Mdude Katekwa, mjumbe, mwenyekiti wa mtaa na mbunge wa Jimbo lake walipaswa kuwa mstari wa Mbele kupigania upatikanaji Wake.

Mdude Katekwa, mjumbe, mwenyekiti wa mtaa na mbunge wa Jimbo lake walipaswa kuwa mstari wa Mbele kupigania upatikanaji Wake.

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
34,059
Reaction score
79,408
Sabato Njema!

Waafrika wengi ni rahisi kuwaonea na kuwadhulumu kwa sababu hawana umoja. Hawapendani. Uoga mara nyingi husababishwa na kutokuwa na upendo wa dhati.

Kama Watanzania wangekuwa wanapendana Kwa dhati yote. Kusingekuwa na msamiati watu wasiojulikana.
Watu wasiojulikana ni matokeo ya Jamii kutokupendana.

Hakuna adui yoyote anayoweza kuishinda jamii inayopendana. Jamii yenye umoja inakuwa na nguvu.

Sio ajabu wazungu watano tuu walitosha kuwaswaga waafrika maelfu na maelfu.

Kuna Clip moja kipindi Fulani niliiona ikimuonyesha Mchina Mmoja akitandika waafrika mbele ya waafrika wenzao.
Jambo Hilo huwezi kulisikia likifanyika kwenye Jamii zingine. Yaani wewe muafrika uende China au Arabuni au uhindini ukawapige huko alafu wakuangalie. Hiyo haiwezekaniki.

Suala la wasiojulikana kwa sasa limeota mizizi. Na kiukweli sio kwamba hawajulikani. Wanajulikana. Serikali IPO, imeajiri maelfu ya vijana wa kulinda usalama wa watanzania. Gharama kubwa zinatumika kwenye ulinzi na usalama. Hao wasiojulikana wanatokea wapi? Kwamba hakuna jeshi, vyombo vya dola KAZI take ni ipi haswa.

Mtanzania anatekwa, watu kimya. Ingawaje wapo wachache wanapiga kelele lakini bado haitoshi.

Husikii serikali yake ya mtaa ikiwajibika.
Mjumbe, sijui mwenyekiti, sijui mbunge. Kimya.
Ni kwa sababu hawana upendo, na mtu asiye na upendo mara nyingi hukosa ujasiri. Hawezi kuwa mtenda HAKI.

Hata Kuku ukienda kuchukua kifaranga chake hupambana. Kuku anatushinda?

Kanisa analosalia Mdude au waliotekwa wengine yapo Kimya.
Waumini wapo Kimya. Alafu wanasema wanamuabudu Mungu. Kweli?

Hii inawapa nafasi viongozi wasio waadilifu waliopo serikali kutumia vibaya madaraka yao.
Najua wapo viongozi waadilifu hukohuko serikalini lakini uadilifu wao unakosa mashiko na nguvu kutokana na tabia watanzania na waafrika kwa ujumla.

Tusitegemee hata siku moja wazungu au watu wa jamii nyingine watatuokoa kutoka hapa tulipo. Watatufanya tupendane.
Umoja wetu upo kati yetu. Unatoka kwetu na sio kwa watu wa jamii zingine.

Tupendane, kwa maana huo ndio uzalendo. Huko ndio kuipenda Nchi kwa sababu nchi ni watu.
Huwezi sema unaipenda nchi yako, ati wewe ni mzalendo alafu unakaa kimya pale unapoona mambo mabaya yanafanyika kwenye nchi yako.

Kukemea mabaya ndio uzalendo wenyewe. Ndio kutaka maendeleo ya taifa lako. Maendeleo ya kijamii, kisiasa, kiuchumi, kiteknolojia n.k.

Tusiishi kwa kuviziana.
Tusiishi kwa hofu.
Watawala kuwahofia wananchi hupelekea ukatili. Kwamba mtawala anahofia maslahi yake yapo mashakani .
Na wananchi kuihofia serikali huondoa uwajibikaji na kukuza dhulma.

Ukweli utatuweka Huru
Haki itatupa Amani ya kweli
Upendo utatupa Furaha
Akili na Maarifa vitatupa maendeleo

Acha nipumzike.

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
 
Uko sahihi sana mkuu.

Shida inaanzia kwa watekaji wenyewe, inaonekana wana nguvu kuliko hizi mamlaka zote ndogondogo, Mwenyekiti na Mbunge kusimama dhidi ya hili maana yake wameuweka rehani nafasi zao za kiuongozi.
Kwasababu nawao vyeo kwao ni vyanzo vikuu vya mapato basi hubaki kimya kulinda vyeo vyao na matumbo yao.

Hili lingeweza kufanywa tu na wale ambao vyeo kwao ni dhamana na utumishi wa umma.
 
