Mdude Chadema ahaidi kuendelea na mapambano

Mdude Chadema ahaidi kuendelea na mapambano

Mapambano ya Nini anapigania Nini Cha kueleweka.Ambacho mtu hata ukiulizwa useme mdude anapigania hiki Cha kueleweka Kwa mfano aliandika kuwa serikali inanunua ndege wakati. Hospital za serikali ziko hoi hazina dawa Wala hazina uwezo wa kutibu hata mende!!!!!! Alipopata tatizo kakimbililia kutibiwa hizo hospital za serikali alizosema hazina uwezo wa kutibu hata mende!!!!! MDUDE anapigania Nini? Ujinga mtupu.
We nguruwe wa kufugwa huwez kujua
 
Mapambano ya Nini anapigania Nini Cha kueleweka.Ambacho mtu hata ukiulizwa useme mdude anapigania hiki Cha kueleweka Kwa mfano aliandika kuwa serikali inanunua ndege wakati. Hospital za serikali ziko hoi hazina dawa Wala hazina uwezo wa kutibu hata mende!!!!!! Alipopata tatizo kakimbililia kutibiwa hizo hospital za serikali alizosema hazina uwezo wa kutibu hata mende!!!!! MDUDE anapigania Nini? Ujinga mtupu.

Huyu mchochezii anahisi serkali inamuda wakupoteza na vitu vyakijinga..

Mapambano akapambane huko ufipaa
 
Mapambano ya Nini anapigania Nini Cha kueleweka.Ambacho mtu hata ukiulizwa useme mdude anapigania hiki Cha kueleweka Kwa mfano aliandika kuwa serikali inanunua ndege wakati. Hospital za serikali ziko hoi hazina dawa Wala hazina uwezo wa kutibu hata mende!!!!!! Alipopata tatizo kakimbililia kutibiwa hizo hospital za serikali alizosema hazina uwezo wa kutibu hata mende!!!!! MDUDE anapigania Nini? Ujinga mtupu.
Ndio maana hata press yake Magazeti yameipotezea,huyu jamaa kiukweli ni mwehu
 
Huyo angefungwa jiwe tu na kutupwa mto malagalasi,shenzi zake sana
Wakati mwingine mtu unawachoka wanadam, ssa kma ni hivyo si angeenda hata ulaya akatibiwe, na ukimuuliza swali nchi ina hospitali na vituo vingapi hana jibu. Inachosha Sana watu Hawa.
 
Wakati mwingine mtu unawachoka wanadam, ssa kma ni hivyo si angeenda hata ulaya akatibiwe, na ukimuuliza swali nchi ina hospitali na vituo vingapi hana jibu. Inachosha Sana watu Hawa.
Hebu tupe wewe jibu, nchi ina hosp na vituo vya afya vingapi?
 
Nadhani ni wakati wa CHADEMA kufanya mabadiliko katika nafasi zake za uongozi. Asa ya Katibu mkuu na mwenyekiti Bavicha.
Ukatibu Mkuu apewe mtu kama Heche na Upande wa Bavicha wanatosha watu jamii ya Mdude. Sio yule mmasai anashinda anaonyesha mwanya tu. Hawana impact yoyote na ni waoga sana kwa siasa za nyakati hizi.
". Sio yule mmasai anashinda anaonyesha mwanya tu. "

Kwanini wewe usigombee bavicha?,au wewe keyboards warrior?
 
Ngoja safari hii tukimdaka tumpige na bapa za konyagi kichwani ili akili yake ikae sawa maana zile chupa za bia naona hazijafanya kazi!!

Stupidity is doing the same thing over and over again and expecting different results.
 
Nimesoma comment zote ,Mdude hafai,hana maana ,akiendelea nitamgonga na gari afe iwe trafiki kesi,baadae nalipa faini,shauri yake ,aendelee tu kutukana wakubwa
 
Ameandika hivi kupitia twitter:

Nimeamka na kusali kisha nika-google na kusoma kisa cha imamu hussein mjukuu wa Mtume Muhammad (saw) alipopambana mpaka mwisho akitetea kile anachokiamini,Nikasoma kisa cha wanafunzi wa YESU walivyouwawa kikatili wakitetea iman yao hakika nimepata ari ya kuendelea na mapambano.
Huyu mpuuzi hajakoma tu?
 
Back
Top Bottom