Mdude Nyagali anadai Dkt. Tulia anataka Kumuua

Kwenye ukurasa wake wa Mtandao wa X, anadai Tulia anapanga mipango ya kumuua. Huyu Mdude anapenda ku trend kwa mambo ya kizushi.
---

Kupitia ukurasa wake wa Twitter (X) Mdude Nyagali anaandika haya:

Nimepata taarifa za siri kutoka kwa msamalia mwema kwamba Tulia amefadhili kikundi cha GreenGuard kutaka kuniua. Kwamba Green Guard hao wameanza kuuliza ninakoishi na nikakoshinda ili iwe rahisi kufanya unyama juu yangu. Na mimi nimeanza kupeleleza majina ya green Guard hao wote.

Pili ni kwamba Tulia anapaswa kujua kuwa Mdude analindwa na damu ya Yesu, Mungu Mwenyezi yupo pamoja na Mdude ndio maana kila hila zikipangwa juu ya Mdude zinakwama. Mwisho kabisa ni kwamba hizo levo za kuvamiwa na Green Guard + polisi zilishazivuka niko mbele sana.


Huyu jamaa ana mganga mkali sana...
 
Kwenye ukurasa wake wa Mtandao wa X, anadai Tulia anapanga mipango ya kumuua. Huyu Mdude anapenda ku trend kwa mambo ya kizushi.
---

Kupitia ukurasa wake wa Twitter (X) Mdude Nyagali anaandika haya:

Nimepata taarifa za siri kutoka kwa msamalia mwema kwamba Tulia amefadhili kikundi cha GreenGuard kutaka kuniua. Kwamba Green Guard hao wameanza kuuliza ninakoishi na nikakoshinda ili iwe rahisi kufanya unyama juu yangu. Na mimi nimeanza kupeleleza majina ya green Guard hao wote.

Pili ni kwamba Tulia anapaswa kujua kuwa Mdude analindwa na damu ya Yesu, Mungu Mwenyezi yupo pamoja na Mdude ndio maana kila hila zikipangwa juu ya Mdude zinakwama. Mwisho kabisa ni kwamba hizo levo za kuvamiwa na Green Guard + polisi zilishazivuka niko mbele sana.


Kwa yaliyomtokea Marehemu Alphonse Mawazo siwezi kushangaa,hawa maccm ni wauaji kweli kweli.
 
Kwenye ukurasa wake wa Mtandao wa X, anadai Tulia anapanga mipango ya kumuua. Huyu Mdude anapenda ku trend kwa mambo ya kizushi.
---

Kupitia ukurasa wake wa Twitter (X) Mdude Nyagali anaandika haya:

Nimepata taarifa za siri kutoka kwa msamalia mwema kwamba Tulia amefadhili kikundi cha GreenGuard kutaka kuniua. Kwamba Green Guard hao wameanza kuuliza ninakoishi na nikakoshinda ili iwe rahisi kufanya unyama juu yangu. Na mimi nimeanza kupeleleza majina ya green Guard hao wote.

Pili ni kwamba Tulia anapaswa kujua kuwa Mdude analindwa na damu ya Yesu, Mungu Mwenyezi yupo pamoja na Mdude ndio maana kila hila zikipangwa juu ya Mdude zinakwama. Mwisho kabisa ni kwamba hizo levo za kuvamiwa na Green Guard + polisi zilishazivuka niko mbele sana.


Hizi Kiki za Kijinga Kweli. Mahusiano ya Mdude kuuwawa na Uhusika wa Tulia naona imekaa Kisengele Nyuma. Hii ni Sawa Fundi Gari aonewe wivu na Fundi Ndege. Au Mkulima wa ndizi amuonee Wivu Mbeba Mizigo ya Wakulima wa Ndizi. Au Mkaanga Mandazi aonewe Wivu na Engineer wa Barabara😂😂😂. Nb Acheni Kutuvunja Mbavu akina Mdude
 
Hizi Taarifa za hivi huwa tuna zipuuzia alafu baadae tunaanza kujifanya Wana harakati na kiweka vi hashtag vya kinafki........

TAARIFA HII ISIPUUZWE ili Kama ni uongo mdude awajibishwe kwa kumchafua spika na Kama ni ukweli mbunge wangu awajibishwe...

Mdude ana akili sana, na anapendwa na watu wengi sana, lazima ana some sort of ushahidi.
 
Back
Top Bottom