Mwenyekiti wa mtaa na mbunge wake ni wanachama wa chama gani ?
 
Uko sahihi sana mkuu.

Shida inaanzia kwa watekaji wenyewe, inaonekana wana nguvu kuliko hizi mamlaka zote ndogondogo, Mwenyekiti na Mbunge kusimama dhidi ya hili maana yake wameuweka rehani nafasi zao za kiuongozi.
Kwasababu nawao vyeo kwao ni vyanzo vikuu vya mapato basi hubaki kimya kulinda vyeo vyao na matumbo yao.

Hili lingeweza kufanywa tu na wale ambao vyeo kwao ni dhamana na utumishi wa umma.

Watekaji wanajua udhaifu wenu na wanautumia.
Simba mmoja hukimbiza nyumbu maelfu. Sio kwa sababu Simba ananguvu Bali kwa sababu Nyumbu hawana umoja
 
Mwenyekiti wa mtaa na mbunge wake ni wanachama wa chama gani ?

Chama hakina uhusiano na upendo na umoja wa watu.
Wapo viongozi wapo ccm ila wake au waume au watoto wao wapo vyama vya upinzani.
Unafikiri utofauti wa chama utaondoa upendo wao?
 
KUNA KITABU KINAITWA MUHUNI WA KWANZA DUNIANI NI SERIKALI KITAFUTE

Kufanya uhuni kwa watu wako hata wanyama hawawezi kufanya hivyo.

Ndio maana napendekeza Sera za uvamizi.
Wazungu sio wajinga kuvamia mataifa mengine
 
Chama hakina uhusiano na upendo na umoja wa watu.
Wapo viongozi wapo ccm ila wake au waume au watoto wao wapo vyama vya upinzani.
Unafikiri utofauti wa chama utaondoa upendo wao?
Mpaka sasa unaamini kabisa kuna upendo na umoja ?
 
We jiulize ni kwann wanaotekwa wote ni wale wenye mrengo wa kuikosoa serikali...kisha utapata jibu watekaji ni akina nani na ndio maana huwa hawajulikani wala kukamatwa!
 
Sabato Njema!

Waafrika wengi ni rahisi kuwaonea na kuwadhulumu kwa sababu hawana umoja. Hawapendani. Uoga mara nyingi husababishwa na kutokuwa na upendo wa dhati.

Kama Watanzania wangekuwa wanapendana Kwa dhati yote. Kusingekuwa na msamiati watu wasiojulikana.
Watu wasiojulikana ni matokeo ya Jamii kutokupendana.

Hakuna adui yoyote anayoweza kuishinda jamii inayopendana. Jamii yenye umoja inakuwa na nguvu.

Sio ajabu wazungu watano tuu walitosha kuwaswaga waafrika maelfu na maelfu.

Kuna Clip moja kipindi Fulani niliiona ikimuonyesha Mchina Mmoja akitandika waafrika mbele ya waafrika wenzao.
Jambo Hilo huwezi kulisikia likifanyika kwenye Jamii zingine. Yaani wewe muafrika uende China au Arabuni au uhindini ukawapige huko alafu wakuangalie. Hiyo haiwezekaniki.

Suala la wasiojulikana kwa sasa limeota mizizi. Na kiukweli sio kwamba hawajulikani. Wanajulikana. Serikali IPO, imeajiri maelfu ya vijana wa kulinda usalama wa watanzania. Gharama kubwa zinatumika kwenye ulinzi na usalama. Hao wasiojulikana wanatokea wapi? Kwamba hakuna jeshi, vyombo vya dola KAZI take ni ipi haswa.

Mtanzania anatekwa, watu kimya. Ingawaje wapo wachache wanapiga kelele lakini bado haitoshi.

Husikii serikali yake ya mtaa ikiwajibika.
Mjumbe, sijui mwenyekiti, sijui mbunge. Kimya.
Ni kwa sababu hawana upendo, na mtu asiye na upendo mara nyingi hukosa ujasiri. Hawezi kuwa mtenda HAKI.

Hata Kuku ukienda kuchukua kifaranga chake hupambana. Kuku anatushinda?

Kanisa analosalia Mdude au waliotekwa wengine yapo Kimya.
Waumini wapo Kimya. Alafu wanasema wanamuabudu Mungu. Kweli?

Hii inawapa nafasi viongozi wasio waadilifu waliopo serikali kutumia vibaya madaraka yao.
Najua wapo viongozi waadilifu hukohuko serikalini lakini uadilifu wao unakosa mashiko na nguvu kutokana na tabia watanzania na waafrika kwa ujumla.

