Exile tena?? Unawaza ngono wewesemina, warsha, kongamano na mikutano zilikuwa ni shughuli zenye kuongeza vipato kwa hoteli nyingi kwakuwa wageni walikuwa wakimiminika mara kwa mara. Kwa hali ilivo sasa hoteli zinazopata wateja wengi(wa kawaida) ni zile zenye vymba vya bei za kawaida sana (30 & 40) na ndio maana kama pale kibadamo, mic, kagame, na zingine za maeneo ya bungo bado zinapata wateja wa aina hii.
Kama imekuwa hosteli na kwa bei ya 160000/ labda kila chumba kiwa na vitanda viwili tu, tena sio dabo deka. Itakuwa ngumu kulipa hiyo fedha halafu chumba kina watu 6 hata kama kuna huduma nzuri iddi hiyo ya watu itapunguza ubora wa huduma. Utawapigaje exile watu watano(5) kwa wakati mmoja? Nadhani akitaka idadi kubwa ya watu kwa chumba bei lazima iwe chini ya 100000 ila akitaka kufanya 160000 atalazimika kufanya chumba 1 kwa watu 2 tu na si zaidi ya hapo. Kwa bei ya 160 watu wawili wanaweza panaga nyumba nzuri sana kwa 250 maeneo ya ubungo na wakawa huru zaidi kuliko. Kwahiyo bado kunachangamoto na sio rahisi kama baadhi ya watu wanavoona.
hahahahaha, hapana mkuu nimejaribu tu kuchukua picha ya wanafunzi walivo so kwa idadi hiyo mambo mengi yatakuwa changamoto hata meza za kusomea watu sita, choo nk ila huo ulikuwa tu mfano mojawapo wa changamoto za idadi kubwa ya watu kwenye chumba kimoja.Exile tena?? Unawaza ngono wewe
Mi nazani lengo Lake alipe Kodi ya Hostel na si Hotel... Kuna ujanja anataka kufanyaLakini wengi mmekurupuka tuu bila hata kujua hostel aliyoiweka ametarget watu wa aina gani, wengi mmebase kwa wanachuo, lakini mkumbuke kuna hostel kwa ajili ya watalii na wageni wengine tuu kama ilivyo Msimbazi center na YMCA ya Posta mpya
YaaaaaaaaaaLandmark ndiyo ya yule mbunge Wa ccm S. H Amon!?