfukoni na kutoa dola ishirini na, kumpa yule kijana. Kisha alipiga hatua na kuelekea sehemu ya ukaguzi huku akipokea kheri ya safari, kutoka kwa dereva aliyemfikisha pale.
Alivuta hatua zake kama mlevi, huku akijaribu kuangaza huku na huko. Kwa harakaharaka aliweza kuwaona wanajeshi wa Rwanda wakiwa na silaha zao, wakidumisha usalama upande wao. Kulikuwa na maofisa kadhaa wa uhamiaji na wale wa polisi, ambao nao walikuwa pembeni ya ofisi za ukaguzi.
Alipiga hatua na kuelekea upande wa wapita kwa miguu, huko alipanga foleni na kusubiri zamu yake ifike akaguliwe. Alijiamini kwa kuwa alikuwa anafuata taratibu bila kukwepa.
Zamu yake ilifika na alikaguliwa na kuulizwa maswali machache, kisha Hati zake za kusafiria zilipigwa mhuri na aliruhusiwa kuingia upande wa pili, ambao ni Goma, Congo.
--- 2----
Goma, Congo…
Miguu ya kuku aliweka vema begi lake mgongoni, kisha alianza kupiga hatua kuelekea upande ambao kulikuwa na daladala, ambazo zilikuwa zinafanya safari zake kutoka Goma hadi Gisenyi, lakini hazikuruhusiwa kuingia Rwanda.
Alipiga hatua zake kivivu huku akishuhudia baadhi ya gari zikiondoka kuelekea Goma. Aliifikia gari ambayo ilikuwa inajiandaa kuondoka, alipanda na safari ilianza. Abiria wenzake walikuwa ni watu wenye kuongea lugha moja, na yeye pekee ndiye hakuelewa kilichokuwa kinazungumzwa.
Alikaa kimya na kuanza kuhesabu miti iliyokuwa inarudi nyuma kwa kasi.
Baada ya dakika kumi za safari yao, gari ilianza kupunguza mwendo na alipojaribu kutizama mbele, aliona kizuizi na wanajeshi wakiwa na silaha za moto.
“Jamani abiria wageni wekeni karatasi zenu karibu.” Dereva alipaza sauti kuwambia abiria wake.
Taarifa ile iliyotolewa, ilifanya watu wote wamtazame Miguu ya kuku, nae bila kujiuliza, alijua yeye ndiye mgeni na wenzake ni wenyeji. Lakini ni kwa vile aliamua kujipa jibu la kwa nini anatizamwa, lakini kama angeliwauliza, wangelimpa jibu tofauti na alilokuwa akiwaza.
Wao walimtizama kwa kuwa walijua pale ni mwisho wa safari yake, walijua kwa sababu walishajua anatokea nchi gani na walijua mbele yao, kulikuwa na vijana wa Zibuabanda.
Yes, Zibuabanda asiyewapenda watanzania
.
.
.
.
.
ENDELEA KUWA NAMI
Moto unazidi kuwaka
RIWAYA; MDUNGUAJI WA GOMA.
NA; BAHATI K MWAMBA.
SEHEMU YA KUMI NA MBILI.
Baada ya kumfahamu Papaa Deo kwa kifupi, alizitafuta picha za wapendwa wake ambao ni binti yake na kimada wake. Alipozipata alibaki akizitizama bila kupepesa.
Wote walikuwa ni warembo haswaa, ambao walionekana kuwa na asili ya kabila Wahutu.
Wakati alipokuwa akiwatizama, wazo moja lilikuwa kichwani mwake ya kuwa; wale ndiyo udhaifu wa Brigedia jenerali Deo. Aliamini alitakiwa kuanza na udhaifu ule ili kumpata Deo mwenyewe na kabla ya kumpata, alitaka kuiba kwanza mzigo ulioko kwenye nyumba ya Papaa Deo, nyumba inayolindwa kuliko nyumba zote ndani ya mji wa Goma.
“If a bullet can’t take you, will take some one you love soldier!.” Alisema huku akiufunga ukurasa wenye picha za Papaa Deo na vipenzi vyake.
Mwili ukamcheka, ubongo ukamcheza huku akifikiria namna ya kuiingia familia ile isiyoingilika kirahisi.
Mtihani!!
Alikuna kichwa kwa kufikiria mambo kadhaa, huku akijaribu kuwaza njia bira ya kutumia ili afanikishe mpango wake wa kwanza, ambao aliupa jina la KOMOA BWEGE.
Kila njia aliyoifikiria aliona haifai kutumika na, aliposhindwa kabisa kupata njia sahihi, aliamua kuachana na familia ile na, aliingia kwenye awamu nyingine ya kuwajua wahusika wengine ambao alitakiwa kuwashugulikia.
