Mdororo wa Uchumi: Landmark Hotels zabadilishwa kuwa hostel

It’s spending. Spending is activity, spending is growth, spending is demand, spending is hiring, spending is stimulus. Spending is everything. When the government spends money, it has the same effect as when a consumer spends money or a business spends money. Therefore, the stimulus worked.
The economy is not a sentient being. The economy doesn’t care if private citizens do the spending or the government does the spending. It doesn’t care if the money comes from personal bank accounts or budget deficits. The economy doesn’t care if the money is spent on cancer research or pet rocks. It doesn’t matter, because all spending increases activity, strengthens demand, and leads to more hiring. Saving has the opposite effect. While saving may be the necessary and sensible choice for an individual, it’s poison for the economy. When people save, the velocity of money decreases, demand weakens and growth slows. This whole question of saving vs spending is basic to Keynes’ view of how the economy works.

Atakayekupinga kwenye hii hoja yako, lazma atakua mgonjwa
 
Nimekuwa nikisikia kila mahali kwamba hotels nyingi za kitalii na za kawaida zimefungwa, ishu kubwa ikiwa ni ukata wa kiuchumi. Kuna ukweli gani kwa hili, na ni hoteli zipi kweli zimefungwa..
 
Suala la mtikisiko wa uchumi lililosababishwa kufunga kwa hoteli ya land mark limezua mtikisiko mkubwa kwenye industry.
Kwa mfumo huu inaonekana uendeshaji wa hoteli kubwa kubwa kuwa ni mgumu sana kwa biashara ya sasa ambayo inategemea zaidi wasafiri binafsi.
Huku tunapoenda, soko litahitaji uwepo wa Hoteli ndogo ndogo kama ilivyo hoteli ya Kebby's inayopatikana Bamaga, Sinza.
 
Suala la mtikisiko wa uchumi lililosababishwa kufunga kwa hoteli ya land mark limezua mtikisiko mkubwa kwenye industry.
Kwa mfumo huu inaonekana uendeshaji wa hoteli kubwa kubwa kuwa ni mgumu sana kwa biashara ya sasa ambayo inategemea zaidi wasafiri binafsi.
Huku tunapoenda, soko litahitaji uwepo wa Hoteli ndogo ndogo kama ilivyo hoteli ya Kebby's inayopatikana Bamaga, Sinza.
chief, unashambulia pentagon kwa manati??
 
kebbys ana tenda ya crdb kimei anambeba..

staffs wa crdb mikoani wakija training dar.. wanalala kebbys...

so hawakos wateja..

huu ni ufisadi kulazimisha wafanyakazi walale hotel moja....why usiwape per diem wakaamua pa kulala wenyewe....

mtu mzima unamlaza sehem asiyoitaka kisa 10 parcent
 
Mkuu mbona unatumia njia ndefu sana, unataka kwenda Kimara kutokea Ubungo halafu unapitia Kigamboni. Nenda tu Straight. Waelewa tumeshakusoma kilichopo katikati ya mistari
 
kebbys ana tenda ya crdb kimei anambeba..

staffs wa crdb mikoani wakija training dar.. wanalala kebbys...

so hawakos wateja..

huu ni ufisadi kulazimisha wafanyakazi walale hotel moja....why usiwape per diem wakaamua pa kulala wenyewe....

mtu mzima unamlaza sehem asiyoitaka kisa 10 parcent

Na tabia hiyo ndo imezikost hoteli nyingi maana hoteli nyingi zimeanzishwa kwa staili hiyo kutegemea vikao vya wizara ,vifanyikie huko ili nao wapate 10% je na KEBBYS SIKU MANAGEMENT IKIBADILIKA NA KIMEI AKAONDOKA CRDB je na wawao watalalamika kuwa uchumi umeyumba kisa hawapati tenda za CRDB?
 
Kuna mambo watu walitamani kuacha lakini hawakuweza Kwa kisingizio kuwa hawawezi; kuna watu waliomba na kufunga ili kuwaombea watu wengine waache pombe na umalaya, lakini pamoja na hayo watu waliendelea kuwa walevi na Malaya kama kawaida, ilifika hatua waganga Wa tiba mbadala kutumika kutengeneza dawa za kuzuia ulevi.
Kwa hali ilivyo sasa mtu kwenda kulala hoteli au guest house na mwanamke siku moja lazima si chini ya Tsh 60000/= itatumika , kwahiyo basi Kwa ukata huu uliojitokeza Kwa RAIA, hotel zimekosa wateja hadi zimeamua kufungwa rasmi; MFANO; LANDMARK HOTEL n.k na baadhi ya bar nazo zinafungwa kila siku! dawa ya kuacha anasa IMEPATIKANA! Salute zikufikie AMRI JESHI MKUU POPOTE ULIPO.
 
Kuna mambo watu walitamani kuacha lakini hawakuweza Kwa kisingizio kuwa hawawezi; kuna watu waliomba na kufunga ili kuwaombea watu wengine waache pombe na umalaya, lakini pamoja na hayo watu waliendelea kuwa walevi na Malaya kama kawaida, ilifika hatua waganga Wa tiba mbadala kutumika kutengeneza dawa za kuzuia ulevi.
Kwa hali ilivyo sasa mtu kwenda kulala hoteli au guest house na mwanamke siku moja lazima si chini ya Tsh 60000/= itatumika , kwahiyo basi Kwa ukata huu uliojitokeza Kwa RAIA, hotel zimekosa wateja hadi zimeamua kufungwa rasmi; MFANO; LANDMARK HOTEL n.k na baadhi ya bar nazo zinafungwa kila siku! dawa ya kuacha anasa IMEPATIKANA! Salute zikufikie AMRI JESHI MKUU POPOTE ULIPO.

Hii ni kali, kidogo-kidogo tutafika panapohitajika maana watu wachache walikuwa wameichukua nchi mateka. Watu wafanye kazi halali na wapate malipo halali kutokana na kazi yao. Nchi zote zenye maendeleo zilifuata utaratibu wa aina hii.
 
Jamaa atakuwa amechoka kumnufaisha meneja wa hoteli. Unaambiwa leo watu hawajajaa kumbe vyumba vyote vimejaa full.
Cctv camera zimejaa kila kona labda wanazima mteja akitoka wanawasha, then wanadai hakuna mteja.
Siku bosi akishinda wanawapigia wateja wasije? Ama kweli wewe mtoto utafeli necta form two.
 
Back
Top Bottom