Mdude Chadema ahaidi kuendelea na mapambano

Mdude Chadema ahaidi kuendelea na mapambano

". Sio yule mmasai anashinda anaonyesha mwanya tu. "

Kwanini wewe usigombee bavicha?,au wewe keyboards warrior?
Lazima wengine tukubali kuongozwa. Hatuwezi wote tukawa viongozi. Na kama wao hawawezi waache kama sisi na ieleweke hatuna viongozi wa utetezi kuliko kutuonyesha mianya yao.
 
Ameandika hivi kupitia twitter:

Nimeamka na kusali kisha nika-google na kusoma kisa cha imamu hussein mjukuu wa Mtume Muhammad (saw) alipopambana mpaka mwisho akitetea kile anachokiamini,Nikasoma kisa cha wanafunzi wa YESU walivyouwawa kikatili wakitetea iman yao hakika nimepata ari ya kuendelea na mapambano.
Mungu mbariki Mdude Chadema
 
Amesahau tulichofanyia aendelee anachokitaka atakipata,hii nchi siyo ya bibi ake.

Alikufa mkwawa,bushiri,mirambo nk kupinga uonevu still wakoloni waliondoka sembuse kiumbe kilichozaliwa Na mwanamke.
 
Back
Top Bottom