Jina la pili aliliandika kwenye kompyuta yake, kisha alisubiri kwa sekunde kadhaa na kuletewa majibu aliyoyataka.
Fredi Mutesa alikuwa ni mwanajeshi pia, ambae alikuwa na cheo cha Brigedia na alifanya kazi kwenye kambi ndogo, kwenye mpaka wa Rwanda na Goma. Wasifu wake haukuwa mrefu sana na kila alipojaribu kutafuta taarifa zaidi, alijikuta akiishia nusu ya vile alivyotaka.
Swai Makambo lilikuwa ni jina la tatu kulifanyia kazi ambapo, alikutana na wasifu uliomfanya atulie kwa umakini na kusoma taratibu sana.
Swai Makambo alikuwa ni mganga mkuu kwenye hospitali ya Dei Hospital. Hospitali kubwa kuliko zote kwenye mkoa wa Kivu ya kaskazini. Lakini kabla hajawa kwenye hiyo hospital, alikuwa ni mmoja wa matabibu wa jeshi, ambao walikuwa mstari wa mbele kuwatibu majeruhi wa vita. Lakini pia, alikuwa anaimiliki hiyo hospital kwa asilimia themanini, huku asilimia zilizosalia zikiwa zinamilikiwa na watu wengine.
Dokta Swai alikuwa na mke na mtoto mmoja ambae alikuwa ni mgonjwa wa mtindio wa ubongo na, mtoto yule alikuwa akipatiwa matibabu nyumbani, chini ya matabibu wenye uzoefu huku akiwalipa pesa nyingi ili, kumsaidia mwanae.
Jina la nne lilikuwa ni la Tatu Banenga. Huyu alikuwa ni mwanamke ambae alifanya kazi ofisi ya waziri mkuu, akiwa kama mkurugenzi wa usalama. Alipozidi kumfuatilia kwenye picha mbalimbali, aligundua ni mlinzi pia wa waziri mkuu japo alionekana mara chache kuwa nyuma yake.
Jina la tano lilikuwa ni la Jimmy Kasoki. Huyu alikuwa ni kanali mstaafu ambae amegeukia biashara za madini. Jimmy ni miongoni mwa wafanyabiashara wakubwa ndani ya mji wa Goma, akiwa anamiliki migodi kadhaa ya dhahabu na almasi. Pia alikuwa anamiliki maduka makubwa ya nguo na majumba kadhaa ya kifahari. Alikuwa na ulinzi wake binafsi huku akiwa na gari kadhaa, ambao haziingizi risasi.
Leti Kamirimana lilikuwa ni jina la mwisho kwenye orodha. Huyu alikuwa ni mwanasiasa, japo nae aliwahi kuwa mwanajeshi mwenye cheo cha kanali.
Miguu ya kuku alifunga ukurasa wa Leti Kamarimana, kisha aliegemea kwenye sofa na kuzama mawazoni. Aliwaza namna ya kufanya kazi akiwa ugenini na namna ambavyo angeliweza kuondoka, bila kuingia kwenye vyombo vya dola.
Mji wa Goma haukuwa mgeni kwake, alifahamu maeneo mengi na alifahamu vituo vingi vya polisi na kambi za jeshi. Licha ya kufahamu yote hayo, lakini hakuwa akijua vichochoro vya msaada endapo mambo yangelikuwa magumu kwake.
Aliirudia tena kompyuta yake na kuanza kuitafuta ramani ya mji wa Goma. Mji ambao unawakazi chini ya laki tatu, ukiwa ni mji ambao unatambelewa na mvua kuanzia mwezi wa nne, hadi mwezi wa sita.
Alitabasamu baada ya kujua machache kuhusu mji huo wa kibiashara. Alitabasamu kwa kuwa alipata kazi mwezi wa nne, kuelekea mwezi wa tano. Ikiwa na maana kwamba, kilikuwa ni kipindi cha mvua kwenye wilaya ya Goma. Kwake mvua ilikuwa ni sehemu sahihi kufanyia kazi, aliamini hekaheka katikati ya mvua ni nusu ya ushindi.
Alichukua karatasi na kalamu na kuyaandika majina ya watu wote, aliotakiwa kuwashugulikia. Alipomaliza kuyaandika, alianza kupitia wasifu wa kila mmoja na kwa umakini mkubwa bila kuacha, kitu chochote ambacho kilikuwa na umuhimu kwake.
Kila alipopitia wasifu wao, alikuwa anaandika pembeni namna ya kuanza kushugulika na kila mmoja wao. Lakini licha ya kuandika baadhi ya mbinu, alishindwa kujua ataanza na yupi na kumaliza na yupi.
Aliamua kurudia tena kuwasoma mmoja mmoja na maeneo ya makazi yake, hadi anamaliza tayari alikuwa amepata wa kuanza nae na hapo alijipongeza kwa kuanzia safari yake, nchini Rwanda.