Tusitegemee hata siku moja wazungu au watu wa jamii nyingine watatuokoa kutoka hapa tulipo. Watatufanya tupendane.
Umoja wetu upo kati yetu. Unatoka kwetu na sio kwa watu wa jamii zingine.

Tupendane, kwa maana huo ndio uzalendo. Huko ndio kuipenda Nchi kwa sababu nchi ni watu.
Huwezi sema unaipenda nchi yako, ati wewe ni mzalendo alafu unakaa kimya pale unapoona mambo mabaya yanafanyika kwenye nchi yako.

Kukemea mabaya ndio uzalendo wenyewe. Ndio kutaka maendeleo ya taifa lako. Maendeleo ya kijamii, kisiasa, kiuchumi, kiteknolojia n.k.

Tusiishi kwa kuviziana.
Tusiishi kwa hofu.
Watawala kuwahofia wananchi hupelekea ukatili. Kwamba mtawala anahofia maslahi yake yapo mashakani .
Na wananchi kuihofia serikali huondoa uwajibikaji na kukuza dhulma.

Ukweli utatuweka Huru
Haki itatupa Amani ya kweli
Upendo utatupa Furaha
Akili na Maarifa vitatupa maendeleo

Acha nipumzike.

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
🙋✍️🎯👍👌👏👊🤝🙏🎁🎖️
 
Kwa maneno mengine tatizo liko kwenye katiba kwa kumfanya rais kuwa kama Mungu.
 
Tunakoelekea Familia za watu fulani nazo zitawindwa itakuwa piga nkupige

ova
 
Sabato Njema!

Waafrika wengi ni rahisi kuwaonea na kuwadhulumu kwa sababu hawana umoja. Hawapendani. Uoga mara nyingi husababishwa na kutokuwa na upendo wa dhati.

Kama Watanzania wangekuwa wanapendana Kwa dhati yote. Kusingekuwa na msamiati watu wasiojulikana.
Watu wasiojulikana ni matokeo ya Jamii kutokupendana.

Hakuna adui yoyote anayoweza kuishinda jamii inayopendana. Jamii yenye umoja inakuwa na nguvu.

Sio ajabu wazungu watano tuu walitosha kuwaswaga waafrika maelfu na maelfu.

Kuna Clip moja kipindi Fulani niliiona ikimuonyesha Mchina Mmoja akitandika waafrika mbele ya waafrika wenzao.
Jambo Hilo huwezi kulisikia likifanyika kwenye Jamii zingine. Yaani wewe muafrika uende China au Arabuni au uhindini ukawapige huko alafu wakuangalie. Hiyo haiwezekaniki.

Suala la wasiojulikana kwa sasa limeota mizizi. Na kiukweli sio kwamba hawajulikani. Wanajulikana. Serikali IPO, imeajiri maelfu ya vijana wa kulinda usalama wa watanzania. Gharama kubwa zinatumika kwenye ulinzi na usalama. Hao wasiojulikana wanatokea wapi? Kwamba hakuna jeshi, vyombo vya dola KAZI take ni ipi haswa.

Mtanzania anatekwa, watu kimya. Ingawaje wapo wachache wanapiga kelele lakini bado haitoshi.

Husikii serikali yake ya mtaa ikiwajibika.
Mjumbe, sijui mwenyekiti, sijui mbunge. Kimya.
Ni kwa sababu hawana upendo, na mtu asiye na upendo mara nyingi hukosa ujasiri. Hawezi kuwa mtenda HAKI.

Hata Kuku ukienda kuchukua kifaranga chake hupambana. Kuku anatushinda?

Kanisa analosalia Mdude au waliotekwa wengine yapo Kimya.
Waumini wapo Kimya. Alafu wanasema wanamuabudu Mungu. Kweli?

Hii inawapa nafasi viongozi wasio waadilifu waliopo serikali kutumia vibaya madaraka yao.
Najua wapo viongozi waadilifu hukohuko serikalini lakini uadilifu wao unakosa mashiko na nguvu kutokana na tabia watanzania na waafrika kwa ujumla.

Tusitegemee hata siku moja wazungu au watu wa jamii nyingine watatuokoa kutoka hapa tulipo. Watatufanya tupendane.
Umoja wetu upo kati yetu. Unatoka kwetu na sio kwa watu wa jamii zingine.

Tupendane, kwa maana huo ndio uzalendo. Huko ndio kuipenda Nchi kwa sababu nchi ni watu.
Huwezi sema unaipenda nchi yako, ati wewe ni mzalendo alafu unakaa kimya pale unapoona mambo mabaya yanafanyika kwenye nchi yako.

Kukemea mabaya ndio uzalendo wenyewe. Ndio kutaka maendeleo ya taifa lako. Maendeleo ya kijamii, kisiasa, kiuchumi, kiteknolojia n.k.

