Mdude CHADEMA: Hii katiba haifai, Wazanzibari wanakuwa wakuu wa wilaya Tanzania bara huku Watanganyika hawaruhusiwi kuwa wakuu wa wilaya Zanzibar

Nafikili usi vunjike isipo kuwa watoe Mambo madogo madogo Kama haya yafutwe

Mimi nikiwa Zanzibar nijiskie nipo bara hivyo hivyo nikiwa bara
Lakini hili la muungano lakini ukienda Zanzibar una kaguliwa y?

Muungano hupaswi kumiliki alidhi Zanzibar y?

Muungano lakini huku Kuna raisi Zanzibar Kuna raisi kivipi?

Muungano lakini huku ukristo na uislam lakini Zanzibar ukristo unapingwa Sana y?

Hata hivyo kwenye viapo vya maraisi wetu huwa Wana tamka hivi

naapa kuulinda muungano kwa nguvu zote kwanini? na kwanini watumie nguvu nyingi? Je kunafaida gani?
Lakini mwisho wa siku upuuzi Kama huu bado upo hizonguvu nyingi Zina tumika kwenye Mambo gani hasa?

Tuna hitaji nguvu nyingi zitumike kwenye kuya rekekisha madhaifu Kama haya yanayo tubagua

Pasiwepo serikari ya Tanzania bara Wala visiwani pawepo na serikari ya jamhuri ya muungano wa Tanzania tu

Pawepo na bunge la muungano wa Tanzania tu

Pawepo na raisi wa Tanzania tu

HAPO NDIPO JINA TANZANIA LITA PENDEZA
 
Kwa vigezo vp siyo watanganyika. Hao wote ni watanganyika wao wenyewe wamezaliwa Tanganyika. Na kama hao wakurugenzi wa ZRB, PBZ na ZBS hata Zanzibar hawajawi kiishi. Hao wengi wao znz kwa kipindi kurudi ijapokuwa wamezaliwa Tanganyika. Zena wazee wake wana asili ya znz lakini yeye kazaliwa nakusoma Tanganyika amekuja znz kwa kikazi tu. Huyo mdude wenu ni mpuuzi tu na nyinyi misuke wake
Aina ya muungano wetu mkuu ni ya kiutata kidogo
 
Ww hauko sawa, tokea lini mtu wa bara atapewa uongozi Zanzibar, labda vyombo vya ulinzi na usalama
Hata hivyo vyombo vya ulinzi na usalama bado kuna ubaguzi mkubwa sana, asilimia kunwa ya askali wanapelekwa Zanzibar ni wazanzibari wenyewe na asilimia 99.99 wanakuwa Islamic.

Cha ajabu hata jeshi lenyewe wanao la kwao JKU na mpaka askali wanao ni vile watanganyika mnatumia maguvu ila wanasema wapo vizuri.

Ilikuwa wimbo wa taifa sasa upo.
Ilikuwa bendera sasa ipo.

Ilikuwa ni ZRB sasa ni ZRA...
 
Nikuambie wewe kama Nani, bali.na ujinga wako na kuwa keyboard worrior kumbe huna unachokijua. Na inaonyesha hana Zanzibar hujawahi kufika at leastbukatoka.ushamba kidogo. Basi kwa taarifa yako hao jamaa zetu wa kichaga pia wana nafasi kwenye serikali. Kuna mkurugenzi mmoja wizara aya afya ni mchaga alikuja Zanzibar baada yabkumaliza Muhimbili Nadhani 2005. Kwa kufuata mwanamke na ameweza kuchaguliwa kuwa mkurugenzi. Sasa wewe baki na upuuzi wako na kupalilia ujinga
Mkuu unge mwelewesha tu nahisi umetumua panic kidogo😃😃😃
 
Baada ya kupitia maoni mengi ya wadau humu nimegundua wachangiaji wote wanaupenda Utanzania wao. Ila tu wanaona wanaonewa wanapoona Watanzania wanaotoka viziwani wanapata nafasi za uteuzi na kazi bara lakini wa upande wa bara hawapati fursa hizo upande wa Viziwani. Naomba niwatoe hofu kuwa sisi sote ni Watanzania na Tanzania ni moja. Watanganyika wanafaidika zaidi na muungano huu kuliko Wazanzibar. Waacheni waendelee kupata ajira, teuzi na hata ardhi huku bara. Wenzetu kule wametupatia Maili mia mbili kwenda bahari kuu hadi tunapakana na Ushelisheli na Comoro. Bila Muungano Watanganyia mwisho wenu ungekuwa kisiwa cha Mbudya na Kilwa.

Pia kumbukeni Sulatani wa Zanzibar eneo lake linaishia maili nane ndani ya bara na mipaka hiyo hamna aliyeibadilisha hadi leo zaidi ya ubabe wa Mjerumani. Kwa mantiki hiyo hata Tanga, Bagamoyo, Dar es Salaam, Lindi na Mtwara siyo maeneo ya Tanganyika. Ni himaya ya Zanzibar.