Mtu wa kwanza aliyemwekea alama alikuwa ni Bregedia Fredi Mutesa, ambae alikuwa anaongoza kikosi cha jeshi kilichokuwa mpakani mwa Rwanda na Goma, sehemu iliyoitwa Gisenyi.
Alimchagua wa kwanza kwa sababu, alikuwa mpakani na wengine wote walikuwa katikati ya mji. Aliona ni vema kuanzia mpakani, ili endapo akimaliza kazi yake katikati ya mji, iwe rahisi kuondoka, kuliko angelianzia mjini pengine asingeliweza kupata nafasi ya kupitia mpakani na kumalizia kazi. Chaguo la kwanza kwake lilikuwa ni sahihi.
Alifunga kompyuta yake na kuelekea chumbani kwake. Huko alichukua begi lake dogo la mgongoni na kulifuta vumbi, kisha alichukua nguo chache na kuziweka kwenye begi. Nguo alizochukua ni zile ambazo aliamini ni sahihi kwake kuzitumia wakati wowote. Hakuchukua silaha yoyote, hakutaka kuweka mashaka kwa mtu yeyote huko aendako.
Alichagua viatu aina ya buti, zenye ufanano na buti za jeshi. Alipomaliza kuandaa kila kitu, alifunga begi lake na kuingia kulala, huku akitarajia kuamka alfajiri ili kuwahi uwanja wa ndege, kwa ajili ya safari kuelekea Kampala, kisha ataunganisha kuelekea Kigali Rwanda.
****
Kigali, Rwanda..
Ndege ilitua kwenye uwanja wa ndege wa Kigali, ikiwa ni saa sita kasoro dakika kumi, mchana. Abiria walishuka mmoja mmoja na kufuata taratibu za kawaida, kisha waliruhusiwa kuondoka kila mmoja kuelekea aendako.
Miongoni mwa abiria hao, alikuwa ni Zuki Gadu p.a.k Miguu ya Kuku. Alifuata taratibu za ukaguzi, kisha alitoka nje ya uwanja baada ya kukamilisha taratibu zote bila kikwazo. Alipofika nje ya uwanja, alikutana na madereva taxi wengi, ambao walimlaki kwa uchangamfu, huku kila mmoja akinadi huduma yenye ubora kwa mteja wake.
Macho yake yaliokuwa yakitembea kama ya kinyonga, yalivutiwa na kijana mmoja mtanashati ambae alikuwa akijitahidi, kumuita kwa ishara bila kutoa sauti.
Alivutiwa na tabia za vijana wengi kuwa wachangamfu na si wachoyo wa taarifa, tofauti na wale wa umri mkubwa ambao mara nyingi huongozwa na hekima na usiri, kwa kuwa kwenye kazi ya usafirishaji, wamekutana na mengi ambayo huwapa funzo.
Alimfuata yule kijana na kuingia kwenye gari yake. Punde baada ya kuingia, kijana yule nae aliingia huku akitabasamu kwa amani.
“Wapi boss wangu!” Aliuliza kijana yule.
“Naelekea Gisenyi.” Miguu ya kuku alijibu.
“Gisenyi!!” Alishangaa kijana yule huku akigeuka kumtazama.
“Ndiyo Gisenyi, kwani kuna shida kuelekea huko?”
“Hapana, lakini wewe ni Mtanzania”
“Umejuaje mimi ni Mtanzania?”
“Lafudhi yako kaka.”
“Kwa nini unahofia utanzania wangu huko mpakani?”
“Huko kwa siku za hivi karubuni, kumekuwa na taarifa mbaya kuhusu vijana wa kitanzania. Nasikia wamekuwa wakipotea kwenye mazingira tata na kukutwa wakiwa wamefariki, hivyo imekuwa ni hatari kwa watanzania kupitia pale kuingia Goma”
“Kwa nini sasa inatokea hivyo?”
“Hakuna mwenye taarifa sahihi, lakini nasikia kuna mtu pale mpakani anaitwa Zibuabanda. Huyo jamaa ni kamanda wa kikosi kazi kutoka Congo, ambae anahusika kwenye ulinzi wa mpaka huo na, alitolewa kwenye jeshi la waasi wa M23, baada ya kuwa amejisalimisha kisha wakamwajiri jeshini. Sasa Zibuabanda analipiza kisasi kwa kuwa husema, jeshi la Tanzania ndilo lilowafurumusha waasi wenzake.”
“Duh! Hii ni hatari sasa…. Kwa nini viongozi hawakemei hili jambo?”
“Kwa kweli hakuna anaejua, pengine hakuna mtu ambae ameshatoa taarifa”
“Kwa hiyo huwa mnawashauri nini hao vijana?”
