Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,678
- 698,788
Biashara yake ilikuzwa na tenda serikalini na wageni mbalimbali wa mikutano na makongamano, watu wa cash wengi walishindwa kumudu gharama za chakula na kulala pale , management nayo ikawa inafanya yake ...zikajengwa hotel nyingine nzuri za bei poa wateja wakaikimbia Landmark kama ilivyokimbiwa lunchtime