Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 11,872
- 18,156
Pumbavu! Unamjua baba yako?!Unatukana wakati unaishi milimani ambako hata bajaji haiwezi kufika
Pumbavu! Unamjua baba yako?!Unatukana wakati unaishi milimani ambako hata bajaji haiwezi kufika
Nimeona fb kamanda yuko imala kuliko janaAmeandika hivi kupitia twitter:
Nimeamka na kusali kisha nika-google na kusoma kisa cha imamu hussein mjukuu wa Mtume Muhammad (saw) alipopambana mpaka mwisho akitetea kile anachokiamini,Nikasoma kisa cha wanafunzi wa YESU walivyouwawa kikatili wakitetea iman yao hakika nimepata ari ya kuendelea na mapambano.
Kumbe wenye matatizo ya akili mnawajua...?mdude ana matatizo ya akili awahishwe milembe
Hapa sheria ya mtandao inanyamaza hadi mtu akashtaki!!!Nimesoma comment zote ,Mdude hafai,hana maana ,akiendelea nitamgonga na gari afe iwe trafiki kesi,baadae nalipa faini,shauri yake ,aendelee tu kutukana wakubwa
Ni sawa Kodi yake ipo yeye alisema hospital za serikali hazina uwezo wa kutibu hata mende SI angeenda kutibiwa ulaya au hospital za private .Alivyokuwa akitukana hospital za serikali Mimi Nilifikiri Ni mmoja wa wale matajiri wanaotibiwa hospital za Bei mbaya za binafsi kumbe Ni mtu mchovu tu kimaisha anayetukana mamba wakati mto Bado hajavuka mto uliojaa mamba
Mbona Jiwe ana lugha za hovyo hamumwambii hajirekebishe?Namshauri abadilishe mbinu aongee ukweli mtupu anaouamini ila apunguze lugha za kufedhehesha, itamjenga sana kisiasa kwa kuwa bado ni kijana mwenye uelewa wa masuala mbalimbali
Tumefunzwa kushauriana
Kutokuwa na gari haikuondolei haki ya kueleza ubovu wa basi ulilopanda.Ni sawa Kodi yake ipo yeye alisema hospital za serikali hazina uwezo wa kutibu hata mende SI angeenda kutibiwa ulaya au hospital za private .Alivyokuwa akitukana hospital za serikali Mimi Nilifikiri Ni mmoja wa wale matajiri wanaotibiwa hospital za Bei mbaya za binafsi kumbe Ni mtu mchovu tu kimaisha anayetukana mamba wakati mto Bado hajavuka mto uliojaa mamba
Mbona Jiwe ana lugha za hovyo hamumwambii hajirekebishe?
Acheni unafiki!
Wa.... pUmb,, vu nyie chadema, hivi kodi huwa mnalipa ninyi tu?kumbuka kuna kodi yake katika hiyo hospitali aloenda kutibiwa,vipi unaikumbuka vzuri issue ya korosho?
twit yake ya karibuni inasemaje, ndio tutaelewakama bange bado ipo kichwani mwake au imemtokaAmeandika hivi kupitia twitter:
Nimeamka na kusali kisha nika-google na kusoma kisa cha imamu hussein mjukuu wa Mtume Muhammad (saw) alipopambana mpaka mwisho akitetea kile anachokiamini,Nikasoma kisa cha wanafunzi wa YESU walivyouwawa kikatili wakitetea iman yao hakika nimepata ari ya kuendelea na mapambano.
Hao ndio wanaharakati wa kizazi kipya. Matusi kwao ni hekima. Walizoea kumtusi JK, akawa anawaangalia tu, wamekutana na Ngosha cha moto wanakiona.Mapambano ya Nini anapigania Nini Cha kueleweka.Ambacho mtu hata ukiulizwa useme mdude anapigania hiki Cha kueleweka Kwa mfano aliandika kuwa serikali inanunua ndege wakati. Hospital za serikali ziko hoi hazina dawa Wala hazina uwezo wa kutibu hata mende!!!!!! Alipopata tatizo kakimbililia kutibiwa hizo hospital za serikali alizosema hazina uwezo wa kutibu hata mende!!!!! MDUDE anapigania Nini? Ujinga mtupu.
Huyo ni muoga maana hata tu kushindana kwa hoja kumemshinda na ndio maana hata mikutano ya siasa kazuia.Hao ndio wanaharakati wa kizazi kipya. Matusi kwao ni hekima. Walizoea kumtusi JK, akawa anawaangalia tu, wamekutana na Ngosha cha moto wanakiona.