Namalizia kwa kusema sis8 sote ni ndugu na wasisi wetu walifanya vema kuondoa mipaka ya Mwaarabu na Wazungu. Lakini pia mdogo lazima alindwe kwa namna fulani.
Ni mimi Mtanzania mhamiaji kutoka ardhi ya Malkia wa Sheba
 
Natoa ushauri kwa CHADEMA watu kama mdude CHADEMA na wengine wenye aina yake ya siasa hawaisaidii CHADEMA Bali wanaiharibia kabisa.

Kwa mujibu wa katiba ,uteuzi wa wakuu wa wilaya unafanywa na Rais kama ulivyo kwa uteuzi mwingine wowote wa kikatiba.

Mfano, aliyekuwa katibu mkuu wizara ya nishati Tanzania bara mhandi Zena, Rais Dkt. Mwinyi alipoingia tu madarakani alimteua kuwa katibu mkuu kiongozi na katibu wa mabaraza la Mapinduzi la Zanzibar, cheo cha juu kwa utumishi wa umma Zanzibar.

Sasa Kama mtanganyika amepewa cheo Cha juu kabisa Cha utumishi wa umma, ni kweli
Mkuu wa wilaya hawezi kuteuliwa?

Acheni upotoshaji CHADEMA mtapoteana mtafute mchawi
Mwamba umeandika vema.. lkn sijui kama umefanya japoutafiti?
Kwani katika maandishi uako umethibitisha zena sio manzibari? Au umembandika utanganyika?
Sehemu pekee katiba inayoruhusu ni majeshi na wewe hujaitolea mfano.
Kaka/dada.. nikuombe suala la uzanzibar na utanganyika sio mihemko tuliongee bila kuvitaja vyama.
Binafsi siikjbali chadema. Lkn hoja tuijadili kwa upana na tusiegemee kwenye vyama. Vyama achumia tumbo tu.
 
Falsafa ya CCM ni Serikali mbili kuelekea moja. Hivyo, ipo siku tutakuwa na Serikali moja na nchi moja kamili kama ilivyo Taifa moja na Dola moja kwa sasa. Kikichobaki ni kuwa na Serikali moja tu na Nchi moja.
 
Falsafa ya CCM ni Serikali mbili kuelekea moja. Hivyo, ipo siku tutakuwa na Serikali moja na nchi moja kamili kama ilivyo Taifa moja na Dola moja kwa sasa. Kikichobaki ni kuwa na Serikali moja tu na Nchi moja.

Kwa namna zenji inavyojipanga sidhani kama wanao lengo hilo la kuwa na serikali moja ya muungano,hivyo vijamaa vinataka vijitoe kwenye muungano.
 
Aache roho mbaya, wote ni watanzani, kinachopaswa kufanywa ni kupeleka na wabara kwenye wilaya za Zanzibar. Tuache ubaguzi
Halafu mbona Salamu Mwalimu ambaye ni Naibu Katibu Mkuu Chadema Zanzibar kila uchwao kiguu na njia huku Bara. Zanzibar hata siku moja huwezi kumuona huko akizurura. Kwanini?
 
Alichondika Mdude kwenye ukurasa wa twitter.
"Moja ya mapungufu ya katiba iliyopo ni kwamba, mtu kutokea Bara-Tanganyika hawezi kuwa mkuu wa wilaya Zanzibar lakini mtu kutokea Zanzibar anaweza kuwa mkuu wa wilaya Bara. Sasa huu ni muungano wa namna gani? Ndio maana tunahitaji #KatibaMpya kuondoa ubaguzi wa namna hii."
View attachment 2496334
Hakuna Tanganyika,eneo la Tanganyika,ni sehemu ya jamhuri ya Muungano,kwa hiyo Mtanzania yeyete anaweza kuwa DC,RC,
Kwenye Muungano huu,kila mtu alipoteza kitu na kupata kitu,
Zenj ni ndogo sana,idsdi ya watu milioni 3!!dar peke yake ina watu milioni 5!hata ukichukua wasomi wote wa Zenj,ukawapa ajira bara,ni Sawa na tone la maji baharini,
Bila kuwapendelea Zenj,hawawezi kushindana na bara kwenye ajira,lazima uwabebe tu,tuache makelele yasio na tija,badala ya kupambana na ndugu zetu Wazenj,twende tukapambsne na wababe,Kenya,Nigeria,India katika kutafuta fulsa nje ya nchi,Ulaya,america,
 
Katiba mpya inahitajika tujue limoja Kama Zanzibar itakua mkoa tuwe na Tanzania moja, serikali tatu au muungano ufe. Mtanganyika kumiliki ardhi, ajira hakuna lkn wao Zanzibar kuanzia walimu wamejazwa huku. Eti mikopo wanapata gawio la 20% wakati Wana watu 1.8 million. Eee Mungu tusaindie katiba mpya haraka.
Tutakua salama bila Zanzibar mipaka tutalinda. Sehemu ya kua mkoa eti nchi.
 
Back
Top Bottom