Tusiishi kwa kuviziana.
Tusiishi kwa hofu.
Watawala kuwahofia wananchi hupelekea ukatili. Kwamba mtawala anahofia maslahi yake yapo mashakani .
Na wananchi kuihofia serikali huondoa uwajibikaji na kukuza dhulma.

Ukweli utatuweka Huru
Haki itatupa Amani ya kweli
Upendo utatupa Furaha
Akili na Maarifa vitatupa maendeleo

Acha nipumzike.

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
Hiii nchi hiii, wanasubiri siku ya msiba watangaze kuunda tume ambazo hazina majibu, Watanganyika badilikeni Ccm imetosha
 
Sabato Njema!

Waafrika wengi ni rahisi kuwaonea na kuwadhulumu kwa sababu hawana umoja. Hawapendani. Uoga mara nyingi husababishwa na kutokuwa na upendo wa dhati.

Kama Watanzania wangekuwa wanapendana Kwa dhati yote. Kusingekuwa na msamiati watu wasiojulikana.
Watu wasiojulikana ni matokeo ya Jamii kutokupendana.

Hakuna adui yoyote anayoweza kuishinda jamii inayopendana. Jamii yenye umoja inakuwa na nguvu.

Sio ajabu wazungu watano tuu walitosha kuwaswaga waafrika maelfu na maelfu.

Kuna Clip moja kipindi Fulani niliiona ikimuonyesha Mchina Mmoja akitandika waafrika mbele ya waafrika wenzao.
Jambo Hilo huwezi kulisikia likifanyika kwenye Jamii zingine. Yaani wewe muafrika uende China au Arabuni au uhindini ukawapige huko alafu wakuangalie. Hiyo haiwezekaniki.

Suala la wasiojulikana kwa sasa limeota mizizi. Na kiukweli sio kwamba hawajulikani. Wanajulikana. Serikali IPO, imeajiri maelfu ya vijana wa kulinda usalama wa watanzania. Gharama kubwa zinatumika kwenye ulinzi na usalama. Hao wasiojulikana wanatokea wapi? Kwamba hakuna jeshi, vyombo vya dola KAZI take ni ipi haswa.

Mtanzania anatekwa, watu kimya. Ingawaje wapo wachache wanapiga kelele lakini bado haitoshi.

Husikii serikali yake ya mtaa ikiwajibika.
Mjumbe, sijui mwenyekiti, sijui mbunge. Kimya.
Ni kwa sababu hawana upendo, na mtu asiye na upendo mara nyingi hukosa ujasiri. Hawezi kuwa mtenda HAKI.

Hata Kuku ukienda kuchukua kifaranga chake hupambana. Kuku anatushinda?

Kanisa analosalia Mdude au waliotekwa wengine yapo Kimya.
Waumini wapo Kimya. Alafu wanasema wanamuabudu Mungu. Kweli?

Hii inawapa nafasi viongozi wasio waadilifu waliopo serikali kutumia vibaya madaraka yao.
Najua wapo viongozi waadilifu hukohuko serikalini lakini uadilifu wao unakosa mashiko na nguvu kutokana na tabia watanzania na waafrika kwa ujumla.

Tusitegemee hata siku moja wazungu au watu wa jamii nyingine watatuokoa kutoka hapa tulipo. Watatufanya tupendane.
Umoja wetu upo kati yetu. Unatoka kwetu na sio kwa watu wa jamii zingine.

Tupendane, kwa maana huo ndio uzalendo. Huko ndio kuipenda Nchi kwa sababu nchi ni watu.
Huwezi sema unaipenda nchi yako, ati wewe ni mzalendo alafu unakaa kimya pale unapoona mambo mabaya yanafanyika kwenye nchi yako.

Kukemea mabaya ndio uzalendo wenyewe. Ndio kutaka maendeleo ya taifa lako. Maendeleo ya kijamii, kisiasa, kiuchumi, kiteknolojia n.k.

Tusiishi kwa kuviziana.
Tusiishi kwa hofu.
Watawala kuwahofia wananchi hupelekea ukatili. Kwamba mtawala anahofia maslahi yake yapo mashakani .
Na wananchi kuihofia serikali huondoa uwajibikaji na kukuza dhulma.

Ukweli utatuweka Huru
Haki itatupa Amani ya kweli
Upendo utatupa Furaha
Akili na Maarifa vitatupa maendeleo

Acha nipumzike.

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
hilo ni jukumu la wenyeviti wa kamati za ulinzi na usalama na sio wenyeviti wa kamati za maendeleo gentleman 🐒
 
Hoja Ina nguvu.. Lakini pia itategemea na mwananchi anavyooshi na jamii na viongozi wake wa ngazi za makazi na mtaa..
 
Back
Top Bottom