“Huwa tunawaomba watumie usafiri wa anga kuliko usafiri wa gari.”
“Duh!”
“Eeh, kwa hiyo ndugu yangu ni bora urudi uwanjani, utumie usafiri wa ndege hadi Goma. Ni dakika kumi au kumi na tano utakuwa umefika Goma”
“Ningeliweza kufuata ushauri wako lakini, inanilazimu kutumia mpaka wa Gisenyi, kwa kuwa kuna biashara fulani inabidi niifanye huko.”
“Duh! Haya bwana. Itabidi ulipe dola ishirini na tano”
“Hapana, naomba unipeleke kwa dola ishirini”
“Sawa” Dereva aliwasha gari na safari ya kuelekea Gisenyi ilianza,huku Miguu ya kuku akijilaza na kupitiwa na usingizi.
“Braza nikuache mpakani, au utataka twende hadi Goma?” Kijana alimstua kwa swali.
“Wewe si umesema huwa kunaogopesha huko? Mbona wataka kunisindikiza kabisa?”
“Aah.. Naweza kuwa msaada kwako nikikupitisha, kwa sababu mimi Mtutsi hivyo ubaya wowote kwangu, utaamsha vuguvugu mpakani. Kwa hiyo wanaogopa kutudhuru pia ni Watutsi wenzengu.”
“Hapana! Siku huwa hazifanani na sitaki kukuingiza matatizoni”
“Mh! Sawa bwana mkubwa” Kijana alijibu huku akiendelea kuongeza kasi ya gari lake.
****
Saa tatu baadae, walikuwa wanaingia wilayani Gisenyi karibu na mpaka wa Rwanda na Congo.
“Tumefika kaka mkubwa” Kijana alimuamsha Miguu ya kuku.
Miguu ya kuku aliamka na kuangaza huku na huko, kisha akaingiza mkono wake mfukoni na kutoa dola ishirini na, kumpa yule kijana. Kisha alipiga hatua na kuelekea sehemu ya ukaguzi huku akipokea kheri ya safari, kutoka kwa dereva aliyemfikisha pale.
Alivuta hatua zake kama mlevi, huku akijaribu kuangaza huku na huko. Kwa harakaharaka aliweza kuwaona wanajeshi wa Rwanda wakiwa na silaha zao, wakidumisha usalama upande wao. Kulikuwa na maofisa kadhaa wa uhamiaji na wale wa polisi, ambao nao walikuwa pembeni ya ofisi za ukaguzi.
Alipiga hatua na kuelekea upande wa wapita kwa miguu, huko alipanga foleni na kusubiri zamu yake ifike akaguliwe. Alijiamini kwa kuwa alikuwa anafuata taratibu bila kukwepa.
Zamu yake ilifika na alikaguliwa na kuulizwa maswali machache, kisha Hati zake za kusafiria zilipigwa mhuri na aliruhusiwa kuingia upande wa pili, ambao ni Goma, Congo.
--- 2----
Goma, Congo…
Miguu ya kuku aliweka vema begi lake mgongoni, kisha alianza kupiga hatua kuelekea upande ambao kulikuwa na daladala, ambazo zilikuwa zinafanya safari zake kutoka Goma hadi Gisenyi, lakini hazikuruhusiwa kuingia Rwanda.
Alipiga hatua zake kivivu huku akishuhudia baadhi ya gari zikiondoka kuelekea Goma. Aliifikia gari ambayo ilikuwa inajiandaa kuondoka, alipanda na safari ilianza. Abiria wenzake walikuwa ni watu wenye kuongea lugha moja, na yeye pekee ndiye hakuelewa kilichokuwa kinazungumzwa.
Alikaa kimya na kuanza kuhesabu miti iliyokuwa inarudi nyuma kwa kasi.
Baada ya dakika kumi za safari yao, gari ilianza kupunguza mwendo na alipojaribu kutizama mbele, aliona kizuizi na wanajeshi wakiwa na silaha za moto.
“Jamani abiria wageni wekeni karatasi zenu karibu.” Dereva alipaza sauti kuwambia abiria wake.
Taarifa ile iliyotolewa, ilifanya watu wote wamtazame Miguu ya kuku, nae bila kujiuliza, alijua yeye ndiye mgeni na wenzake ni wenyeji. Lakini ni kwa vile aliamua kujipa jibu la kwa nini anatizamwa, lakini kama angeliwauliza, wangelimpa jibu tofauti na alilokuwa akiwaza.
Wao walimtizama kwa kuwa walijua pale ni mwisho wa safari yake, walijua kwa sababu walishajua anatokea nchi gani na walijua mbele yao, kulikuwa na vijana wa Zibuabanda.
Yes, Zibuabanda asiyewapenda watanzania
.
.
.
.
.
ENDELEA KUWA NAMI